Siku ya kuzaliwa Rais inapogeuzwa sikukuu ya kitaifa

Siku ya kuzaliwa Rais inapogeuzwa sikukuu ya kitaifa

Uwanja wa Nelson Mandela

Hivi South Afrika kuna uwanja wa Julius Nyerere ? Barabara ya Julius Nyerere ? Chuo cha Julius Nyerere ? Hospitali ya Julius Nyerere ?

Tuanajipendekeza kwa watu ambao wao ndo ilibidi watushukuru sisi. Mtanganyika ni mtu mwenye akili finyu sana.
 
Huyu ni Rais wa 6 Tangu Tanganyika ilipoungana na Zanzibar na kuunda nchi mpya Tanzania.

Marais 5 waliopita wote walizaliwa na huyu wa Sasa alivyozaliwa. Lakini hatujawahi kuona sherehe za kuzaliwa kiongozi zinageuzwa sherehe za kitaifa.

Naziita za kitaifa Kwa sababu zimepangwa kimikoa Kila mwaka. Mwaka huu ilikuwa zamu ya mkoa wa Rukwa na Jana zimefanyika uwanja wa Nelson Mandela mgeni rasmi akiwa Mkuu wa mkoa ambaye analipwa na serikali.

Lakini pia sherehe hizo zimehudhuriwa na viongozi wengi wanaolipwa na serikali na ni waajiriwa wa serikali àmbao badala ya kuhudumia wananchi walikwenda kushinda uwanja wa Mandela kushuhudia sherehe za birthday.

Walikuwepo viongozi wa Halmashauri, Vyombo vya ulinzi na usalama, serikali Kuu nk. Ni kama tumepoteza mwelekeo rasmi na Washauri wa Rais wameacha wapambe wampotoshe kiongozi wa nchi.

Mambo hayo tunayaonaga kwenye nchi za kifalme tu na haya ni matokeo ya watu kupata teuzi kwa kuzingatiwa kipaumbele cha uchawa
 
Uwanja wa Nelson Mandela

Hivi South Afrika kuna uwanja wa Julius Nyerere ? Barabara ya Julius Nyerere ? Chuo cha Julius Nyerere ? Hospitali ya Julius Nyerere ?

Tuanajipendekeza kwa watu ambao wao ndo ilibidi watushukuru sisi. Mtanganyika ni mtu mwenye akili finyu sana.
Naona angalau kuna mtaa wa Nyerere
1000021412.jpg
 
Poa tu kukikucha tuambizane ni mchana au asubuhi.
Sijawai kufikiria tuko wapi toka yule jamaa alipoondoka.
Naona mauzauza tu.
 
Hata kama mimi ningekuwa mshauri namba moja wa serikali ,hili swala lingefanyika tu. Kwa cheo kweli ni Rais lakini haimuondolei kuwa ni mtoto wa kike kama walivyo wengine.



MAGUFULI4LIFE.
 
Waafrika wanavituko, hii inanikumbusha yule raisi wa nchi flani Afrika..aliletaga snow feki ikulu kwaajili ya kusherekea xmass ya afrika iwe kama ulaya.

Afrika vituko haviishi.
 
Huyu ni Rais wa 6 Tangu Tanganyika ilipoungana na Zanzibar na kuunda nchi mpya Tanzania.

Marais 5 waliopita wote walizaliwa na huyu wa Sasa alivyozaliwa. Lakini hatujawahi kuona sherehe za kuzaliwa kiongozi zinageuzwa sherehe za kitaifa.

Naziita za kitaifa Kwa sababu zimepangwa kimikoa Kila mwaka. Mwaka huu ilikuwa zamu ya mkoa wa Rukwa na Jana zimefanyika uwanja wa Nelson Mandela mgeni rasmi akiwa Mkuu wa mkoa ambaye analipwa na serikali.

Lakini pia sherehe hizo zimehudhuriwa na viongozi wengi wanaolipwa na serikali na ni waajiriwa wa serikali àmbao badala ya kuhudumia wananchi walikwenda kushinda uwanja wa Mandela kushuhudia sherehe za birthday.

Walikuwepo viongozi wa Halmashauri, Vyombo vya ulinzi na usalama, serikali Kuu nk. Ni kama tumepoteza mwelekeo rasmi na Washauri wa Rais wameacha wapambe wampotoshe kiongozi wa nchi.

ilipelekwe Bungeni.
 
Back
Top Bottom