Bishop Hiluka
JF-Expert Member
- Aug 12, 2011
- 7,147
- 14,699
Huko ndiko kutengua kwenyewe, aliyekuteua akikwambia jiuzuru kuna nini tena?...Kutengua hawezi, anachofanya ni kumwambia aandike barua ya kujiuzuru ubunge then anamteua nafas atakayo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huko ndiko kutengua kwenyewe, aliyekuteua akikwambia jiuzuru kuna nini tena?...Kutengua hawezi, anachofanya ni kumwambia aandike barua ya kujiuzuru ubunge then anamteua nafas atakayo
Hapo sawaI'm sorry ya nini wakati umetoa ufafanuzi mzuri!
kakamilisha zoteKwa hiyo nafasi 10 za Rais za uteuzi wa wabunge ziliongezeka au, na kama zimekuwa zikipungua mpaka sasa amebakiwa na ngapi?
Ndalichako wa Necta (JK's) akikutana na Ndalichako waziri (JPM's) zitapigwa hatareee
Kwani huyu ni mwanamke? Maji yanapatikana nchi nzima kama mkakati wao wa kisera na ilani inavyoeleza? Kama bado ameshindwa kufikia lengo itakuwaje kwa wizara hii ya elimu iliyozoea kujiongoza yenyewe? Atakuwa na jipya au naye atakuja na yake?Haya Kitila Mkumbo, wizara hiyo!
Inasemekana darasa la 5, 6 na 7 kwa 2019 hawana kitabu hatA kimoja
Hilo limeishafabtika. Katiba ilikiukwa? Posi alifanyiwa hivyo. Sasa ni balozi.Rais akishamteua ubunge binadamu yoyote Yule kwa mujibu wa katiba yetu na Alisha kula kiapo Hana Tena mamlaka ya kutengua maamuzi yake Kama madc Rc na wakurugenzi, hii inadhibitisha habari yako hii Ni Ufukunuku...
Alishauriwa kujiuzulu ili kuficha aibu ya mkubwa. Laweza kufanyika tena.Posi hakutenguliwa ubunge wake,ila yeye aliamua kujiuzuru.
2019 vinapaswa kuwepo vitabu vya darasa la 1- 5 Mkuu sio 5, 6,7.
Profesa PEKEE "wa Saikolojia ya Elimu" ambaye ni Katibu wa Wizara ni K. A. K. Mkumbo. (Wizara ya Minze/amazi).Profesa mmoja wa saikolojia ya elimu ambaye ni Katibu Mkuu wa Wizara fulani atapewa ubunge na uwaziri wa elimu.
Hivi kwa yule naibu waziri Posi, ilikuwaje vile? Tukumbushane!Rais akishamteua ubunge binadamu yoyote Yule kwa mujibu wa katiba yetu na Alisha kula kiapo Hana Tena mamlaka ya kutengua maamuzi yake Kama madc Rc na wakurugenzi, hii inadhibitisha habari yako hii Ni Ufukunuku...