Siku ya Mtoto wa Afrika: Huwa unamsomea mwanao hadithi?

Siku ya Mtoto wa Afrika: Huwa unamsomea mwanao hadithi?

Lycaon pictus

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2021
Posts
9,189
Reaction score
16,128
Wazazi wa zamani walikuwa wanatuhadithia sana hadithi. Hasa walizosoma. Bahati mbaya mabadiliko ya maisha, wameachia kazi hiyo TV na Cartoon. Utamaduni wa kusomea watoto hadithi bado unafaa leo? Vipi, huwa unamsomea mwanao hadithi?

IMG_20220613_113256_477.jpg
 
Nakumbuka Baba alikua akinisomea kitabu cha alfu Lela ulela,
Nakumbuka na zile simulizi za bu Debora mwenda radio Tanzania.
 
Back
Top Bottom