Siku ya Kwanza Kuongea Kiingereza mbele ya Kadamnasi kidogo nizimie

Siku ya Kwanza Kuongea Kiingereza mbele ya Kadamnasi kidogo nizimie

duuh kwa kweli unastahili pongezi mimi mbona ningetoka NDUKI tu kwani Seminar presentation ilikuwa na marks ngapi? sidhani kama zinazidi marks 10
 
Siku moja tupo kwenye seminar ya koz moja inaitwa rural agricultural economy maarufu kama YELLOW BOOK kwa waliosoma SUA wataelewa, basi picha moja ilikua imebandikwa ukutani ikapulizwa upepo ikadondoka chini jamaa kule mbele akiwa na maiki alisema "what is that, ooh the picture drop down without becouse" basi tulicheka sana

Hahahahaha duh mkuu nimecheka mpaka watu wananishangaa
 
duuh kwa kweli unastahili pongezi mimi mbona ningetoka NDUKI tu kwani Seminar presentation ilikuwa na marks ngapi? sidhani kama zinazidi marks 10

Kwa hiyo hizo maksi 10 ungesema 'potelea mbali, acha nizikose tu' kuliko kuadhirika mbele ya watu?

Mnanichekesha kweli leo!
 
mimi marks 10 zisingenifanya nidhalilike mbele ya mademu na ukizngatia chuo nilikuwa tozi balaa si unajua nilikuwa napata hela kila kona Bodi ya mikopo, Home na kwa bro na ndegu wengine, sema sasa maisha yashanichapa sina ujanja.
 
Nakumbuka jamaa kabla ya seminar alikariri sana , sasa wakati wa presentation akasau neno basi akakauka mpaka dakika zake zimekwisha akarudi kukaa, class nzima iliangua kicheko.. seminar leader akampa zero out of ten..... jamaa aliporudi rum akasema ''leo nimeumbuka na kwa mtindo ctapata demu tena hapa chuo.''


mwingine aliwahi sema:

why? then akajibu because kwa sababu.

Yaan mambo ya seminar acha tu.
 
Nakumbuka miaka ya nyuma nilishawahi kwenda Interview ya Bank Teller CRDB pale Azikiwe daah sijui ndo kiingereza au uoga maana nilikuwa nikiulizwa swali najibu kwa sauti kubwa kama napiga ADHANA MSIKITINI (Swalaa Swalaa saa 11 alfajiri) mpaka yule HR akaniambia ndugu hebu RELAX hiii sio vita!! si unajua tena umemaliza shule umekaa mtaani kazi huna ghafla uaitwa interview wee nilikremu vitu balaa kufika tu mi natapika hata nisivyoulizwa
 
Nakumbuka miaka ya nyuma nilishawahi kwenda Interview ya Bank Teller CRDB pale Azikiwe daah sijui ndo kiingereza au uoga maana nilikuwa nikiulizwa swali najibu kwa sauti kubwa kama napiga ADHANA MSIKITINI (Swalaa Swalaa saa 11 alfajiri) mpaka yule HR akaniambia ndugu hebu RELAX hiii sio vita!! si unajua tena umemaliza shule umekaa mtaani kazi huna ghafla uaitwa interview wee nilikremu vitu balaa kufika tu mi natapika hata nisivyoulizwa

Yaani umeniacha sina mbavu....
 
mtoa mada umenikumbusha mbali sana aisee mimi nitabaki kumlaumu Nyerere kwa kung'ang'ania Kiswahili shu;e za Msingi (Nursery/pre-school mpaka Std. 7). Hao mademu nao makauzu sana wanakuchekaje kwani wao walikuwa wanakijua KIZUNGU?

mbona mnapenda kumsingizia nyerere? unataka kusema waliosoma kipindi cha nyerere hawajui kiengereza ila waliosoma kipindi cha mtalii kikwete ndiyo mnajua kiingereza? nyerere ndiye aliyeanzisha shule za kata?
 
Siku moja tupo kwenye seminar ya koz moja inaitwa rural agricultural economy maarufu kama YELLOW BOOK kwa waliosoma SUA wataelewa, basi picha moja ilikua imebandikwa ukutani ikapulizwa upepo ikadondoka chini jamaa kule mbele akiwa na maiki alisema "what is that, ooh the picture drop down without becouse" basi tulicheka sana

Daaaah!!! Yaani ninacheka sana.
 
Back
Top Bottom