Siku ya kwanza kupika ilikuwaje? Ulichopika kiliiva?

Siku ya kwanza kupika ilikuwaje? Ulichopika kiliiva?

Black Opal

JF-Expert Member
Joined
Jan 22, 2023
Posts
233
Reaction score
298
Wakuu,

Mimi nakumbuka nilijaribu kupika wali. Nikaandaa kila kitu freshi, weka mchele wangu safiii ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚. Wakuu nilitoa bokoboko si la nchi hii, jina likabadilishwa fasta nikaanza kuitwa bokoboko๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚. Mpaka nilipokuja kuuwezea ubwabwa nilishazoea na jina la bokoboko.

Vipi wewe, siku ya kwanza kupika ilikuaje? Ulichojaribu kupika kilitokea freshi au ulienda kumwaga kimya kimya?
 
Ugali
Niliweka maji jikoni nikatia unga wa kutosha bila maji kuchemka ukiachilia mbali kupata moto,nikawa naongeza unga huku nasonga

Hapo nilikuwa sijawahi kuona hatua za mwanzo za upishi wa ugali zaidi kukuta mtu anasonga

Kilichotokea ni kama cement iliyotiwa mchanga na maji
 
Ugali
Niliweka maji jikoni nikatia unga wa kutosha bila maji kuchemka ukiachilia mbali kupata moto,nikawa naongeza unga huku nasonga

Hapo nilikuwa sijawahi kuona hatua za mwanzo za upishi wa ugali zaidi kukuta mtu anasonga

Kilichotokea ni kama cement iliyotiwa mchanga na maji
๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚
 
chapati nilisukuma roundi ikapitiliza kwenye kibao, nakumbuka jikoni nilikua nahangaika sana nikisukuma na mimi nasogea mama aligomba sana hio siku na alikua akikufundisha n mara moja tubya pili inakuhusu
 
Ugali
Niliweka maji jikoni nikatia unga wa kutosha bila maji kuchemka ukiachilia mbali kupata moto,nikawa naongeza unga huku nasonga

Hapo nilikuwa sijawahi kuona hatua za mwanzo za upishi wa ugali zaidi kukuta mtu anasonga

Kilichotokea ni kama cement iliyotiwa mchanga na maji
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚Najua hauksahau kuweka chumvi๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Wakuu,

Mimi nakumbuka nilijaribu kupika wali. Nikaandaa kila kitu freshi, weka mchele wangu safiii ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚. Wakuu nilitoa bokoboko si la nchi hii, jina likabadilishwa fasta nikaanza kuitwa bokoboko๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚. Mpaka nilipokuja kuuwezea ubwabwa nilishazoea na jina la bokoboko.

Vipi wewe, siku ya kwanza kupika ilikuaje? Ulichojaribu kupika kilitokea freshi au ulienda kumwaga kimya kimya?
Mimi nilikuwa napka wali kawaida boko nlipoanza ishi peke yangu.
Kuna mwanajeshi mwanaume alikuwa jiran alinifundisha kupika wali hadi leo nna muda nimepka ila mtu yeyote akionja wali niliopika huwa anasalute. Kati ya kitu najua kupka ni wali unachambuka balaa na ni kwa jiko la gesi au umeme nje ya hapo siwezi.
 
2005 nilimwambia mama anipe mchele kidogo nijifunze, akanambia hana mchele wa kuchezea so akanipimia mwingi ili nipike chakula cha wote, kilichofuata ni mabao kila hatua mpaka wali ukakamilika, nahisi walikula na machozi yangu
 
Nilipika sato kwenye chungu nikaweka chini na majani ya mgomba nikimuiga bibi yangu kuongeza udambwiudamwi. Kilichotokea nilikuta samaki ameungua kawa mweusi kama 2pac wa ghana.

Ilikuwa mara ya kwanza kuachwa home peke yangu kwa kushtukiza.
 
20221016_203428.jpg

Wali:
Kidume nikapika wali. Ule wali ulikuwa ukiweka kwenye sahani unalia kama kitenesi.



Tambi:
Zilitoka zimebandiana kama ugali halafu mbaya kishenzi.



Mchicha:
Ulitoka mchungu kweli kweli kama mti wa mwarobaini
 
Nilipiga sato kwenye chungu nikaweka chini na majani ya mgomba nikimuiga bibi yangu kuongeza udambwiudamwi. Kilichotokea nilikuta samaki ameungua kawa mweusi kama 2pac wa ghana.

Ilikuwa mara ya kwanza kuachwa home peke yangu kwa kushtukiza.
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
I tried to make ugali
I boiled some water
Then I put some flour
Uji ukawa mzito ukawa unaruka unasema tuk toka tuk toka ilikua kwenye jiko la mchina nlkua kifua wazi vikanirukia kwenye nipple (men tunazo pia nipple) nikaachia hapo kupika
 
Back
Top Bottom