Kibanga Ampiga Mkoloni
JF-Expert Member
- Aug 9, 2007
- 18,772
- 8,939
teeth!Paskali, kuna NENO umeliruka hapa...Mungu angeamua Mama huyu akawa NANI? (na pengine LINI)?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
teeth!Paskali, kuna NENO umeliruka hapa...Mungu angeamua Mama huyu akawa NANI? (na pengine LINI)?
Maandalizi wa ACTING PRESIDENT OF THE INTERIM NATIONAL GOVERMENT
ukitaka kujua inside job is going on hakuna hata leak moja hata za hao wana usalama au wanasiasa na harakati zinazosema serikali ya mpito Mama Samia ,Majaliwa Au ccm ifutwe ...
Acha aendelee kupoteza muda kupambana na chadema wakati wanaomchezea ngoma wako ndani ,,,,,....wanamchekea tu
ahaahaaa
Eeh ,macho tena ! mimi sipo.Mkuu Senzighe, kama zipo ambazo hazistahili, sema nizipunguze, sina langu jambo lolote, ndio maana sijazungumza lolote kuhusu yale macho!.
Paskali
😀😀😀😀😎😎😎ukitaka kujua inside job is going on hakuna hata leak moja hata za hao wana usalama au wanasiasa na harakati zinazosema serikali ya mpito Mama Samia ,Majaliwa Au ccm ifutwe ...
Acha aendelee kupoteza muda kupambana na chadema wakati wanaomchezea ngoma wako ndani ,,,,,....wanamchekea tu
ahaahaaa
Paskali, kama WENGINE wanavyopenda mada zako (rejea Bandiko naba 57),nimye pia huwa napendaga mada/makala zako. Je, hii nayo tuiite KUSOMA NYAKATI? (unaiitagaje vle kwa Kiingereza)?......READING!sina langu jambo lolote,
Mkuu Bams , naunga mkono hoja kumhusu huyu mama, hata mimi niliwahi kukizungumza hiki kitu kwenye uzi huuHuyu Mama commands respect from the public. Anaonekana ni mwenye hekima, siyo mtu wa kuzua taharuki, siyo mropokaji, ametulia akilini na moyoni. Na sijawahi kuwasikia watu wakimsema kwa lolote baya, iwe kwa wale wa wakereketwa wa CCM au wafurukutwa wa upinzani au wale wasioegemea kokote.
Tanzania would be better with her.
She is just everything a woman needs to be!. Ingekuwa ni amri yangu ningetaka wanawake wenye uongozi, madaraka na mamlaka waige mfano wa Mwanamke huyu and to be honest I wish if Mungu angemua, huyu mama ndio akawa, then amini usiamini tutakuwa na Tanzania nzuri 100 times kuliko Tanzania hii tulionayo sasa!.
Paskali
Nimefurahi kukuona Pascal Mayalla wengi tulipata wasiwasi kwa ukimya wako baada ya kuhojiwa Bungeni Dodoma.Naunga mkono hoja kumhusu huyu mama, hata mimi niliwahi kukizungumza hiki kitu kwenye uzi huu
Siku ya Wanawake Duniani: VP Samia Suluhu: "Womanly, Genuine, Humble, Simple na Down To Earth!
na haya ndio maneno yangu
P
Mkuu mwanaone, umeona?.Pasco Pasco Pasco ( Pascal Mayalla) ndugu yangu bado tunahitaji ji mchango wako katika Hili jukwaa . Hili jukwaa ni chombo pekee huru katika nchi hii. Kauli yako hii "to be honest I wish if Mungu angemua, huyu mama ndio akawa, then amini usiamini tutakuwa na Tanzania nzuri 100 times kuliko Tanzania hii tulionayo sasa!."" nadhani utatuchoshea jopo letu la mawakili Maana limetumia miezi minne kumpatia Mh LEMA dhamana .kwa ndoto yake ya kuwa RAIS atakufa . Sasa Na wewe unawish Mungu ANGEMUA!
Naunga mkono hojaMkuu Paskali nimesoma hii post kwa makini na hakika nimeamua niiptint then niitumie kama mizani ya kujipima ninavoongoza watu hata kwa level ya familia. A masterpiece Mkuu. VP ni mama, you just see it from her face
Hauko pekee yako...Kiukweli Mama Samia namzimia ile mbaya....namkubali sana ..
Duh...!.Mzee huyu mama akipitia hili bandiko lako huenda akakufikiria maana umempamba kama umemuoa na umeishi nae zaidi ya miaka kumi
Naunga mkono hojaShe is Mama from Zanzibar, 90% ya akina mama wa kizanzibar hata wakisoma huwa wanajitambua na kujua hata position yao kama mama hasa ngazi ya familia..
Huku bara tunashida na hawa mama zetu hasa wakisoma kidogo na kuwa na vijihela basi utaona full sinema, ujeuri, dharau, kujikweza na mwisho wa siku hata ndoa zao huwa mushkeli kidogo..
Duh...!.She is soo sweet ...