Siku ya kuzaliwa Rais inapogeuzwa sikukuu ya kitaifa

Siku ya kuzaliwa Rais inapogeuzwa sikukuu ya kitaifa

Watu wanaangalia namna ya kupiga fedha bila kuhojiwa. Not knowing Mama anaharibiwa na watu waliomzunguka.
 
Nje ya mada wakuu. Hivi huyu mzee wa hovyo tlaatlaah yuko wapi siki mbili hizi, kuna aliyemuona huko maana mada hizi yuko kimya mno nina wasi. Anaumwa au kasusa?
 
Wakati SSH anachukua unahodha,niliamini kabisa kuwa "project chawa" itakufa kibudu kwani niliamini ilikuwa ni project ya mwendazake, cha ajabu ni kuwa miaka hii mitatu uchawa umeongeza maradufu zaidi ya miaka 5 ya jiwe.

Nimekuja hitimisha kwa tafiti na data kuwa huyu nahodha wetu ndiye anayelea uchawa na kuupalilia, maana angetaka uishe asingekubali hii hali inayoendelea nchini ya "kumunguishwa".

Kilichomgharimu jiwe ndicho kinaenda kumgharimu chura kiziwi.
 
Wakati SSH anachukua unahodha,niliamini kabisa kuwa "project chawa" itakufa kibudu kwani niliamini ilikuwa ni project ya mwendazake, cha ajabu ni kuwa miaka hii mitatu uchawa umeongeza maradufu zaidi ya miaka 5 ya jiwe.

Nimekuja hitimisha kwa tafiti na data kuwa huyu nahodha wetu ndiye anayelea uchawa na kuupalilia, maana angetaka uishe asingekubali hii hali inayoendelea nchini ya "kumunguishwa".

Kilichomgharimu jiwe ndicho kinaenda kumgharimu chura kiziwi.
Jiwe ndiye source ya ujinga wote
 
Wakati SSH anachukua unahodha,niliamini kabisa kuwa "project chawa" itakufa kibudu kwani niliamini ilikuwa ni project ya mwendazake, cha ajabu ni kuwa miaka hii mitatu uchawa umeongeza maradufu zaidi ya miaka 5 ya jiwe.

Nimekuja hitimisha kwa tafiti na data kuwa huyu nahodha wetu ndiye anayelea uchawa na kuupalilia, maana angetaka uishe asingekubali hii hali inayoendelea nchini ya "kumunguishwa".

Kilichomgharimu jiwe ndicho kinaenda kumgharimu chura kiziwi.
Kama alivyosema Lissu hataki machawa, Samia hana courage ya kuwakataa machawa
 
Huyu ni Rais wa 6 Tangu Tanganyika ilipoungana na Zanzibar na kuunda nchi mpya Tanzania.

Marais 5 waliopita wote walizaliwa na huyu wa Sasa alivyozaliwa. Lakini hatujawahi kuona sherehe za kuzaliwa kiongozi zinageuzwa sherehe za kitaifa.

Naziita za kitaifa Kwa sababu zimepangwa kimikoa Kila mwaka. Mwaka huu ilikuwa zamu ya mkoa wa Rukwa na Jana zimefanyika uwanja wa Nelson Mandela mgeni rasmi akiwa Mkuu wa mkoa ambaye analipwa na serikali.

Lakini pia sherehe hizo zimehudhuriwa na viongozi wengi wanaolipwa na serikali na ni waajiriwa wa serikali àmbao badala ya kuhudumia wananchi walikwenda kushinda uwanja wa Mandela kushuhudia sherehe za birthday.

Walikuwepo viongozi wa Halmashauri, Vyombo vya ulinzi na usalama, serikali Kuu nk. Ni kama tumepoteza mwelekeo rasmi na Washauri wa Rais wameacha wapambe wampotoshe kiongozi wa nchi.

Lawama zote apewe jiwe kwa kujenga mfumo wa kusifiwa kupitiliza matokeo yake mama misambano nae kaiga.
 
Hatujawahi kupata rais anayepigiwa chapuo kama huyu, kuna tatizo!!.
 
Huyu ni Rais wa 6 Tangu Tanganyika ilipoungana na Zanzibar na kuunda nchi mpya Tanzania.

Marais 5 waliopita wote walizaliwa na huyu wa Sasa alivyozaliwa. Lakini hatujawahi kuona sherehe za kuzaliwa kiongozi zinageuzwa sherehe za kitaifa.

Naziita za kitaifa Kwa sababu zimepangwa kimikoa Kila mwaka. Mwaka huu ilikuwa zamu ya mkoa wa Rukwa na Jana zimefanyika uwanja wa Nelson Mandela mgeni rasmi akiwa Mkuu wa mkoa ambaye analipwa na serikali.

Lakini pia sherehe hizo zimehudhuriwa na viongozi wengi wanaolipwa na serikali na ni waajiriwa wa serikali àmbao badala ya kuhudumia wananchi walikwenda kushinda uwanja wa Mandela kushuhudia sherehe za birthday.

Walikuwepo viongozi wa Halmashauri, Vyombo vya ulinzi na usalama, serikali Kuu nk. Ni kama tumepoteza mwelekeo rasmi na Washauri wa Rais wameacha wapambe wampotoshe kiongozi wa nchi.

Safi sana tutaelewana
 
Huyu ni Rais wa 6 Tangu Tanganyika ilipoungana na Zanzibar na kuunda nchi mpya Tanzania.

Marais 5 waliopita wote walizaliwa na huyu wa Sasa alivyozaliwa. Lakini hatujawahi kuona sherehe za kuzaliwa kiongozi zinageuzwa sherehe za kitaifa.

Naziita za kitaifa Kwa sababu zimepangwa kimikoa Kila mwaka. Mwaka huu ilikuwa zamu ya mkoa wa Rukwa na Jana zimefanyika uwanja wa Nelson Mandela mgeni rasmi akiwa Mkuu wa mkoa ambaye analipwa na serikali.

Lakini pia sherehe hizo zimehudhuriwa na viongozi wengi wanaolipwa na serikali na ni waajiriwa wa serikali àmbao badala ya kuhudumia wananchi walikwenda kushinda uwanja wa Mandela kushuhudia sherehe za birthday.

Walikuwepo viongozi wa Halmashauri, Vyombo vya ulinzi na usalama, serikali Kuu nk. Ni kama tumepoteza mwelekeo rasmi na Washauri wa Rais wameacha wapambe wampotoshe kiongozi wa nchi.

Ushamba tu, hii inaonesha aina ya nchi tuliyonayo ilivyo na watu wa kiwango cha chini cha akili
 
Huyu ni Rais wa 6 Tangu Tanganyika ilipoungana na Zanzibar na kuunda nchi mpya Tanzania.

Marais 5 waliopita wote walizaliwa na huyu wa Sasa alivyozaliwa. Lakini hatujawahi kuona sherehe za kuzaliwa kiongozi zinageuzwa sherehe za kitaifa.

Naziita za kitaifa Kwa sababu zimepangwa kimikoa Kila mwaka. Mwaka huu ilikuwa zamu ya mkoa wa Rukwa na Jana zimefanyika uwanja wa Nelson Mandela mgeni rasmi akiwa Mkuu wa mkoa ambaye analipwa na serikali.

Lakini pia sherehe hizo zimehudhuriwa na viongozi wengi wanaolipwa na serikali na ni waajiriwa wa serikali àmbao badala ya kuhudumia wananchi walikwenda kushinda uwanja wa Mandela kushuhudia sherehe za birthday.

Walikuwepo viongozi wa Halmashauri, Vyombo vya ulinzi na usalama, serikali Kuu nk. Ni kama tumepoteza mwelekeo rasmi na Washauri wa Rais wameacha wapambe wampotoshe kiongozi wa nchi.

Maendeleo tutaendelea kuyasikia kwa wenzetu maana waliopo kwenye nafasi za uongozi ndiyo hao hawafikirii nje ya ndoo
 
Back
Top Bottom