warumi
R I P
- May 6, 2013
- 16,218
- 18,440
Uwiii........
Majanga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uwiii........
You you say, but me I'm don't know
Hahahaaaa muulize le mutuz alivotoka jasho kwenye upara alipokuwa anaongea kiingereza kuomba kura za ubunge wa EAC
Hhhhaaaa
We nae nini sasa?
Ni moja ya mistari niliyoikumbuka baada ya kusoma mada hiyo
Hahaaaa kuna mwingine mbunge wa cuf viti maalum alitishaaaa
Hahahaaaa, mkuu kitu cha Prof. Mlambiti nn?Siku moja tupo kwenye seminar ya koz moja inaitwa rural agricultural economy maarufu kama YELLOW BOOK kwa waliosoma SUA wataelewa, basi picha moja ilikua imebandikwa ukutani ikapulizwa upepo ikadondoka chini jamaa kule mbele akiwa na maiki alisema "what is that, ooh the picture drop down without becouse" basi tulicheka sana
Question tag sasa, 'Yo took my pen, tookn't you?Who telled you? Aahahah ahah lugha hii ya malkia ni shidaa
Question tag sasa, 'Yo took my pen, tookn't you?
Hahaaahaaa Nimecheka sana aiseee! Without because akimaanisha bila sababu au!!??
Nakumbuka miaka ya nyuma nilishawahi kwenda Interview ya Bank Teller CRDB pale Azikiwe daah sijui ndo kiingereza au uoga maana nilikuwa nikiulizwa swali najibu kwa sauti kubwa kama napiga ADHANA MSIKITINI (Swalaa Swalaa saa 11 alfajiri) mpaka yule HR akaniambia ndugu hebu RELAX hiii sio vita!! si unajua tena umemaliza shule umekaa mtaani kazi huna ghafla uaitwa interview wee nilikremu vitu balaa kufika tu mi natapika hata nisivyoulizwa
Hahaha dah aisee naonekana chizi huku kwa kucheka