Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Niliona milima na mabonde wewe je?????
Upo wap?Mi nilipata feki jmn
Vuta wee
Subiri weee
Nothing
Ilinikera sana
Sijui ntapata wapi OG
DarUpo wap?
Huwezi kuamini hiyo sio feki ni OG kabisaa ila basi tu yani umejikuta tu hujaijua stimu uliyokuwa unaifeel.Mi nilipata feki jmn
Vuta wee
Subiri weee
Nothing
Ilinikera sana
Sijui ntapata wapi OG
Hamna mkuuHuwezi kuamini hiyo sio feki ni OG kabisaa ila basi tu yani umejikuta tu hujaijua stimu uliyokuwa unaifeel.
Ni wengi huwa inawatokea hivi na hudhani hawahisi chochote ila huwa wamesiz na hawajui matendo yao kwa nje yanafananaje.
Wewe haujavuta ulikua unachezea moshi. Haukuvuta moshi kuingia ndani hii ni kawaida sana kwa watu ambao wanavuta kwa mara ya kwanza. Haiwezekani uvute bangi usisikie chochote hakuna kitu kama hicho.Hamna mkuu
I was sober
Na muda ulikua mzuri nimrelax
Sijachoka or anythng
Yani i felt noothing change
Si inatakiwa u'feel the difference kabisa ama ?
Mkuu nilichogundua wengi wanaoisemea bangi hajawahi ivuta mm mwenyewe badaa ya kusikia stori nyingi ni kajaribu tena mara kibao lakini sijawahi kuona chochote had nikaamua kuipotezea!!! Uzushi na propaganda nyingi tuHamna mkuu
I was sober
Na muda ulikua mzuri nimrelax
Sijachoka or anythng
Yani i felt noothing change
Si inatakiwa u'feel the difference kabisa ama ?
Tatizo mnavuta mauchafu , kula mjani safi kama huu uone unavyokua smart !!
View attachment 2309827
Daah PM watakuja maaskari !!! Tusije kuacha watoto uraiani !!Tegemea piemu yako kujaa kwa jinsi tutakavyofurika huko mkuu
Wala hata tunataka na sisi hizo bangi orijinooooDaah PM watakuja maaskari !!! Tusije kuacha watoto uraiani !!