princess ariana
JF-Expert Member
- Aug 19, 2016
- 9,245
- 18,347
[emoji817] hio sentensi ya mwishoMsukule on freak.
Wimbo wa Mediocre ni mbovu nakubali, ni disstrack ila ilitakiwa kuwa rap ila Sasa vijana wa siku hizi mmekuwa misukule mnooooooo.
Yaani hata Disstrack ya Harmonize ina afadhali.
Maana kwenu mtu mmoja mungu, wengine wote wakosaji.
acha kufurahisha waliolala, rekodi za kijinga hizoIngekua zama zake zimesha usinge Kuja kumuongelea umu ndan alafu ujue dabulisibii hawalal Wana kesha YouTube ili Kiba asiwe namba moja trend pia mkumbuke msanii wa kwanza tanzania nyimbo yake ku trend siku saba mfululizo ni nyimbo ya Alikiba Dodo io rekod hata domo hajaweka
Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
Hata aibu hina[emoji1787][emoji1787] huo wimbo wa zuchu una 2 weeksKaoshen papa zenu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]king atabak kua king View attachment 1581491
Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
Haaa mbona mnageuka Tena mwanzo ilikua kumtoa now wimbo una two weeks hahhaahahHata aibu hina[emoji1787][emoji1787] huo wimbo wa zuchu una 2 weeks
Naisikiliza hapa mzee mashudu[emoji3][emoji3]Nilikuwa namtetea ila interview ya jana na wakina soudy aisee kaongea shudu la kiwango cha SGR, kaanza kukumbushia kuwa ashatoka na Queen kwa hiyo Mondi ni shemeji yake, yani story ya zaidi ya miaka 13 iliyopita. Nikajiuliza why now?
Anyway kila mtu na taste yake kwangu wimbo ni wa kawaida, wimbo wake wa mwisho kuupenda ni mshumaa
Mkuu usitumie nguvu Sana twende taratibu tuu[emoji3][emoji3][emoji3]Haaa mbona mnageuka Tena mwanzo ilikua kumtoa now wimbo una two weeks hahhaahah
Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
Naona YouTube wameanza kulipa video zinazotrend au sio???Kaoshen papa zenu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]king atabak kua king View attachment 1581491
Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
Siku hiz wanamuita Isha Kiba mashauzi
Nyie watu,hebu kubalianeni na halisia,Kiba Ni msanii mdogo,kukaa kweke kwenye game muda mrefu hakutoshi kuupotosha ukweli huo.Kuhusu kuzungumzia hat amberutty anazungumziwa.Ingekua zama zake zimesha usinge Kuja kumuongelea umu ndan alafu ujue dabulisibii hawalal Wana kesha YouTube ili Kiba asiwe namba moja trend pia mkumbuke msanii wa kwanza tanzania nyimbo yake ku trend siku saba mfululizo ni nyimbo ya Alikiba Dodo io rekod hata domo hajaweka
Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
Muziki sio kandandaAlikiba ameshakufa kimziki. Zama zake zimeshakwisha.
Ni bora apumzike kwa heshima kuliko kuendelea kujidhalilisha.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]afu jeje nao two week umesahau, jeje 35views na dodo 10 views gap 25 view jibu mbigu na ardhiIngekua zama zake zimesha usinge Kuja kumuongelea umu ndan alafu ujue dabulisibii hawalal Wana kesha YouTube ili Kiba asiwe namba moja trend pia mkumbuke msanii wa kwanza tanzania nyimbo yake ku trend siku saba mfululizo ni nyimbo ya Alikiba Dodo io rekod hata domo hajaweka
Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
Wewe ndo boya wakutupwa JEJE 2WEEKS TRENDING
Kumbuka zuchu 1 days 1.3m views[emoji1787][emoji1787][emoji1787] ko kaoshe wewe , ila kiba 1 day 700k view(zuchu>kibamia)[emoji24][emoji24][emoji24]Kaoshen papa zenu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]king atabak kua king View attachment 1581491
Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
Ni audio na hajawai ipost, na iana views 1m ,sasa audios ya kiba Ina siku 5 ila Ina 200k na kaipromot je nani Bora?Pmoja nahayo yoote Diamond si kaachia ngoma siku chache inaitwa ongeza?? Mbona inachechemea mno kuliko hii ya Kiibakura
Zuchu kaimba peke yake auNi audio na hajawai ipost, na iana views 1m ,sasa audios ya kiba Ina siku 5 ila Ina 200k na kaipromot je nani Bora?