Siku ya kwanza kupigwa ban ulijisikiaje?

Siku ya kwanza kupigwa ban ulijisikiaje?

Nimekula Ban 3 mwaka jana,

Ya kwanza niliipata kwenye uzi wa Le mutuz, baada ya kumquote comment yake nikamtania Mods wakalala mbele na kichwa changu.

Ya pili kwenye jukwaa la Siasa kipindi cha vuguvugu la Lisu alipopigwa risasi, niliipata kwenye uzi wa Chabruma baada ya kutaja jina fulani.

Ya tatu kwenye jukwaa la MMU, nilikuwa najibizana na kapeace, soga zilinoga tukatoka nje ya mada, Mods wakalala mbele na vichwa vyetu mimi na Kapeace.

Ban 2 za mwanzo zilikuwa za siku 5 zote.

Ban ya 3 ilikuwa ya siku 3.

Mwaka huu bado sijapata Ban na najitahidi nisiipate labda iwe kwa bahati mbaya.
mimi sijawahi kula ban nahisi natafuta cheo cha kuwa Mods soon
Nasubiri nitimize miaka 5 ya uadilifu nianze kuomba kazi
Naamini maombi yangu yatajibiwa positively

Copy to Heads of Mods
 
mimi sijawahi kula ban nahisi natafuta cheo cha kuwa Mods soon
Nasubiri nitimize miaka 5 ya uadilifu nianze kuomba kazi
Naamini maombi yangu yatajibiwa positively

Copy to Heads of Mods
Kwa hiyo una maana unataka uache zamu lindoni...[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]
 
Kwa hiyo una maana unataka uache zamu lindoni...[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]
hapana, lindoni nitakuwepo kama kawaida
mshahara wa kule si unajua unalipaaaaaa
We naweeee, acha hizo bhana
 
Sikuwa na bando kwaiyo ban iliishia juu kwa juu niliporudi hewani iko poa tuu,
 
Siku nikipigwa ban naweza kuumwa. Utakua mwanzo wa kuwa na ID nyingine nitashindwa kuvumilia. Nitapotezaje muda wa kwenye foleni nikila ban
 
Mm nnasoma tu ila namngoja MBITIYAZA akimaliza Ban aje atuambie
 
nakuaminia
out for a while ila nitarudi
Sawa.
Ila nilichokigundua humu JF sijui ni majukumu mengi au ....

Mods hawashiriki kabisa mijadala tofauti na Mods kwenye forum zingine.

Forums zingine tena kubwa kuliko JF Mods wanapiga kazi na kujadili na watu wengine kama kawaida sio kama Mods wetu hapa wao ni kutoa ufafanuzi kidogo tu then mengine waayafanya kimya kimya.
 
Back
Top Bottom