Siku ya tatu hii Alikiba kashindwa kung'ara YouTube, tatizo nini?

Siku ya tatu hii Alikiba kashindwa kung'ara YouTube, tatizo nini?

Msukule on freak.

Wimbo wa Mediocre ni mbovu nakubali, ni disstrack ila ilitakiwa kuwa rap ila Sasa vijana wa siku hizi mmekuwa misukule mnooooooo.

Yaani hata Disstrack ya Harmonize ina afadhali.

Maana kwenu mtu mmoja mungu, wengine wote wakosaji.
[emoji817] hio sentensi ya mwisho
 
Kaoshen papa zenu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]king atabak kua king
Screenshot_20200926-160536.jpg


Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
 
Ingekua zama zake zimesha usinge Kuja kumuongelea umu ndan alafu ujue dabulisibii hawalal Wana kesha YouTube ili Kiba asiwe namba moja trend pia mkumbuke msanii wa kwanza tanzania nyimbo yake ku trend siku saba mfululizo ni nyimbo ya Alikiba Dodo io rekod hata domo hajaweka

Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
acha kufurahisha waliolala, rekodi za kijinga hizo
 
Nilikuwa namtetea ila interview ya jana na wakina soudy aisee kaongea shudu la kiwango cha SGR, kaanza kukumbushia kuwa ashatoka na Queen kwa hiyo Mondi ni shemeji yake, yani story ya zaidi ya miaka 13 iliyopita. Nikajiuliza why now?
Anyway kila mtu na taste yake kwangu wimbo ni wa kawaida, wimbo wake wa mwisho kuupenda ni mshumaa
Naisikiliza hapa mzee mashudu[emoji3][emoji3]
 
Kaoshen papa zenu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]king atabak kua king View attachment 1581491

Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
Naona YouTube wameanza kulipa video zinazotrend au sio???
Usisahau hata seduce me na zilipendwa ilikuwa hivyo hivyo ila leo zina views difference ya Zaidi ya millioni kumi.
Nawashauri tu tim kiba msiwe mnakata moto mapema,mnamwaibisha kingi.
Lakini kiukweli inasikitisha,unajisifu kwa mtu anaye jiita king kumtoa binti mwenye miezi sita kwenye game trending wakati huo huo kamkuta akiwa na wiki moja hapo trending???
How comes kama wangeachia video kwa pamoja???
Bora ungekaa kimya ndugu yangu.
 
binafsi nimemdisi,
apeleke njaa zake huko kw kijani,
kama halipwi.
atulie ajiheshim.
tunaompandish ndio ss,
hlf kaenda kuzingua kule kweny makofia ya mgawo.
shenzy type
 
Ingekua zama zake zimesha usinge Kuja kumuongelea umu ndan alafu ujue dabulisibii hawalal Wana kesha YouTube ili Kiba asiwe namba moja trend pia mkumbuke msanii wa kwanza tanzania nyimbo yake ku trend siku saba mfululizo ni nyimbo ya Alikiba Dodo io rekod hata domo hajaweka

Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
Nyie watu,hebu kubalianeni na halisia,Kiba Ni msanii mdogo,kukaa kweke kwenye game muda mrefu hakutoshi kuupotosha ukweli huo.Kuhusu kuzungumzia hat amberutty anazungumziwa.

Ukitaka kubishana na Mimi,njoo na mafanikio ya kiba kimziki,tuyalinganishe na mafanikio ya mond.🚶
 
Pmoja nahayo yoote Diamond si kaachia ngoma siku chache inaitwa ongeza?? Mbona inachechemea mno kuliko hii ya Kiibakura
 
Ingekua zama zake zimesha usinge Kuja kumuongelea umu ndan alafu ujue dabulisibii hawalal Wana kesha YouTube ili Kiba asiwe namba moja trend pia mkumbuke msanii wa kwanza tanzania nyimbo yake ku trend siku saba mfululizo ni nyimbo ya Alikiba Dodo io rekod hata domo hajaweka

Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]afu jeje nao two week umesahau, jeje 35views na dodo 10 views gap 25 view jibu mbigu na ardhi
 
Pmoja nahayo yoote Diamond si kaachia ngoma siku chache inaitwa ongeza?? Mbona inachechemea mno kuliko hii ya Kiibakura
Ni audio na hajawai ipost, na iana views 1m ,sasa audios ya kiba Ina siku 5 ila Ina 200k na kaipromot je nani Bora?
 
Back
Top Bottom