shanature
JF-Expert Member
- Nov 15, 2010
- 1,693
- 1,432
haha umenikumbusha 2003 nimeanzisha geto ngoja nipike chips kavu viazi nkavitia chumvi mara ya kwanza kupikia mkaa....we wacha vichemke masaa havikauki vianepeta tu mwisho wa siku nkala hivyo hivyo vimejaa mafuta tii..nkaja jifunza mahala baada ya siku kibao viazi mviringo ukitia chumvi havikauki kwenye mafuta siku hizi ni shefu..mzuri sana...