Siku ya kuzaliwa Rais inapogeuzwa sikukuu ya kitaifa

Siku ya kuzaliwa Rais inapogeuzwa sikukuu ya kitaifa

Bila bila

JF-Expert Member
Joined
Dec 20, 2016
Posts
22,168
Reaction score
39,118
Huyu ni Rais wa 6 Tangu Tanganyika ilipoungana na Zanzibar na kuunda nchi mpya Tanzania.

Marais 5 waliopita wote walizaliwa na huyu wa Sasa alivyozaliwa. Lakini hatujawahi kuona sherehe za kuzaliwa kiongozi zinageuzwa sherehe za kitaifa.

Naziita za kitaifa Kwa sababu zimepangwa kimikoa Kila mwaka. Mwaka huu ilikuwa zamu ya mkoa wa Rukwa na Jana zimefanyika uwanja wa Nelson Mandela mgeni rasmi akiwa Mkuu wa mkoa ambaye analipwa na serikali.

Lakini pia sherehe hizo zimehudhuriwa na viongozi wengi wanaolipwa na serikali na ni waajiriwa wa serikali àmbao badala ya kuhudumia wananchi walikwenda kushinda uwanja wa Mandela kushuhudia sherehe za birthday.

Walikuwepo viongozi wa Halmashauri, Vyombo vya ulinzi na usalama, serikali Kuu nk. Ni kama tumepoteza mwelekeo rasmi na Washauri wa Rais wameacha wapambe wampotoshe kiongozi wa nchi.

Screenshot_20250128_175622_M365 Copilot.jpg
Screenshot_20250128_175644_M365 Copilot.jpg
 
MWALIMU NYERERE ANAMALIZA KWA USHAIRI KWENYE KITABU CHAKE.

UONGOZI WETU NA HATMA YA TANZANIA.

Ole wake Tanzania Tusipoisaidia
Niwezalo nimelifanya kushauri na kuonya nimeonya.

tahadhali nimetoa ushauri na kuonya nimeshatoka kitini zaidi nifanye nini.

Namlilia Jaalia atumulikie njia Tanzania ailinde WAOVU wasiishinde.

Amina Tena Amina Amina Tena amina


UONGOZI WETU NA HATMA YA TANZANIA.
MWALIMU JK NYERERE
 
Huyu ni Rais wa 6 Tangu Tanganyika ilipoungana na Zanzibar na kuunda nchi mpya Tanzania.
Marais 5 waliopita wote walizaliwa na huyu wa Sasa alivyozaliwa. Lakini hatujawahi kuona sherehe za kuzaliwa kiongozi zinageuzwa sherehe za kitaifa.

Naziita za kitaifa Kwa sababu zimepangwa kimikoa Kila mwaka. Mwaka huu ilikuwa zamu ya mkoa wa Rukwa na Jana zimefanyika uwanja wa Nelson Mandela mgeni rasmi akiwa Mkuu wa mkoa ambaye analipwa na serikali. Lakini pia sherehe hizo zimehudhuriwa na viongozi wengi wanaolipwa na serikali na ni waajiriwa wa serikali àmbao badala ya kuhudumia wananchi walikwenda kushinda uwanja wa Mandela kushuhudia sherehe za birthday.

Walikuwepo viongozi wa Halmashauri, Vyombo vya ulinzi na usalama, serikali Kuu nk. Ni kama tumepoteza mwelekeo rasmi na Washauri wa Rais wameacha wapambe wampotoshe kiongozi wa nchi.
Nchi Ina mambo ya hovyo sana hii.
 
Ile kitu aliwahi sema Marehemu Edo N. L. ndiyo hii.
"Fear of the unknown"!!

Baada ya Tundu A. M. Lissu kushika usukani wa CHADEMA na hii " NO REFORMS, NO ELECTION" , CCM na wapanga mikakati wao ndio wamekuja na hivi viroja!

Kitakachofanyika ni kuhalalisha kuwa huyo mtu wao anapendwa na kukubalika na wananchi wengi, hivyo kupelekea kumuhalalisha kwenye wizi/uporaji wa kura utakaofanywa hapo October (kama atakuwepo kwenye ballot paper).
 
Huyu ni Rais wa 6 Tangu Tanganyika ilipoungana na Zanzibar na kuunda nchi mpya Tanzania.

Marais 5 waliopita wote walizaliwa na huyu wa Sasa alivyozaliwa. Lakini hatujawahi kuona sherehe za kuzaliwa kiongozi zinageuzwa sherehe za kitaifa.

Naziita za kitaifa Kwa sababu zimepangwa kimikoa Kila mwaka. Mwaka huu ilikuwa zamu ya mkoa wa Rukwa na Jana zimefanyika uwanja wa Nelson Mandela mgeni rasmi akiwa Mkuu wa mkoa ambaye analipwa na serikali.

Lakini pia sherehe hizo zimehudhuriwa na viongozi wengi wanaolipwa na serikali na ni waajiriwa wa serikali àmbao badala ya kuhudumia wananchi walikwenda kushinda uwanja wa Mandela kushuhudia sherehe za birthday.

Walikuwepo viongozi wa Halmashauri, Vyombo vya ulinzi na usalama, serikali Kuu nk. Ni kama tumepoteza mwelekeo rasmi na Washauri wa Rais wameacha wapambe wampotoshe kiongozi wa nchi.
Huyu ni Rais mwenye jinsi ya KIKE ,zingatia kike ,wanawake asilimia 98 wanapenda mambo ya birthday celebration ni kawaida sana .
 
Back
Top Bottom