Tetesi: Siku za Ndalichako zehesabika WEMU, TET wanamponza.Aandaliwa kupewa Ubalozi.

Tetesi: Siku za Ndalichako zehesabika WEMU, TET wanamponza.Aandaliwa kupewa Ubalozi.

Itakuwa ni jambo la maana sana kama mh rais katambua udhaifu wa waziri wa elimu. Elimu inaenda kaburini, watoto watasomaje bila kuwa na vitabu? Private publishers walikataliwa kuuza vitabu mashuleni kisa TET itatoa, badala yake kila wakichapa vina makosa, mwaka wa 3 huu hakuna vitabu shuleni. Publishers wanavyo vyote, toka Std 1 to VII. Nunueni vitabu vya publishers vilivyo na ubora, walimu tunafundisha kwa uzoefu tuu, tunajenga nyumba moja (taifa) ugomvi na publishers wa nini?
 
Mtoa hoja hebu tulia na kulisoma upya bandiko lako. Kuna sehemu umeandika TET na sehemu nyingine TIE. Je zote ni sahihi?
Zote ni sawa, TET ni taasisi ya elimu tanzania, na TIE ni tanzania institute of education.
 
Kwani huyu ni mwanamke? Maji yanapatikana nchi nzima kama mkakati wao wa kisera na ilani inavyoeleza? Kama bado ameshindwa kufikia lengo itakuwaje kwa wizara hii ya elimu iliyozoea kujiongoza yenyewe? Atakuwa na jipya au naye atakuja na yake?

Soma tetesi uelewe. Ni Profesa wa saikolojia ya elimu ambaye sasa ni Katibu Mkuu wa maji. Kwa uelewa wako ni nani. Hujaambiwa ukomenti. Tegua kitendawili cha tetesi.
 
Kwa kweli Taasisi ya Elimu kumekuwa na ubabaishaji wa hali ya juu sana kila wakitoa kitabu kimekosewa
 
Rais akishamteua ubunge binadamu yoyote Yule kwa mujibu wa katiba yetu na Alisha kula kiapo Hana Tena mamlaka ya kutengua maamuzi yake Kama madc Rc na wakurugenzi, hii inadhibitisha habari yako hii Ni Ufukunuku...
Kwani Dkt. Possi ilikuwaje? Revisit your memory and records
 
Hakuna namna avuliwe tu na kupewa mkuu wa mkoa wa Dar, ametuwezesha kushika chati kwenye vyombo vya habari vya kimataifa kwa ajili ya kupinga ushoga.
 
Huyu hapa chini ni Dr. Abdalla Possi alikuwa Mbunge wa kuteuliwa na Naibu Waziri, alivuliwa ubunge na Unaibu Waziri akateuliwa kuwa Balozi Ujerumani. Sikulaumu maana yawezekana ulikuwa hujui maana siku zote tunajifunza.

View attachment 927668

Rais hana mamlaka ya kumvua mbunge mmoja/individual ubunge, bali Rais ana mamlaka ya kuvunja bunge zima. Huyo Abdallah Possi alijivua mwenyewe ubunge baada ya kutokea kashfa kwamba huo uteuzi wa wabunge umekiuka katiba na misingi yake, alijivua kiungwana ili asimfedheheshe aliyempa fadhila hiyo
 
Posi yuko wapi?
Rais akishamteua ubunge binadamu yoyote Yule kwa mujibu wa katiba yetu na Alisha kula kiapo Hana Tena mamlaka ya kutengua maamuzi yake Kama madc Rc na wakurugenzi, hii inadhibitisha habari yako hii Ni Ufukunuku...
 
Ndalichako ameshindwa kabisa kuisimamia Elimu ya watoto wetu. Suala la vitabu ni kashifa kubwa sana kwa Wizara ya Elimu Sayansi na Teknolojia. Asilimia 40 ya fedha za Elimu bila Malipo zinabaki serikalini kwa ajili ya kununua vitabu,lakini hadi sasa mashuleni vitabu havipo.
 
Acheni kuwaza kama darasa la 2.Unadhani Posi aliteuliwa ubalozi tu na yeye mwenyewe ndo akahamua kujiuzuru?
Ni.kwamba nafasi yake ya Ubunge alitakiwa pewa.mtu mwingine hata kama katiba haimpi mkuu uwezo wa kutengea, utaambiwa ujiuzulu mwenyewe.
Posi hakutenguliwa ubunge wake,ila yeye aliamua kujiuzuru.
 
Ndalichako ameshindwa kabisa kuisimamia Elimu ya watoto wetu. Suala la vitabu ni kashifa kubwa sana kwa Wizara ya Elimu Sayansi na Teknolojia. Asilimia 40 ya fedha za Elimu bila Malipo zinabaki serikalini kwa ajili ya kununua vitabu,lakini hadi sasa mashuleni vitabu havipo.
 
Abdalah Posi ??????
Rais akishamteua ubunge binadamu yoyote Yule kwa mujibu wa katiba yetu na Alisha kula kiapo Hana Tena mamlaka ya kutengua maamuzi yake Kama madc Rc na wakurugenzi, hii inadhibitisha habari yako hii Ni Ufukunuku...
 
Huyu hapa chini ni Dr. Abdalla Possi alikuwa Mbunge wa kuteuliwa na Naibu Waziri, alivuliwa ubunge na Unaibu Waziri akateuliwa kuwa Balozi Ujerumani. Sikulaumu maana yawezekana ulikuwa hujui maana siku zote tunajifunza.

View attachment 927668
Ubunge wake haukutenguliwa Bali alijiuzulu mwenyewe kwa mujibu wa barua aliyowasilisha kwa spika ndugai iliwasilishwa kwa umma Kama kulikuwa na shinikizo au makubaliano nyuma ya pazia Hilo sisi hatufahamu, ongea kwa mujibu wa sheria, na si kwa mujibu wa mabavu au uropokwaji wa viongozi mkuu, mi naongea kwa mujibu wa katiba, ndio maana JK alishindwa kwa James mbatia alipomteua ubunge akala kiapo mwisho wa siku akaja akawa mwiba ktk serkali iliyomteua...
 
Unamkumbuka yule balozi Possi alikuwa mbunge wa kuteuliwa?
Hata huyu linaeza undwa zengwe ajiuzuru ili kuweka vema mambo.
Hilo linawezekana lakini si kumtumbua Haiwezekani kwa mujibu wa sheria zetu...
 
Back
Top Bottom