Siku ya kwanza kuamkia kwenye nyumba yako, furaha yake usipime!

Siku ya kwanza kuamkia kwenye nyumba yako, furaha yake usipime!

Kupanga shida Ila namshukuru Mungu hiki kijiti nilikiondoa miaka 10 iliyopita.
Karibu kwenye Chama
Wabongo mnajidanganya sana, nyumba za DSM hazieleweki mara , bomba mara Miundo mbinu, mara tunapanua uwanja wa ndege hameni.

Hapo bado kijana unasafari ya nje, UK, USA, KENYA, Kutafuta maisha, South huko si utapanga tu. Jenga/pangisha tambaa na njia, kapange tena nyumba iwe za dharula tu, mke akisepa asepe upangajini. Nyumbani kwako hatoki ng'oo! utatoka weye! maisha yalivo magumu hatakubali kwenda kuanza moja.
 
Wabongo mnajidanganya sana, nyumba za DSM hazieleweki mara , bomba mara Miundo mbinu, mara tunapanua uwanja wa ndege hameni.

Hapo bado kijana unasafari ya nje, UK, USA, KENYA, Kutafuta maisha, South huko si utapanga tu. Jenga/pangisha tambaa na njia, kapange tena nyumba iwe za dharula tu, mke akisepa asepe upangajini. Nyumbani kwako hatoki ng'oo! utatoka weye! maisha yalivo magumu hatakubali kwenda kuanza moja.
Naona umekalili wooote tunaishi viwanja vya mihogo, huku niliko mpk wapanue barabara huku nanjilinji mmnh.
 
Naona umekalili wooote tunaishi viwanja vya mihogo, huku niliko mpk wapanue barabara huku nanjilinji mmnh
Sijakariri Mkuu, Labda nyie huko ndiyo mnaishi viwanja vya Mihogo! vyetu sisi huku Wailles, Kamunnyonge, Magomeni Biafra, Ilala Boma vimepimwa kabisaa! tangu enzi za mchonga hakuna kuhamishwa!! Bali ukitaka ni unanunua Nyumba unajenga. kwa pesa ndefuu!
 
Sijakariri Mkuu, Labda nyie huko ndiyo mnaishi viwanja vya Mihogo! vyetu sisi huku Wailles, Kamunnyonge, Magomeni Biafra, Ilala Boma vimepimwa kabisaa! tangu enzi za mchonga hakuna kuhamishwa!! Bali ukitaka ni unanunua Nyumba unajenga. kwa pesa ndefuu!
Nanjilinji tumepima toka 1990
 
Habari ndugu .

Baada ya kukuru kakara za kupanga nyumba mbalimbali hapa jijini Dar es Salaam kwa miaka 5 hatimae nikafanikiwa kujenga nyumba yangu.

Nilikuwa nasikia tu watu wakisema mjini kuna baba mwenye nyumba, sasa nimejionea mwenyewe jamani nawaambieni furaha na amani yake usipime.

Siku ya kwanza kuhamia kwenye mjengo wangu kila mtu aliamka ana furaha na amani kuanzia mimi, watoto, mke na jamaa zangu.

Ndugu zangu ya Mungu mengi, ashukuriwe aliye juu.
Mimi siku hiyo nitaomba na ruhusa nisiende kazini ili niamke saa Saba[emoji23]
 
Habari ndugu .

Baada ya kukuru kakara za kupanga nyumba mbalimbali hapa jijini Dar es Salaam kwa miaka 5 hatimae nikafanikiwa kujenga nyumba yangu.

Nilikuwa nasikia tu watu wakisema mjini kuna baba mwenye nyumba, sasa nimejionea mwenyewe jamani nawaambieni furaha na amani yake usipime.

Siku ya kwanza kuhamia kwenye mjengo wangu kila mtu aliamka ana furaha na amani kuanzia mimi, watoto, mke na jamaa zangu.

Ndugu zangu ya Mungu mengi, ashukuriwe aliye juu.
Hongera ndugu,ila isiwe no matokeo ya haramu zile za kisayansi na dhulma dhidi ya wengine .Halo utakuwa na furaha ya kweli moyoni.
 
Back
Top Bottom