siku hiyo itakuwa siku ya kujenga mahusiano mapya na pia kusambaza upendo kati yetu. njoo wewe njoo peke yako usihofu partner wa kucheza naye music atapatikana huko huko. ni kula nyama choma kwa ndizi na kushushia vileeee vinywaji vyetu. akina dada amarula zinauzwa kwa nusu bei na wine pia zitakuwepo kwa bei rahisi. hiyo ni siku maalum ya gulio. 7/7
Hata mie nahisi hvyo,sie wa mikoani haituhusu, wanaume na wanawake wa Dar kazi kwenuMmmh hii inawahusu waliopo huko Dar sio??
Hahaha mpaka nipate hela ya kuja huko Darisalamakama kawaida yako ,naamini utakuwa wa kwanza kufika na utakaa karibu na mchoma nyama
Ngoja wengine tubaki tu huku wanapopaita mkoaniHata mie nahisi hvyo,sie wa mikoani haituhusu, wanaume na wanawake wa Dar kazi kwenu
Ila mikoani kwetu pazuri bwanaNgoja wengine tubaki tu huku wanapopaita mkoani
Ntafurahi sana ukiniassist hiyo sikuMmh. Hongereni zimebaki siku 07.
Msisahau kuombana assist za live live.
Ndio kabisa ila wanapadharauIla mikoani kwetu pazuri bwana
Stay AlertMhhhhh! hizi mada za kujuana juana humu siku hizi zimekuwa nyingi...
Wengine hatupo huko dar
Na sisi tulioko mbwinde?!
Ndio kabisa ila wanapadharau
Ila mikoani kwetu pazuri bwana
Ngoja wengine tubaki tu huku wanapopaita mkoani
Tunaokaa Ikwiriri,Kilosa na Kibiti tutakutana lini?
Wengine hatupo huko dar
Mhhhhh! hizi mada za kujuana juana humu siku hizi zimekuwa nyingi...
Kazi kwenu wanaume/wanawake wa daresalama.
Mmh. Hongereni zimebaki siku 07.
Msisahau kuombana assist za live live.
umenivunja mbavu sana....kama kawaida yako ,naamini utakuwa wa kwanza kufika na utakaa karibu na mchoma nyama