Siku ya kwanza kupika ilikuwaje? Ulichopika kiliiva?

Siku ya kwanza kupika ilikuwaje? Ulichopika kiliiva?

Wakuu,

Mimi nakumbuka nilijaribu kupika wali. Nikaandaa kila kitu freshi, weka mchele wangu safiii [emoji23][emoji23][emoji23]. Wakuu nilitoa bokoboko si la nchi hii, jina likabadilishwa fasta nikaanza kuitwa bokoboko[emoji23][emoji23]. Mpaka nilipokuja kuuwezea ubwabwa nilishazoea na jina la bokoboko.

Vipi wewe, siku ya kwanza kupika ilikuaje? Ulichojaribu kupika kilitokea freshi au ulienda kumwaga kimya kimya?
Chai inaachaje kuiva mkuu [emoji23]

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
 
Wakuu,

Mimi nakumbuka nilijaribu kupika wali. Nikaandaa kila kitu freshi, weka mchele wangu safiii [emoji23][emoji23][emoji23]. Wakuu nilitoa bokoboko si la nchi hii, jina likabadilishwa fasta nikaanza kuitwa bokoboko[emoji23][emoji23]. Mpaka nilipokuja kuuwezea ubwabwa nilishazoea na jina la bokoboko.

Vipi wewe, siku ya kwanza kupika ilikuaje? Ulichojaribu kupika kilitokea freshi au ulienda kumwaga kimya kimya?
SEma , ulivoweza kupika WALI na sio Ubwabwa bokoboko ...... kunatofauti ya wali ,bokoboko au ubwabwa
 
2005 nilimwambia mama anipe mchele kidogo nijifunze, akanambia hana mchele wa kuchezea so akanipimia mwingi ili nipike chakula cha wote, kilichofuata ni mabao kila hatua mpaka wali ukakamilika, nahisi walikula na machozi yangu
[emoji3][emoji3] alikua anakudunda huku unaendelea kupika?
 
Nakumbuka nilipewa mchele nianze pishi, nikabandika maji yangu mengii nili nije kupunguza yatanisaidia kuongezea baadaye ikitokea wali bado haujaiva, yalivochemka nikaweka mchele kila nikiangalia maji naona yatatosha bana si mengi sana hivyo haina haja ya kupunguza, Nikatulia zangu nasubiri kila nikifunua maji hayakauki tu, eeh nikaona sasa ngoja nipalie makaa juu na chini uendelee kuchemka, aah maji bado tu, mama akaja kucheki duh boko kama uji kabisa, akaniambia hili boko ntalimaliza mwenyewe na hamna kutupa chakula[emoji3][emoji3]. Akaanza kupika mchele mwingine tu
 
Nakumbuka nilipewa mchele nianze pishi, nikabandika maji yangu mengii nili nije kupunguza yatanisaidia kuongezea baadaye ikitokea wali bado haujaiva, yalivochemka nikaweka mchele kila nikiangalia maji naona yatatosha bana si mengi sana hivyo haina haja ya kupunguza, Nikatulia zangu nasubiri kila nikifunua maji hayakauki tu, eeh nikaona sasa ngoja nipalie makaa juu na chini uendelee kuchemka, aah maji bado tu, mama akaja kucheki duh boko kama uji kabisa, akaniambia hili boko ntalimaliza mwenyewe na hamna kutupa chakula[emoji3][emoji3]. Akaanza kupika mchele mwingine tu
[emoji81][emoji81][emoji81][emoji81] karibu kwenye team ya bokoboko
 
Nilisonga ugali una mabuja kama yote, baba akawasema mnamuachiaga wa nini huyu apike' ila mama alinifundisha taratibu kupika hadi Leo Niko fresh kwenye mapish
mwanzo mgumu, ila ukiendelea kujifunza unakua fundi
 
Aiseew kupika Daaah
Kipindi hicho magetoni chuo nimetoka kununua jiko la gesi nna mzuka kinoma noma. nikawa naangalia namna ya kupika mboga ya mchuzi wa samaki daaah!!!
Nikawasha jiko moto mkali kabisa ule wa mwisho nikaweka kasufuria jikoni nikatia mafuta ya kula huku naangalia youtube!! Wakasema ukitia mafuta subiri yapate moto daaah!!
Si ndio nikatia vitunguu ile nageuka kuangalia jikoni unaaambiwa vitunguu vyote vishakuwa mkaa sufiria imeungua mzee, chumba chote moshi mwingi daah nilichukia sana. ndio hapo yakaanza mazoea na mpangaji mwenzangu anifundishe kupika 😎😎
 
Nilikua nimebaki Home mwenyewe tu.
Nilipika hakikuiva nkatupa jalalani
Nkasubiria warudi jioni.
Katika huu uzi utawajua tu watoto wakishua waliolelewa na beki 3 wa3, anakuja jifunzia geto kupika
 
Nakumbuka mimi niliivisha vizuri tu wali wangu na dagaa kwenye jiko la mafuta. Nilikua nimepanga chumba kimoja na nyua ya chumba nilichokua nakaa kulikua na vyumba vingine vya wapangaji tumepeana migongo. Kwa hiyo madilisha ya vyumba vyetu yanatazamana.
Kutokana na joto la Dar, tukiacha madirisha wazi usiku, kila mmoja anaweza kuona ndani kwa mwenzie kama taa itakua imewashwa.
Sasa bana kwasababu siku hiyo ndio nilikua nimehamia hapo, niliamua kupika mapema, nikabenanisha sufuri ya wali na mboga kwenye jiko hilo la mafuta, nikapumzika kitandani.
Usingizi ulinipitia, kuja kushtuka nikasikia chumba cha jirani jamaa ameimport anachakata papuchi. Mechi ilikua kama wamepaniana vile.
Basi kwa sababu jamaa alikua amewasha taa na mimi nimezima, nikaamka mdogo mdogo kuelekea dirishani kuchungulia. Nikapiga teke jiko, nikamwaga mboga yote chini na sefuria ya wali ikajifunika chini.
Mchakataji akasitisha shughuli ghafla na kuzima taa. [emoji24][emoji24] Nikarudi mdogomdogo kitandani nikalala mpaka asubuhi.
 
Nakumbuka mimi niliivisha vizuri tu wali wangu na dagaa kwenye jiko la mafuta. Nilikua nimepanga chumba kimoja na nyua ya chumba nilichokua nakaa kulikua na vyumba vingine vya wapangaji tumepeana migongo. Kwa hiyo madilisha ya vyumba vyetu yanatazamana.
Kutokana na joto la Dar, tukiacha madirisha wazi usiku, kila mmoja anaweza kuona ndani kwa mwenzie kama taa itakua imewashwa.
Sasa bana kwasababu siku hiyo ndio nilikua nimehamia hapo, niliamua kupika mapema, nikabenanisha sufuri ya wali na mboga kwenye jiko hilo la mafuta, nikapumzika kitandani.
Usingizi ulinipitia, kuja kushtuka nikasikia chumba cha jirani jamaa ameimport anachakata papuchi. Mechi ilikua kama wamepaniana vile.
Basi kwa sababu jamaa alikua amewasha taa na mimi nimezima, nikaamka mdogo mdogo kuelekea dirishani kuchungulia. Nikapiga teke jiko, nikamwaga mboga yote chini na sefuria ya wali ikajifunika chini.
Mchakataji akasitisha shughuli ghafla na kuzima taa. [emoji24][emoji24] Nikarudi mdogomdogo kitandani nikalala mpaka asubuhi.
[emoji3][emoji3] chabo ikakuponza pole, naimagine asubuhi mliangalianaje na jirani[emoji3]
 
Back
Top Bottom