Omusolopogasi
JF-Expert Member
- Aug 31, 2017
- 7,101
- 18,051
Hakuna kitu kinaumiza kama kuishi kwa ndugu, naamini ipo siku nami nitakuwa na kwangu.
Dah hongera
Hashim Rungwe " wanipe,wanipe, kama hawaamini wanipe"
Wagogo nao waanze kuvua samakiTutapeleka bahari Dodoma
DuuuuuhKujenga wanajenga Strabag na Estim...wewe umepanga matofali umepata hivyo vyumba vyako vi3 unakuja kutishia watu humu
Pole sana Mkuu. Kisa chako kinasikitisha ingawa hujakielezea vizuri.Nilikuwa na akili kama zako mpaka pale nyumba niliyopanga ilipouzwa bila mimi kupewa taarifa na nikiwa bado na mkataba!! aliyenunua akaja na vyombo vyake anataka kuingia ndami .. kesi zikaanza na amani ikatoweka ..muda wa kwenda kazini we unaenda kumsubiri mwenyekiti wa serikali za mtaa kusikiliza shauri lenu.. mwenyekiti nae keshapewa cha juu anakuambia bora utafute nyumba nyingine.. ukirudi home wife anakuuliza vipi mmefikia wapi.. ukitazama dogo anacheza na wenzake nje kwa furaha hajui kama pale sio kwao tena!!.. acha kabisa!..
KweliTafuta chumba hata cha elfu 30 toka hapo kwa ndugu
Ile harufu huwa inaishaga na kujamba.Hahahaha!!!
Kingine ile harufu mpya mpya ya nyumba inayonukia. Kingine ile nyumba mpya na vitu vipya ndani ya nyumba.
Halafu ukimuangalia mkeo na watoto jinsi walivyo na furaha. Ni kweli ulichokinadi, unanenepa kabisa.
DooooohNaam hilo jambo.la msingi sana
Hii ni point pua, japo kwa mazingira yetu kupata nyumba ya kupanga inayokidhi bila usumbufu wowote ni changamoto pia.Kama gharama za usafr Ni sawa na gharama za kupanga Ni Bora tuendelee kupanga
Congrats kwa kina mama na kina baba wenye nyumba wote πSwahiba Mgagaa na Upwa unaitwa huku.
Ziwafikie kwa kweli.Congrats kwa kina mama na kina baba wenye nyumba wote π
Hongera zako Mkuu. Ni stage kubwa mno hiyo na unapoifanikisha kwa hatua yeyote ile huna budi kumshukuru aliye juu.
Kwani si wote wanafanikiwa kuufikia uhalisia walio wengi wanajenga maghorofa na nyumba mawazoni tu.
Ila kipindi cha mvua baba wenye gari ndio uwa juu mawinguni πZiwafikie kwa kweli.
[emoji3][emoji3][emoji119][emoji119]Kujenga wanajenga Strabag na Estim...wewe umepanga matofali umepata hivyo vyumba vyako vi3 unakuja kutishia watu humu