Siku ya kwanza kuingia shule ya bweni ya Serikali

Ha ha ha ha hii ndio ilikua raha ya Government school lazma kwanza mlianzishe then Mengne yafate
 
Haha shemeji ulikuwa wa kishua hatari
 
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] Ali chezea za chembe
 
Mimi nimesoma bagamoyo secondary, shule pekee ukiwa ufukwen au baharin unaogelea unakua bado upo eneo la shule, kama advance hukusoma serikalin bas ww ni kilaza
sio kila mtu ni masikini kama wewe mbwa we
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…