Siku ya kwanza kuvuta bangi

Siku ya kwanza kuvuta bangi

Mi nilipata feki jmn
Vuta wee
Subiri weee
Nothing
Ilinikera sana

Sijui ntapata wapi OG
 
Mi nilipata feki jmn
Vuta wee
Subiri weee
Nothing
Ilinikera sana

Sijui ntapata wapi OG
Huwezi kuamini hiyo sio feki ni OG kabisaa ila basi tu yani umejikuta tu hujaijua stimu uliyokuwa unaifeel.
Ni wengi huwa inawatokea hivi na hudhani hawahisi chochote ila huwa wamesiz na hawajui matendo yao kwa nje yanafananaje.
 
Huwezi kuamini hiyo sio feki ni OG kabisaa ila basi tu yani umejikuta tu hujaijua stimu uliyokuwa unaifeel.
Ni wengi huwa inawatokea hivi na hudhani hawahisi chochote ila huwa wamesiz na hawajui matendo yao kwa nje yanafananaje.
Hamna mkuu
I was sober
Na muda ulikua mzuri nimrelax
Sijachoka or anythng
Yani i felt noothing change


Si inatakiwa u'feel the difference kabisa ama ?
 
Hamna mkuu
I was sober
Na muda ulikua mzuri nimrelax
Sijachoka or anythng
Yani i felt noothing change


Si inatakiwa u'feel the difference kabisa ama ?
Wewe haujavuta ulikua unachezea moshi. Haukuvuta moshi kuingia ndani hii ni kawaida sana kwa watu ambao wanavuta kwa mara ya kwanza. Haiwezekani uvute bangi usisikie chochote hakuna kitu kama hicho.
 
Baada ya kusikia story za uzushi mwingi kuhusu bangi nikashawishika kujaribu kuvuta nione kitakotea nini.. Nakumbuka ilikuwa jion nikaenda zangu kitaa nikaenda kununua ya buku 2.

Nikarudi nayo home ni nikanyonga nikavuta wee sikuona chochote nikaihc ila itakuwa fake...baada ya wiki nikabadilisha kijiwe cha kununulia nikinyonga nikavutaa we lkn hakuna kitu...nikajaribu tena na tena nikaona ni uzushi tu na wengine wanao iongelea bangi kwa mabaya ni wale ambao hawajai kujaribu hata kuvuta!!!

Nb: mkipata bangi inayowatia watu maruheruhe mniite na mm nivute niyaone
 
Hamna mkuu
I was sober
Na muda ulikua mzuri nimrelax
Sijachoka or anythng
Yani i felt noothing change


Si inatakiwa u'feel the difference kabisa ama ?
Mkuu nilichogundua wengi wanaoisemea bangi hajawahi ivuta mm mwenyewe badaa ya kusikia stori nyingi ni kajaribu tena mara kibao lakini sijawahi kuona chochote had nikaamua kuipotezea!!! Uzushi na propaganda nyingi tu
 
Tatizo mnavuta mauchafu , kula mjani safi kama huu uone unavyokua smart !!
93d7fbb85c135fc58e67ab59ca9933ce.jpg
 
Back
Top Bottom