Siku ya Redio Duniani: Unasikiliza Redio gani kila mara?

Siku ya Redio Duniani: Unasikiliza Redio gani kila mara?

Redio Mwangaza FM kama nipo home...haina mambo ya kipuuzi..haina wale wanaume waliojegeuza wanawake wanachambaaa kipindi kizima..bongo fleva wana,select za kucheza sio zenye matusi matusi ya wazi...so ni redio nzuri kwa familia...jioni napata matangazo ya moja kwa moja kutoka BBC...mchana Idhaa ya kiswahili kutoka DW German...
 
UFM, nadhani ndiyo redio pekee iliyobaki na maadili ya utangazaji katika FM RADIO zote ,matamshi fasaha,watangazaji wenye weledi na vipindi vyao ni vya kuelimisha kweli,hawana ujinga ujinga na upuuzi hewani
 
jogoo fm ~ songea ruvuma
Kwizera fm ~ngara kagera
planet fm ~ morogoro
Mkuu unasikiliza zote hizo online au!
Maana jogoo fm inashika songea, mbinga, njombe kidogo na maeneo machache ya ludewa.
Kwizera ni Kagera na Mwanza kama nimewahi kuisikia.
 
Naomba kuuliza Passion Fm ilienda wapi, nazungusha button ya kutafuta radio stations siipati kabisa
Kama upo DSM ni 103.3, sema haina ile ladha tena.
Kila ukifungua unasikia ndiyoooo, ndiyooo, ndiyoo bab!
 
Kama upo DSM ni 103.3, sema haina ile ladha tena.
Kila ukifungua unasikia ndiyoooo, ndiyooo, ndiyoo bab!
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]

Kwa nn ndioo ndiooo tena.
Miaka ya 2020 Ilikuwa full miziki, ikipoa kidogo unasikia kale kanjiwa krukuuu krukuuuu kakinyamaza tu unaungwa muziki juu kwa juu.

Niliipendea hapo hii paaaaasheeeni Fm.
 
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]

Kwa nn ndioo ndiooo tena.
Miaka ya 2020 Ilikuwa full miziki, ikipoa kidogo unasikia kale kanjiwa krukuuu krukuuuu kakinyamaza tu unaungwa muziki juu kwa juu.

Niliipendea hapo hii paaaaasheeeni Fm.
Kuna wachungaji wanapiga maneno muda karibu wote utasikia mchombezaji anasemda ndiyoooo!
 
Ni
Mkuu unasikiliza zote hizo online au!
Maana jogoo fm inashika songea, mbinga, njombe kidogo na maeneo machache ya ludewa.
Kwizera ni Kagera na Mwanza kama nimewahi kuisikia.
Nime wahi ishi maeneo hayo
 
Mbona swali lako linaonyesha uwezo mdogo wa kufikria au ndio ujanja wenyewe huo? Radio ni muhimu kuliko chombo chochote cha habari duniani ikifuatiwa na TV huwezi kuanzisha kituo cha TV kama hujaanza na radio usiwe rimbukeni wa social network.
Jifunze kutofautisha R na L


Bibi yako ndio limbukeni, mpuuzi usitake tufanane !!
 
Back
Top Bottom