KirilOriginal
JF-Expert Member
- Feb 13, 2012
- 2,161
- 1,147
Na msaidizi wake.. Ole Nasha Masai ni mzigo gunia la misumari
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
VITABU VYA DARASA LA 5 HUWEZI KUVIONA KABLA YA VYA MADARSA MENGINE YA CHINIWakuu mbona wanadai huu mtaala mpya wa darasa la 4 ulipingwa bungeni. Piaa mpaka saivi wanakaribia kumaliza darasa La 4 lakini vitabu vya mwendelezo wa mtaala huo vya darasa la 5 bado sijabahatika kuviona.
Madarasa ya chini tayari yanatumia vitabu hivyo vipya. Swali ni kwamba huu mtaala mpya unatumikaa auVITABU VYA DARASA LA 5 HUWEZI KUVIONA KABLA YA VYA MADARSA MENGINE YA CHINI
vimekusanywa siku nyingi mkuuMadarasa ya chini tayari yanatumia vitabu hivyo vipya. Swali ni kwamba huu mtaala mpya unatumikaa au
kweli hapangiwi, ila hii alipanga yeye, ila baada ya kuvuja mtandaoni akaahirisha akatumbua Maijage na Tzeba.UMESHAHARIBU MIPANGO, CHIEF NANGA HUWA HAPANGIWI