didy muhenga
JF-Expert Member
- Nov 8, 2022
- 861
- 1,476
Wakuu hivi mwanamke anakua danger days kwa sku ngap maan nimeambiwa atakua danger days had January. Je sipigwi kwel hapa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tulia watumie wenzako kwanza ..... Wakati wenzako wanasoma reproduction ilikuwa unatega ndezi maporini....Wakuu hivi mwanamke anakua danger days kwa sku ngap maan nimeambiwa atakua danger days had January. Je sipigwi kwel hapa?
Nilikua na dada yako faraghaTulia watumie wenzako kwanza ..... Wakati wenzako wanasoma reproduction ilikuwa unatega ndezi maporini....
Hatari ya kitu gani?Wakuu hivi mwanamke anakua danger days kwa sku ngap maan nimeambiwa atakua danger days had January. Je sipigwi kwel hapa?
Sina mpango wa mbeleniMi nilikuaga mbishi kama wewe, nikadownload Flo kabisa.
Ila kama hamuaminiani issue ndogo ivo, uko mbele itakuaje.
ya motoHatari ya kitu gani?
Muache aungue mwenyewe nenda nyumbaniya moto
Sio tatizo ..kwani alipewa ya nini.!?? Kufungia vuzi!?Nilikua na dada yako faragha
Wakuu hivi mwanamke anakua danger days kwa sku ngap maan nimeambiwa atakua danger days had January. Je sipigwi kwel hapa?
Sasa hapo uaminifu unatokea wapi kakaaaa yani kuanzia tarehe 21 Decemba mpaka January!? January yenyewe hajaambiwa tarehe ngapi...mwanamke gani huyo ana ingia hatari siku zote hizo yaani 21,22,23,24,25,26,27,28,29,30,31 hizi ni siku 11 .... Mwanamke gani huyo anayeingia siku za hatari 11!?? .... Hapo haujui hiyo January kaambiwa no January ngapi... Bado tu unataka kumuanini huyo ndugu yake shetani!??Mi nilikuaga mbishi kama wewe, nikadownload Flo kabisa.
Ila kama hamuaminiani issue ndogo ivo, uko mbele itakuaje.
Wakuu hivi mwanamke anakua danger days kwa sku ngap maan nimeambiwa atakua danger days had January. Je sipigwi kwel hapa?
Huwa unaipiga kavu kavu?...Wakuu hivi mwanamke anakua danger days kwa sku ngap maan nimeambiwa atakua danger days had January. Je sipigwi kwel hapa?
Eeh me situmii condom kabsa kwa mpenz wangu na anajua kua situmiiHuwa unaipiga kavu kavu?...
kaniambia desemba 30Sasa hapo uaminifu unatokea wapi kakaaaa yani kuanzia tarehe 21 Decemba mpaka January!? January yenyewe hajaambiwa tarehe ngapi...mwanamke gani huyo ana ingia hatari siku zote hizo yaani 21,22,23,24,25,26,27,28,29,30,31 hizi ni siku 11 .... Mwanamke gani huyo anayeingia siku za hatari 11!?? .... Hapo haujui hiyo January kaambiwa no January ngapi... Bado tu unataka kumuanini huyo ndugu yake shetani!??