Siku ya tatu hii Alikiba kashindwa kung'ara YouTube, tatizo nini?

Siku ya tatu hii Alikiba kashindwa kung'ara YouTube, tatizo nini?

sky soldier

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2020
Posts
5,407
Reaction score
19,264
Naona alikiba tangu atoe juzi ngoma yake ya mediocre hakaweza kabisa kuwa trending namba one youtube, Tatizo ni nini?
 
Naona alikiba tangu atoe juzi ngoma yake ya mediocre hakaweza kabisa kuwa trending namba one youtube, Tatizo ni nini?
Nilikuwa namtetea ila interview ya jana na wakina soudy aisee kaongea shudu la kiwango cha SGR, kaanza kukumbushia kuwa ashatoka na Queen kwa hiyo Mondi ni shemeji yake, yani story ya zaidi ya miaka 13 iliyopita. Nikajiuliza why now?
Anyway kila mtu na taste yake kwangu wimbo ni wa kawaida, wimbo wake wa mwisho kuupenda ni mshumaa
 
Naona alikiba tangu atoe juzi ngoma yake ya mediocre hakaweza kabisa kuwa trending namba one youtube, Tatizo ni nini?
Ingekua zama zake zimesha usinge Kuja kumuongelea umu ndan alafu ujue dabulisibii hawalal Wana kesha YouTube ili Kiba asiwe namba moja trend pia mkumbuke msanii wa kwanza tanzania nyimbo yake ku trend siku saba mfululizo ni nyimbo ya Alikiba Dodo io rekod hata domo hajaweka

Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
 
Kiba karibia ana expire anaitaji new style, hili zuku zake haziwezi kumpaisha tena, anahitaji colabo na vijana wapya au ajifunze kwa konde, na diamond hili mziki wake huendane na mahitaji ya mashabiki kwa sasa.
 
Ingekua zama zake zimesha usinge Kuja kumuongelea umu ndan alafu ujue dabulisibii hawalal Wana kesha YouTube ili Kiba asiwe namba moja trend pia mkumbuke msanii wa kwanza tanzania nyimbo yake ku trend siku saba mfululizo ni nyimbo ya Alikiba Dodo io rekod hata domo hajaweka

Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
Acha uongo wewe, unajua jeje ili trend siku ngapi au unaropoka tu.
 
Ingekua zama zake zimesha usinge Kuja kumuongelea umu ndan alafu ujue dabulisibii hawalal Wana kesha YouTube ili Kiba asiwe namba moja trend pia mkumbuke msanii wa kwanza tanzania nyimbo yake ku trend siku saba mfululizo ni nyimbo ya Alikiba Dodo io rekod hata domo hajaweka

Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
Zuchu
 
Siku ya Tatu kwenye kalenda za Tandale [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Screenshot_20200926-143232.jpg


Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
 
Msukule on freak.

Wimbo wa Mediocre ni mbovu nakubali, ni disstrack ila ilitakiwa kuwa rap ila Sasa vijana wa siku hizi mmekuwa misukule mnooooooo.

Yaani hata Disstrack ya Harmonize ina afadhali.

Maana kwenu mtu mmoja mungu, wengine wote wakosaji.
Na sote tuseme Amina...
 
Back
Top Bottom