Siku ya kwanza kuingia shule ya bweni ya Serikali

Ile nimefika tu form V pale mjini Tanga, nilifika kwa kuchelewa kama wiki 3. Nakuta watu wanasolve necta ya form VI tena maswali ya complex number wakati hata topic nilikuwa siijui inahusu nini. Nilipagawa.
Haaa aa ahaa
 
Hahaha nilinunua chips za 1000 zikajazwa kwenye ungo wa kupepetea mchele. Gulio kila Jumamosi Chai ya rangi 200 chai ya maziwa 100
Napajua vizuri sana, mimi na baridi ni tofauti kabisa.
 
Hahaha nilinunua chips za 1000 zikajazwa kwenye ungo wa kupepetea mchele. Gulio kila Jumamosi Chai ya rangi 200 chai ya maziwa 100
Ha ha ha ha haaaaaaa, unaambiwa ukifika kule halafu ukaagiza chips za buku wanaokuzunguka wanabaki kutazamana halafu wanasemeshana kilugha huku wanakutazama.
 
Siku ya kwanza kuingia shule ya bweni kwangu mimi ilikua ni kidato cha kwanza.

Kitu ninachokikumbuka sana katika ile siku ni lafudhi hasa za watu wa kanda ya ziwa.Nilikua naenjoy sana(na kushangaa pia) namna wasukuma walivyokua wanaongea kiswahili.
 
Bila shaka ni Kantalamba boys
 
Mimi nimesoma bagamoyo secondary, shule pekee ukiwa ufukwen au baharin unaogelea unakua bado upo eneo la shule, kama advance hukusoma serikalin bas ww ni kilaza
Yaani wewe mwenye akili ndio unasema hivi?
 
Ha ha ha ha haaaaaaa, unaambiwa ukifika kule halafu ukaagiza chips za buku wanaokuzunguka wanabaki kutazamana halafu wanasemeshana kilugha huku wanakutazama.
Wanaongea haraka haraka mno dah mpaka ilikua inabidi nipredict tu kua huyu atakua kamaanisha hiki na hiki
 
hahahahahaha, scandia umenikumbusha mbali sana mkuu.

Bonne journée!!
 
Mzee wa kitei, Ilboru chakula kilikua kizuri hasa usiku.Kwayu alikua mtu mzuri sana.
 
Aisee hii ratiba ya wali kila siku ilikuwa ilikuwa mwaka gani.? Maana enzi za kitemango wali ilikuwa unatafutwa kwa tochi, na mkifanya mchezo huo wali wenyewe mnakopwa.
Baada ya kitemango kuondoka.
 
Ulisoma Kibaha ukiwa umechelewa. Zamani Kibaha ilikuwa inaongoza kwa uzuri. Wali/nyama kilikuwa kitu cha kawaida. Magodoro tulikuwa tuyakuta shuleni. Wanafunzi tulikuwa hatuendi shuleni na magodoro.
 
Ile nimefika tu form V pale mjini Tanga, nilifika kwa kuchelewa kama wiki 3. Nakuta watu wanasolve necta ya form VI tena maswali ya complex number wakati hata topic nilikuwa siijui inahusu nini. Nilipagawa.
Hahahaha
 
Old moshi a.k.a Moshi Sec,karibu na Chuo cha Ushirika upande mwingine C.C.P,Chuo cha polisi, nilikutana na matope hatari.Udongo mwekundu unanata sana kipindi cha mvua.Matope bwenini unakwangua na jembe ndio uanze kudeki.Kuvaa gamboot kila mahali ,mpaka kwenda kuoga bafuni unavaa gamboot na taulo kiunoni ,kandambili mkononi.Ukifika bafuni unavua gamboot unavaa kandambili.ukimaliza unarudi tena kwenye gamboot.Chakula cha kugombania O levels wanafujo sana .Ugali na maharage au uji wanajaza kwenye ndoo ndogo,wengine wanakosa.Usiku hakuna walinzi kwa hiyo tunazurura tu mjini Moshi tupendavyo.Shule haikuwa na fence.Ni uamuzi wako uende prepal kusoma au kuzurura.Nilimaliza miaka miwili ya A level.
 
Mwamba umesoma home kabisa mbalizi najuua umesoma chin ya mdingi fidelis
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…