Siku ya Gulio la Jamiiforums. Wake kwa Waume msikose kuhudhuria.Njoo hata kama umetundukiwa Drip

Siku ya Gulio la Jamiiforums. Wake kwa Waume msikose kuhudhuria.Njoo hata kama umetundukiwa Drip

siku hiyo itakuwa siku ya kujenga mahusiano mapya na pia kusambaza upendo kati yetu. njoo wewe njoo peke yako usihofu partner wa kucheza naye music atapatikana huko huko. ni kula nyama choma kwa ndizi na kushushia vileeee vinywaji vyetu. akina dada amarula zinauzwa kwa nusu bei na wine pia zitakuwepo kwa bei rahisi. hiyo ni siku maalum ya gulio. 7/7


Usisahau kulipia Jina JF kwa kutengeneza faida. Ila wazo zuri. Nadhani Mods wataliona ili watumie fursa kuingiza kiasi kidogo cha Mboga.
 
WADAU WA MIKOANI TUTAONANA SIKU YA WAKULIMA 8/8 tutagawa Makundi..huko huko kwenye mabanda ya maonesho ya kilimo msisahau kuja mmevaa vibwaya. Mliokuwa tu mnatusikia na kutuona kwenye TV tutakuja mtuone LIVE . akina dada jiwekeni vizuri muwe katika nyakati zenu nzuri.msije mkaja kulalamika wanaume wa Dar wanadharau.
Wengine hatupo huko dar
 
WADAU WA MIKOANI TUTAONANA SIKU YA WAKULIMA 8/8 tutagawa Makundi..huko huko kwenye mabanda ya maonesho ya kilimo msisahau kuja mmevaa vibwaya. Mliokuwa tu mnatusikia na kutuona kwenye TV tutakuja mtuone LIVE . akina dada jiwekeni vizuri muwe katika nyakati zenu nzuri.msije mkaja kulalamika wanaume wa Dar wanadharau.

Na sisi tulioko mbwinde?!
Ndio kabisa ila wanapadharau
Ila mikoani kwetu pazuri bwana
Ngoja wengine tubaki tu huku wanapopaita mkoani
Tunaokaa Ikwiriri,Kilosa na Kibiti tutakutana lini?
Wengine hatupo huko dar
 
WADAU WA MIKOANI TUTAONANA SIKU YA WAKULIMA 8/8 tutagawa Makundi..huko huko kwenye mabanda ya maonesho ya kilimo msisahau kuja mmevaa vibwaya. Mliokuwa tu mnatusikia na kutuona kwenye TV tutakuja mtuone LIVE . akina dada jiwekeni vizuri muwe katika nyakati zenu nzuri.msije mkaja kulalamika wanaume wa Dar wanadharau.

Mhhhhh! hizi mada za kujuana juana humu siku hizi zimekuwa nyingi...
Kazi kwenu wanaume/wanawake wa daresalama.
Mmh. Hongereni zimebaki siku 07.
Msisahau kuombana assist za live live.
 
Back
Top Bottom