Siku ya Wanawake Duniani: VP Samia Suluhu: "Womanly, Genuine, Humble, Simple na Down To Earth!”


Asante sana mkuu Pascal Mayalla

Andiko hili linaishi.
 
Ingekuwa ni amri yangu, ningemwambia tuu naniliu aamue 2020, ampishe ili awe huyu mama.

Mungu ambariki sana na kuwabariki wanawake wote siku ya Wanawake Duniani.

Paskali

Mkuu wa Mbingu na Nchi kashatoa amri ya mama kupishwa.

Tumpe muda tuone kama yaliyomo yamo
 
Ni uzi wa zamani sana ila niulize tu mbona uliandika au kumpumzisha JPM 2020...did you saw it coming SSH kumpuzisha JPM 2020, how why
Hapa ndio I predicted something kumhusu Samia

P
 
Yote uliyoandika hapo Hicho kipindi ni kweli tupu. YAni Pascal Mungu amekujalia jicho la kuona mbali. Binadamu sio mkamilifu, inawezekana Mara nyingine tukawa na mitazamo tofauti, lakini siku zote Pascal Mayala kwangu mie utabaki kua miongoni mwa waandishi nguli wachache waliopo Tanzania.
 
duh...
tatizo la kutoa pongeza/sifia panapositaili sijui ni la Tanzania tu au Afrika kwa ujumla?

Pascal Mayalla hongera yako mkuu, unacho kipawa cha kutamka mambo na yakawa👏👏👏👏👏🙌
 
Angalia tarehe ya bandiko!.
P
 
Tunakujua wewe MSAKA TEUZI!
Kati ya freedoms zote, freedom to think chochote ndio the only absolute freedom. Uku huru kabisa to think vyovyote kumhusu mtu yoyote, hivyo kunifikiria kama msaka teuzi ni haki yako.

Kabla ya ujio wa JPM, mimi nilikuwa na ofisi pale Mtaa wa Mkwepu, ni jengo la NHC, kodi tuu pekee yake kwa mwezi ilikuwa ni zaidi ya mshahara wa DC. Maonyesho tuu ya Saba Saba pekee, just for 10 days, more than TZS hundred millions were rolling!, mtu kama huyu atafute UDC for what?.

Japo now things have changed, life has changed and age has gone, mimi ni 50+ long time, and it's true mambo yangu sasa sio kama zamani, amini usiamini, sitafuti uteuzi wowote!.
P
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Hujacheka kama nilivyochekaa but Why why Paskali

Hahahh who wants to know kodi yako sijui sabasaba blabla

Paskali umeshindikana kheee
Unazungumzia pesa utajiri haya mambo ya vijana au niseme watoto wewe you are way toooooooo old kusema haya ahahahhhh pleaseee

Ok una pesa sawa 'what has it get to do na ulichoandika kumponda Magu
Hii dunia ishi kwa kuhesabu kila siku kheeee nimechoka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…