vikodin
Member
- Apr 14, 2018
- 55
- 96
- Thread starter
- #61
Shida ni kwamba sisi wa afrika tunaanzisha biashara na mtaji kiduchu sana,ndo maana tunakuwa tunafeli mapema sana,tujifunze kwa wenzetu wa asia ambao wao wameonyesha mafanikio makubwa ktk ujasiriamali,kwa kipindi hiki kifupi ulichoanzisha biashara hukupaswa kufikiria mambo ya vifurushi n.k ..usikute na kula napo unategemea hapohapo ..biashara ni kama mtoto unapaswa uilee hata kwa mwaka ndo ufunge mahesabu,la sivyo itakupa sana mawazo,itakuendesha badala ya wewe kuiendesha yenyewe
Nimekuelewa mkuu
Shida ni kwamba sisi ni waafrika!!