Siku ya tano hii narudishiwa chenji iliyozidi na kwenye daladala nasahaulika.

Thibitisha haya yanatokea kweli.
 
Wala husihofu, katika ulimwengu Kuna mambo mengi Cha msingi husichukue kisicho haki,hukiona Hali hiyo rudisha kwa wenye nacho husichukue.Hali hiyo itatoweka tu Cha msingi kuwa mwaminfu mbele za mungu
 
Wewe ni mwi

Wewe ni mwizi. Hizo hela za watu rudisha
 
kuna kuku hapa anatafutwa ategeshe kichwa achinjwe…..😂😂😂😂🤣🤣
 
kuna kuku hapa anatafutwa ategeshe kichwa achinjwe…..😂😂😂😂🤣🤣
 
Mi pia inanitokea iyo hali kama wewe aisee,kama ilo la chenji ndo kabisaa, mwisho juzi hapa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…