afisakipenyo
JF-Expert Member
- Sep 1, 2020
- 445
- 777
[emoji3][emoji3] we acha2Hakuna kitu kinaumiza kama kuishi kwa ndugu, naamini ipo siku nami nitakuwa na kwangu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji3][emoji3] we acha2Hakuna kitu kinaumiza kama kuishi kwa ndugu, naamini ipo siku nami nitakuwa na kwangu.
Wabongo mnajidanganya sana, nyumba za DSM hazieleweki mara , bomba mara Miundo mbinu, mara tunapanua uwanja wa ndege hameni.Kupanga shida Ila namshukuru Mungu hiki kijiti nilikiondoa miaka 10 iliyopita.
Karibu kwenye Chama
Naona umekalili wooote tunaishi viwanja vya mihogo, huku niliko mpk wapanue barabara huku nanjilinji mmnh.Wabongo mnajidanganya sana, nyumba za DSM hazieleweki mara , bomba mara Miundo mbinu, mara tunapanua uwanja wa ndege hameni.
Hapo bado kijana unasafari ya nje, UK, USA, KENYA, Kutafuta maisha, South huko si utapanga tu. Jenga/pangisha tambaa na njia, kapange tena nyumba iwe za dharula tu, mke akisepa asepe upangajini. Nyumbani kwako hatoki ng'oo! utatoka weye! maisha yalivo magumu hatakubali kwenda kuanza moja.
Na wewe una nyumba?Karibu kwenye club
Ova
Hongera mkuu
CCM oyeeee,maendeleo hayana chamaHakuna kitu kinaumiza kama kuishi kwa ndugu, naamini ipo siku nami nitakuwa na kwangu.
Hapa kazi tuu mzee babaccm oyeeee,maendeleo hayana chama
Sijakariri Mkuu, Labda nyie huko ndiyo mnaishi viwanja vya Mihogo! vyetu sisi huku Wailles, Kamunnyonge, Magomeni Biafra, Ilala Boma vimepimwa kabisaa! tangu enzi za mchonga hakuna kuhamishwa!! Bali ukitaka ni unanunua Nyumba unajenga. kwa pesa ndefuu!Naona umekalili wooote tunaishi viwanja vya mihogo, huku niliko mpk wapanue barabara huku nanjilinji mmnh
Nimeelewa kwa nini huwa unashabikia CCM mkuu.Hapa kazi tuu mzee baba
Nanjilinji tumepima toka 1990Sijakariri Mkuu, Labda nyie huko ndiyo mnaishi viwanja vya Mihogo! vyetu sisi huku Wailles, Kamunnyonge, Magomeni Biafra, Ilala Boma vimepimwa kabisaa! tangu enzi za mchonga hakuna kuhamishwa!! Bali ukitaka ni unanunua Nyumba unajenga. kwa pesa ndefuu!
Bila shaka ulivoelewa n sahihi kabisanimeelewa kwa nini huwa unashabikia ccm mkuu
Mimi siku hiyo nitaomba na ruhusa nisiende kazini ili niamke saa Saba[emoji23]Habari ndugu .
Baada ya kukuru kakara za kupanga nyumba mbalimbali hapa jijini Dar es Salaam kwa miaka 5 hatimae nikafanikiwa kujenga nyumba yangu.
Nilikuwa nasikia tu watu wakisema mjini kuna baba mwenye nyumba, sasa nimejionea mwenyewe jamani nawaambieni furaha na amani yake usipime.
Siku ya kwanza kuhamia kwenye mjengo wangu kila mtu aliamka ana furaha na amani kuanzia mimi, watoto, mke na jamaa zangu.
Ndugu zangu ya Mungu mengi, ashukuriwe aliye juu.
Mungu anisaidie nisiwe na mawazo Kama yakoKama gharama za usafiri Ni sawa na gharama za kupanga Ni Bora tuendelee kupanga
Roho ya kimaskini hiiKujenga wanajenga Strabag na Estim...wewe umepanga matofali umepata hivyo vyumba vyako vi3 unakuja kutishia watu humu
Hongera ndugu,ila isiwe no matokeo ya haramu zile za kisayansi na dhulma dhidi ya wengine .Halo utakuwa na furaha ya kweli moyoni.Habari ndugu .
Baada ya kukuru kakara za kupanga nyumba mbalimbali hapa jijini Dar es Salaam kwa miaka 5 hatimae nikafanikiwa kujenga nyumba yangu.
Nilikuwa nasikia tu watu wakisema mjini kuna baba mwenye nyumba, sasa nimejionea mwenyewe jamani nawaambieni furaha na amani yake usipime.
Siku ya kwanza kuhamia kwenye mjengo wangu kila mtu aliamka ana furaha na amani kuanzia mimi, watoto, mke na jamaa zangu.
Ndugu zangu ya Mungu mengi, ashukuriwe aliye juu.