Deejay nasmile
JF-Expert Member
- Nov 8, 2011
- 5,794
- 5,352
Huo sio wimbo..ni speech...anawafundisha vijana kuwa waache skendo wafanye nyimbo...hiv mbona hamumpendi kufundishwa nyie timu chuchu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kaipromot wpNi audio na hajawai ipost, na iana views 1m ,sasa audios ya kiba Ina siku 5 ila Ina 200k na kaipromot je nani Bora?
Naona alikiba tangu atoe juzi ngoma yake ya mediocre hakaweza kabisa kuwa trending namba one youtube, Tatizo ni nini?
Nilikuwa namtetea ila interview ya jana na wakina soudy aisee kaongea shudu la kiwango cha SGR, kaanza kukumbushia kuwa ashatoka na Queen kwa hiyo Mondi ni shemeji yake, yani story ya zaidi ya miaka 13 iliyopita. Nikajiuliza why now?
Anyway kila mtu na taste yake kwangu wimbo ni wa kawaida, wimbo wake wa mwisho kuupenda ni mshumaa
Nilikuwa namtetea ila interview ya jana na wakina soudy aisee kaongea shudu la kiwango cha SGR, kaanza kukumbushia kuwa ashatoka na Queen kwa hiyo Mondi ni shemeji yake, yani story ya zaidi ya miaka 13 iliyopita. Nikajiuliza why now?
Anyway kila mtu na taste yake kwangu wimbo ni wa kawaida, wimbo wake wa mwisho kuupenda ni mshumaa
Ni audio na hajawai ipost, na iana views 1m ,sasa audios ya kiba Ina siku 5 ila Ina 200k na kaipromot je nani Bora?
[emoji23][emoji23][emoji23]Nyota ya mtama, unga wake ni wa pombe tu, labda itokee njaa
Una maneno ya shombo sa ingineNyota ya mtama, unga wake ni wa pombe tu, labda itokee njaa
Yaani a very hopeless one anaona akiongelea maisha ya mwenzie anapata faraja flani ivi😂😂😂 Mnajitafutiaga presha Za bure, ukikua utaacha
Fanya kazi ongeza kipato, mwite diamond na kiba waje kufanya show nyumbani kwako
Haya mahaba kwa wasanii unaonekana kabisa wewe ni average person, mediocre na ni maskini
Naona alikiba tangu atoe juzi ngoma yake ya mediocre hakaweza kabisa kuwa trending namba one youtube, Tatizo ni nini?
Kwa kwerisiku hizi hatu toi kiki na uyo kiba size yake n Zuchu tu na soon zuchu ata mpiku it is just a matter of time
Kings music wanamtesa Mond..Dimpoz kala bi mkubwa..Kiba dada..Tonny kala kimada chakeNilikuwa namtetea ila interview ya jana na wakina soudy aisee kaongea shudu la kiwango cha SGR, kaanza kukumbushia kuwa ashatoka na Queen kwa hiyo Mondi ni shemeji yake, yani story ya zaidi ya miaka 13 iliyopita. Nikajiuliza why now?
Anyway kila mtu na taste yake kwangu wimbo ni wa kawaida, wimbo wake wa mwisho kuupenda ni mshumaa
Mkuu hivi unajua kiba na queen darlin walikuwa na mahusiano mwaka 2007/8 huko yani hata Mond hajaanza kujulikana, enzi za cinderela na G-records wote wakiwa chini ya G-lover. Yani ni zilipendwa kuanza kuizungumzia leo.Kings music wanamtesa Mond..Dimpoz kala bi mkubwa..Kiba dada..Tonny kala kimada chake
Rudi ukacheki,Kwa sasa status ikoje?
Mnapenda kuaibika kwa sababu ya chuki
Hata haifatiliwi, Naona angalau ndo ya pilu huko youtubeMediocre ni mediocre kweli. Nyimbo ni BOMU! Sasa utang’ara vipi na nyimbo bomu!?