IamBrianLeeSnr
JF-Expert Member
- Nov 10, 2022
- 2,010
- 4,179
Huu uzi na udumu kwakweli 😂😂😂😂View attachment 2581294
Wali:
Kidume nikapika wali. Ule wali ulikuwa ukiweka kwenye sahani unalia kama kitenesi.
Tambi:
Zilitoka zimebandiana kama ugali halafu mbaya kishenzi.
Mchicha:
Ulitoka mchungu kweli kweli kama mti wa mwarobaini