Siku ya wanawake duniani, pitia hapa tunawa-appreciate wanawake wa JF

Wewe ndio umetumaliza wote, [emoji2] [emoji2] [emoji2] shukrani Lazizi chimbuko la moyo wangu kesho jioni nataka orange and mustard chicken tu ili siku yangu itimie.
 
Wewe ndio umetumaliza wote, [emoji2] [emoji2] [emoji2] shukrani Lazizi chimbuko la moyo wangu kesho jioni nataka orange and mustard chicken tu ili siku yangu itimie.

Huo ni wajibu wangu mamy...
Nisipo kufanyia hivyo labda sijatoka katikati ya mapaja ya mwanamke. Siunajua navyokupenda.
 
Kitu cha kawaida hicho tatizo wagumu balaa hawatak wagen wanataka wakongwe na vbabu kama Asprin, bak, daby n. K
Vijana tuna malengo ya kumiliki uchumi hivyo vibabu vinasubiri kufa ndo maana viko tayari kwa matumizi ya kila aina
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…