Siku ya kwanza kupika ilikuwaje? Ulichopika kiliiva?

Siku ya kwanza kupika ilikuwaje? Ulichopika kiliiva?

Nakumbuka mimi niliivisha vizuri tu wali wangu na dagaa kwenye jiko la mafuta. Nilikua nimepanga chumba kimoja na nyua ya chumba nilichokua nakaa kulikua na vyumba vingine vya wapangaji tumepeana migongo. Kwa hiyo madilisha ya vyumba vyetu yanatazamana.
Kutokana na joto la Dar, tukiacha madirisha wazi usiku, kila mmoja anaweza kuona ndani kwa mwenzie kama taa itakua imewashwa.
Sasa bana kwasababu siku hiyo ndio nilikua nimehamia hapo, niliamua kupika mapema, nikabenanisha sufuri ya wali na mboga kwenye jiko hilo la mafuta, nikapumzika kitandani.
Usingizi ulinipitia, kuja kushtuka nikasikia chumba cha jirani jamaa ameimport anachakata papuchi. Mechi ilikua kama wamepaniana vile.
Basi kwa sababu jamaa alikua amewasha taa na mimi nimezima, nikaamka mdogo mdogo kuelekea dirishani kuchungulia. Nikapiga teke jiko, nikamwaga mboga yote chini na sefuria ya wali ikajifunika chini.
Mchakataji akasitisha shughuli ghafla na kuzima taa. [emoji24][emoji24] Nikarudi mdogomdogo kitandani nikalala mpaka asubuhi.
Wali na dagaa kwangu hapana, hayo ni matumizi mabaya ya Mchele, kitu ubwabwa maharage
 
Nilianza kupika nikiwa darasa la nne.. ugali ulikataa kuiva kabsa nikaumwaga kwa siri nikapika mwingine... nakumbuka ilikua ni usiku mvua inanyesha alafu jiko linavuja....
 
Nakumbuka bi kubwa alisafiri akaniacha na madogo,siku hiyo msosi ulikuwa hausomeki,kuna mchele kidogo,ndizi mbichi kidogo,na nje kuna mbogamboga za majani shazi kama figili,maboga,iksema isiwe shida,nikamenya ndizi na kukatakata vipandevipande,katakata mboga za majani,chukua mchele osha,ti kwa ufuri moja,weka jikoni ,tia mafuta ,vikawivaa,nikawapa wale,mpaka leo wananiit profesa 😀
 
😁😁vyakula vingi najua kuvipika havijawahi nisumbua kuvipika Kwa mara ya kwanza, kitu sijawahi kupika ni pilau kila nikimiss nanunua
 
Nakumbuka bi kubwa alisafiri akaniacha na madogo,siku hiyo msosi ulikuwa hausomeki,kuna mchele kidogo,ndizi mbichi kidogo,na nje kuna mbogamboga za majani shazi kama figili,maboga,iksema isiwe shida,nikamenya ndizi na kukatakata vipandevipande,katakata mboga za majani,chukua mchele osha,ti kwa ufuri moja,weka jikoni ,tia mafuta ,vikawivaa,nikawapa wale,mpaka leo wananiit profesa 😀
We jamaa ni comedian 🤣🤣eti mpaka leo wananiita professor
 
Ahahahah mbona vibaragara..wewe utakuwa umekaa mkoani kigoma maana ndio wanasema kabragara au khabago maana vinatengenezwa kwa unga wa muhogo mchanganyo wa ndizi za kuiva.
Hahaha
 
Kwanza nlianza kupika chai!

Then kuna kipindi nikawa nipo home bi mkubwa akienda kazini anaacha pesa tu utajua utapika nini na hakukuwa na beki tatu!! Dah nikawa napika ndizi mzuzu na kuku choma.

Baadae nikaanza kuchukulia upishi kama hobby, nikawa napika chakula chochote ninachokitaka! Nlijifunza jinsi ya kutumia kisu jikoni, jinsi ya kukata veggies katika shape mbalimbali ,mapishi ya local foods na international !! Lol nlipooa nikawa namfundisha mama watoto kupika siku mojamoja!

Huwa naenjoy zaidi nikiwa nachoma nyama huku nimezungukwa na wanangu. Tunaanza kuila nyama ikiwa jikoni kwanza.

Kila pishi nalipika ila ishu inakuja kwenye kuosha vyombo mara baada ya kupika!!

Jitahidi sana kuwafundisha wanao wajue hizi life skills kama usafi, kupika, kuosha vyombo n.k hakika wakijua hayo wataweza kuishi mahali popote bila ya tabu.

Ukijua kupika vizuri hata majirani wanaweza kudhani kuwa ni tajiri sana kumbe bajeti ya misosi uliyopika haizidi hata 5000/=tsh
 
Kwanza nlianza kupika chai!

Then kuna kipindi nikawa nipo home bi mkubwa akienda kazini anaacha pesa tu utajua utapika nini na hakukuwa na beki tatu!! Dah nikawa napika ndizi mzuzu na kuku choma.

Baadae nikaanza kuchukulia upishi kama hobby, nikawa napika chakula chochote ninachokitaka! Nlijifunza jinsi ya kutumia kisu jikoni, jinsi ya kukata veggies katika shape mbalimbali ,mapishi ya local foods na international !! Lol nlipooa nikawa namfundisha mama watoto kupika siku mojamoja!

Huwa naenjoy zaidi nikiwa nachoma nyama huku nimezungukwa na wanangu. Tunaanza kuila nyama ikiwa jikoni kwanza.

Kila pishi nalipika ila ishu inakuja kwenye kuosha vyombo mara baada ya kupika!!

Jitahidi sana kuwafundisha wanao wajue hizi life skills kama usafi, kupika, kuosha vyombo n.k hakika wakijua hayo wataweza kuishi mahali popote bila ya tabu.

Ukijua kupika vizuri hata majirani wanaweza kudhani kuwa ni tajiri sana kumbe bajeti ya misosi uliyopika haizidi hata 5000/=tsh
Nakuunga mkono kabisa hapo kwenye kufundisha watoto shughuli ndogondogo za nyumbani ni muhimu sana aisee hata kama anasoma bording schools akirudi home ni kufanya kazi mpaka atazoea tu na kujua.
 
Nakumbuka bi kubwa alisafiri akaniacha na madogo,siku hiyo msosi ulikuwa hausomeki,kuna mchele kidogo,ndizi mbichi kidogo,na nje kuna mbogamboga za majani shazi kama figili,maboga,iksema isiwe shida,nikamenya ndizi na kukatakata vipandevipande,katakata mboga za majani,chukua mchele osha,ti kwa ufuri moja,weka jikoni ,tia mafuta ,vikawivaa,nikawapa wale,mpaka leo wananiit profesa 😀
🤣🤣🤣Noma
 
2005 nilimwambia mama anipe mchele kidogo nijifunze, akanambia hana mchele wa kuchezea so akanipimia mwingi ili nipike chakula cha wote, kilichofuata ni mabao kila hatua mpaka wali ukakamilika, nahisi walikula na machozi yangu
Bora alikuwepo kukuelekeza, lasivyo ungelisha watu vituko😂😂😂
 
Ugali
Niliweka maji jikoni nikatia unga wa kutosha bila maji kuchemka ukiachilia mbali kupata moto,nikawa naongeza unga huku nasonga

Hapo nilikuwa sijawahi kuona hatua za mwanzo za upishi wa ugali zaidi kukuta mtu anasonga

Kilichotokea ni kama cement iliyotiwa mchanga na maji
Hata mimi mara ya kwanza kupika ni ugali ila angalau mie niliacha maji yakachemka. Ila kilichofuatia itv....🙆🙆🙆🙆
 
Nilipika ugali.. sikumbuki kama uliiva au la ila ulilika
 
chapati nilisukuma roundi ikapitiliza kwenye kibao, nakumbuka jikoni nilikua nahangaika sana nikisukuma na mimi nasogea mama aligomba sana hio siku na alikua akikufundisha n mara moja tubya pili inakuhusu
😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom