Siku ya Kwanza kumiliki SUV sikulala!

Siku ya Kwanza kumiliki SUV sikulala!

and 300

JF-Expert Member
Joined
Jun 27, 2012
Posts
26,398
Reaction score
36,406
Wakuu 2021, Inshallah nimefanikiwa kumilik hii SUV. Nimejinyima for 11 good years kufanikisha hili.

BK265563_e99f69.jpg


BK265563_6aa3c1.jpg


BK265563_c846f5.jpg

NB: Vijana jifunzeni uvumilivu katika kutafuta
 
Utaendelea kujinyima Sana, Hilo Dudu ukifanya Masihara na mafundi na service Za hovyo linakufanya maskini!
Haya mawazo uchwara, umaskini na ya kijiweni ndio siyapendagi.
Uliwahi kulimiliki?
Unajua mishe zake?
Tuache kutishana...acheni watu waishi ndoto zao hata kwa mwezi inatosha historia imeandikwa.
(Msitumie nguvu nyingi huyu jamaa ni kiduku type, hii gari ilinunuliwa na Mmalawi toka beforward)
 
Haya mawazo uchwara ndio siyapendagi.
Uliwahi kulimiliki?
Unajua mishe zake?
Tuache kutishana...acheni watu waishi ndoti zao hata kwa mwezi inatosha historia imeandikwa.

Ha ha ha! Haya Bwana! Ni sawa, Hakuna mtu kakatisha ndoto ya mtu! Naweza nisiwe na Range Rover, Ila nikawa na ya thaman zaidi!

Magari Ni zaidi ya unavyofikiri! Ninayajua Sana! Kwa hiyo Najua machoongea! Hilo gari laitaji uwe Na gari zaidi ya Moja na uwe na hela sio Za ku save miaka 10!

Hilo gari Laweza likakorofisha Umeme lisiwake, ikabidi lifuatwe na winch, sio gari ya mchezo! Sio kwamba twamkatisha tamaa, twamweleza tu ukweli.

Ukiona mtu Ka save miaka 10 kununua gari, especially hili Ambali si ghali kivile; ujue ate save miezi 6 ku service, Na asipopata Fundi mzuri litavurugwa.
 
I have to be honest brother with no sugar coating,kama hii ndio SUV umeamua kuwa nayo umejitafutia matatizo ya moyo na matumizi ya zaidi, utalipaki miaka mingine 11 ili uje litengeneza tena kwa kifupi utalipaka na likishalala ndio imeisha hiyo.
 
Back
Top Bottom