jogi
JF-Expert Member
- Sep 25, 2010
- 25,556
- 25,342
Lucky Dube: God bless the Woman
Shaggy; Strength of a Woman
Boyz to Men: Mama I love
Nyimbo hizo ziwaendeeee wadada na wamama wote popote pale walipo. Kwa nyanja zote
Tupac Amar Shakur - Dear MAMA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lucky Dube: God bless the Woman
Shaggy; Strength of a Woman
Boyz to Men: Mama I love
Nyimbo hizo ziwaendeeee wadada na wamama wote popote pale walipo. Kwa nyanja zote
LHRC sio taasisi ya umma, ni NGO!.Hellen Kijobisimba ...LHRC.
TGNP sio taasisi ya umma, ni NGO!.Ussu Mallya TGNP
Mkuu Leguna, asante kwa hii, nafasi za wenyeviti sio za kiutendaji!, ndio maana hata wenyeviti wa bodi mbalimbaloi humu sijawaweka!.profesa penina mlama mwenyekiti wa BASATA kateuliwa na rais
Nawazungumzia wanawake wenye sifa waliokalia drivers seat kwenye public corporations, sio private entities, sio ngo's na sio chairmanships!, sio political posts, but executive positions kwa lengo la levelling down!.Kwa nini ujikite kwa CEOs ?
Eti bwana! Pasco kang'ang'ania maCEO's kawaacha wale wamama (ambao ni wengi sana) wanaolea familia bila msaada wa mahousegirls. Wamama hawa ndio mashujaa wakubwa. Kama huyu:Kwa nini ujikite kwa CEOs ?
Hivi jacquiline ntuyabaliwe sio among top ten? Manake kwa umri wake kuishi na mzee wetu mengi ni jambo la kujitolea.
Kuna huyu mkurugenzi wa takwimu. Nimemsahau jina
Anaitwa Dr.Albina Chuwa I think