Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 86,410
- 169,862
Kajitungia tu ilimradi "ndoa" iongelewe. Hakuna muoaji hapo.Mbona ni ya ndani sana hii,huwezi simuliwa...hii inakuhusu wewe mwenyewe mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kajitungia tu ilimradi "ndoa" iongelewe. Hakuna muoaji hapo.Mbona ni ya ndani sana hii,huwezi simuliwa...hii inakuhusu wewe mwenyewe mkuu
Hahaha Hawa wa siku hizi Kukojoa Labda wanywe Bia nyingi Kila mtu ana mawazo ahongwe RangeKosa ni kukiingiza ndani .ila ukikichezeshs juu juu Huwa kinaleta msisimko amazing sana...na husaidia mwanamke kukojoa haraka
Point hii izingatiwe😅😅Picha tuone nyonyo zake😃
Mpige panga la kichwa halafu uone serikali itakulipa mahari yako au segerea ukatiwe vidole wewe.Unajua maana ya kulipa mahari
Yaani ntakimbiaaa, SGR itasubirKaribuuuu
Kabisa kabisaKajitungia tu ilimradi "ndoa" iongelewe. Hakuna muoaji hapo.
Atapambana na hali yake, kwenye matiti sawa ila huko kwenye mgodi mmm mbona na yeye vidole anavyoOhoo! Kwa masharti haya, jamaa kamix kinoma. Anauliza kila mtu kuwa "huyu mwanamke karogwa nini?"
Mke naye haelewi, anadai huo upuuzi wa kunyonya na kuyashika manyonyo yeye hataki kwa kuwa huwa unazeesha matiti.
Na pia hataki kuchorongwa na kidole maana mdomo wa "kipochi manyoya" huwa unalegea.
Ugomvi ni mkubwa, halafu zingatia ni siku ya 5 tu tangu wafunge ndoa.
Mtumishi mbona kama unanishambulia....
Tatizo hiki kipengere huwa akiwekwi kipindi cha uchumba. Mkiwa kwenye kipindi cha boyfriend na girlfriend utafanyiwa wema na kupewa access zote, apate cheti cha ndoa sasa ndo utajua ujuiafter all kumuoa mtu haikupi tiketi ya kumfanya unavyotaka wew naye ni binadamu ana haki zake.
Wanaume tuache mawazo hayo ya kutaka kumtawala mwanamke kwa vile umemuoa
Kwani mkuu unayanyonya na kumeza kabisa kama afanyavyo mtoto?Kunyonya chuchu Raha sana,Tena zikiwa kubwa duhhh,ni kama Yale maziwa ya Tanga fresh
Umenielewa vibaya,sijamaanisha kunyonya maziwa ya mwanamke ambaye Ana mtoto au chuchu zake zinatoa maziwa mkuuKwani mkuu unayanyonya na kumeza kabisa kama afanyavyo mtoto?
Ladha ya Tanga fresh tena!
Nilikuwa nikielezwa habari za wanaume kunyonya maziwa ya wake zao nikawa nabishi, sasa wewe umenithibitishia.
Noma sana!Ngoja waje