Mambo hayo tunayaonaga kwenye nchi za kifalme tu na haya ni matokeo ya watu kupata teuzi kwa kuzingatiwa kipaumbele cha uchawaHuyu ni Rais wa 6 Tangu Tanganyika ilipoungana na Zanzibar na kuunda nchi mpya Tanzania.
Marais 5 waliopita wote walizaliwa na huyu wa Sasa alivyozaliwa. Lakini hatujawahi kuona sherehe za kuzaliwa kiongozi zinageuzwa sherehe za kitaifa.
Naziita za kitaifa Kwa sababu zimepangwa kimikoa Kila mwaka. Mwaka huu ilikuwa zamu ya mkoa wa Rukwa na Jana zimefanyika uwanja wa Nelson Mandela mgeni rasmi akiwa Mkuu wa mkoa ambaye analipwa na serikali.
Lakini pia sherehe hizo zimehudhuriwa na viongozi wengi wanaolipwa na serikali na ni waajiriwa wa serikali àmbao badala ya kuhudumia wananchi walikwenda kushinda uwanja wa Mandela kushuhudia sherehe za birthday.
Walikuwepo viongozi wa Halmashauri, Vyombo vya ulinzi na usalama, serikali Kuu nk. Ni kama tumepoteza mwelekeo rasmi na Washauri wa Rais wameacha wapambe wampotoshe kiongozi wa nchi.
Naona angalau kuna mtaa wa NyerereUwanja wa Nelson Mandela
Hivi South Afrika kuna uwanja wa Julius Nyerere ? Barabara ya Julius Nyerere ? Chuo cha Julius Nyerere ? Hospitali ya Julius Nyerere ?
Tuanajipendekeza kwa watu ambao wao ndo ilibidi watushukuru sisi. Mtanganyika ni mtu mwenye akili finyu sana.
La kuvunda halina ubaniWaswahili husema, kizuri chajiuza, kibaya chajitembeza.
Ukute kuna budget kabisa ya kukitembeza hiki kibaya kilichopo.
KakimbiaNaona angalau kuna mtaa wa NyerereView attachment 3217225
ilipelekwe Bungeni.Huyu ni Rais wa 6 Tangu Tanganyika ilipoungana na Zanzibar na kuunda nchi mpya Tanzania.
Marais 5 waliopita wote walizaliwa na huyu wa Sasa alivyozaliwa. Lakini hatujawahi kuona sherehe za kuzaliwa kiongozi zinageuzwa sherehe za kitaifa.
Naziita za kitaifa Kwa sababu zimepangwa kimikoa Kila mwaka. Mwaka huu ilikuwa zamu ya mkoa wa Rukwa na Jana zimefanyika uwanja wa Nelson Mandela mgeni rasmi akiwa Mkuu wa mkoa ambaye analipwa na serikali.
Lakini pia sherehe hizo zimehudhuriwa na viongozi wengi wanaolipwa na serikali na ni waajiriwa wa serikali àmbao badala ya kuhudumia wananchi walikwenda kushinda uwanja wa Mandela kushuhudia sherehe za birthday.
Walikuwepo viongozi wa Halmashauri, Vyombo vya ulinzi na usalama, serikali Kuu nk. Ni kama tumepoteza mwelekeo rasmi na Washauri wa Rais wameacha wapambe wampotoshe kiongozi wa nchi.