Haaa aa ahaaIle nimefika tu form V pale mjini Tanga, nilifika kwa kuchelewa kama wiki 3. Nakuta watu wanasolve necta ya form VI tena maswali ya complex number wakati hata topic nilikuwa siijui inahusu nini. Nilipagawa.
Nenda ukaishi huko ndugu mjumbe pako kama Ulaya huko.Dah mwenyekiti, kama kawaida yako!!
Napajua vizuri sana, mimi na baridi ni tofauti kabisa.Nenda ukaishi huko ndugu mjumbe pako kama Ulaya huko.
Napajua vizuri sana, mimi na baridi ni tofauti kabisa.
Ha ha ha ha haaaaaaa, unaambiwa ukifika kule halafu ukaagiza chips za buku wanaokuzunguka wanabaki kutazamana halafu wanasemeshana kilugha huku wanakutazama.Hahaha nilinunua chips za 1000 zikajazwa kwenye ungo wa kupepetea mchele. Gulio kila Jumamosi Chai ya rangi 200 chai ya maziwa 100
Bila shaka ni Kantalamba boysmh! mimi nililipoti baada ya siku kama tatu hivi likaibuka timbwili la kudai wali baada ya vijana kuchoshwa na ugali wengu, timbwili likiongozwa na makamanda wa form2, hasira zikichochewa zaidi baada ya timu ya mpira wa miguu ya shule niliyolipoti kutandikwa bao moja kwa sifuri na timu ya shule jirani na mkuu wa shule asubuhi alitutabilia kufungwa siku hiyo.
Form5 wengi tukiwa ni wagen madogo hawana huruma kwa mtu anaekaa nyumanyuma waliamuru form5 tuwe mstali wa mbele kuelekea kwa mkuu wa shule wao wako nyuma wakiimba kwa hasira TUNATAKA WALI TUNATAKA WALI.
Nyumba ya mkuu wa shule ilibomolewa vibaya na tayali ilikua usiku, mkuu alipona hali mbaya akatoa taarifa polisi ffu wakaja aisee kichopo kikaanza. form 2, 3, na six walikua wenyeji wanajua kila kona shida ikawa kwa form 1 na sisi form 5 hatujui tukimbilie wapi, ktk kimbiakimbia usiku ule baazi ya vijana walijikuta kwenye bonde ambalo juu kuna majani na matete mengi ila chini ni kina kirefu cha maji na ile giza ilikua ngum kujua dimbwi limeanzia wapi na linaishia wapi, hapo vijana kazaa wa form1 walipoteza maisha (RIP)
Baada ya usiku huo wa kadhia timbwili lilirudiwa tena asubuhi baada ya wanafunzi kujua kuwa kuna wenzetu waliopoteza maisha huko dimbwini hapo sasa ffu waliomba poo viongoz wa mkoa walikuja shule baada ya hali kua mbaya shule ilifungwa kwa muda usio julikana.
Yaani wewe mwenye akili ndio unasema hivi?Mimi nimesoma bagamoyo secondary, shule pekee ukiwa ufukwen au baharin unaogelea unakua bado upo eneo la shule, kama advance hukusoma serikalin bas ww ni kilaza
Wanaongea haraka haraka mno dah mpaka ilikua inabidi nipredict tu kua huyu atakua kamaanisha hiki na hikiHa ha ha ha haaaaaaa, unaambiwa ukifika kule halafu ukaagiza chips za buku wanaokuzunguka wanabaki kutazamana halafu wanasemeshana kilugha huku wanakutazama.
hahahahahaha, scandia umenikumbusha mbali sana mkuu.Siwezi sahau scandia pale kibaha nikamwambia mzee shule hii mbaya mzee hakunisikiliza sana Sana aliwasha gari akateleza ila nikahamia pangani... Msosi Siku ile ilikua ugali na supu.. Yani futa kama lote.. Ila nimiaka 8 iliyopita now nipo namalizia PhD yangu ufaransa
Mzee wa kitei, Ilboru chakula kilikua kizuri hasa usiku.Kwayu alikua mtu mzuri sana.Nilipoingia form five pale ilboru maisha yalikua POA Sana sikuhisi utafauti Sana kwa sababu nilikua mpenzi Sana maharagwe niliona poa tu, sema hata ivo msosi was shuleni ulikua POA tu maana mchana Kama kawa ugali haragwe usiku Kila siku ubwabwa na haragwe , week end kitu Cha pilau , wazee wa kitei wanakumbuka Sana christopher cirilo , pongezi ziende kwa mzee kwayu best headmaster to me kwa kwel.
Baada ya kitemango kuondoka.Aisee hii ratiba ya wali kila siku ilikuwa ilikuwa mwaka gani.? Maana enzi za kitemango wali ilikuwa unatafutwa kwa tochi, na mkifanya mchezo huo wali wenyewe mnakopwa.
Ulisoma Kibaha ukiwa umechelewa. Zamani Kibaha ilikuwa inaongoza kwa uzuri. Wali/nyama kilikuwa kitu cha kawaida. Magodoro tulikuwa tuyakuta shuleni. Wanafunzi tulikuwa hatuendi shuleni na magodoro.
HahahahaIle nimefika tu form V pale mjini Tanga, nilifika kwa kuchelewa kama wiki 3. Nakuta watu wanasolve necta ya form VI tena maswali ya complex number wakati hata topic nilikuwa siijui inahusu nini. Nilipagawa.
We jamaa fwalaa sanaa daa nimechekaa saanaa[emoji23] [emoji23] [emoji23]Hahahaha kuna boya alikunywa pola bangala 3 kudadeq alikojoa mchana yan kwa godolo
Mbalizi ipi iyo mkuu?Mwamba umesoma home kabisa mbalizi najuua umesoma chin ya mdingi fidelis
Nimesoma kipindi ya mwampoma, ZumbaMwamba umesoma home kabisa mbalizi najuua umesoma chin ya mdingi fidelis