Alvin Slain
JF-Expert Member
- Aug 30, 2011
- 6,375
- 3,663
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwani yeye kuhamia kwake ww unateseka mkuu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwani yeye kuhamia kwake ww unateseka mkuu?
Mkuu,[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Duh kujenga kitu kimoja, kujaza nyumba kitu kingine....ni noma! Halafu nyumba mpya ndio inakuonesha vitu vyako vimechakaa!Hongera Baba mwenye numba mpya.
Mimi siku ya kwanza milifunga spika kubwa ya Bose na kupiga reggae dancehall kali sana...
😀😁😂😃😄😅😄😃🤣😂😁😀Mjini Kuna Baba Mwenye Nyumba.... Na pia Mama Mwenye Nyumba.... Wapo.
Mambo ni 50/50🤪😜
Nipo Nyonyo Wangu 🥰😍😘😀😁😂😃😄😅😄😃🤣😂😁😀
Win Win Situation!! Upo? Nyonyo!!
Una miaka mingap? Unasoma?Hakuna kitu kinaumiza kama kuishi kwa ndugu, naamini ipo siku nami nitakuwa na kwangu.
Nna 25, nimemaliza UDOM mwaka 2020 diploma.Una miaka mingap? Unasoma?
Fanya jambo, mwanao nianze kujitegemea mkuu
hahahaha we jamaarejesho linakunyima usingizi
Mungu akupe makazi yakoHakuna kitu kinaumiza kama kuishi kwa ndugu, naamini ipo siku nami nitakuwa na kwangu.
Amen 🙏🙏🙏Mungu akupe makazi yako
Habari ndugu,
Baada ya kukuru kakara za kupanga nyumba mbalimbali hapa jijini Dar es Salaam kwa miaka 5 hatimae nikafanikiwa kujenga nyumba yangu...