Siku zinayoyoma kwa kasi sana kwenye huu mwaka wa kufosi au hii hali ni kwangu tu?

Siku zinayoyoma kwa kasi sana kwenye huu mwaka wa kufosi au hii hali ni kwangu tu?

Half american

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2018
Posts
38,283
Reaction score
97,793
Habari wakuu, nianze kwa kuwapa pole kwa janga la kariakoo ni janga zito sana Mungu awatie nguvu wahanga wote katika kipindi hiki kigumu.

Nirudi kwenye mada, wakuu siku zinakwenda spidi sana nadhani nanyi mnalipitia hilo, kuna jambo nilipanga kufanya november nna utaratibu wa kuweka reminder kwenye email na ilipofika october nilipata alert maana niliweka inipe taarifa mwezi kabla.

Kwa ufupi linalowezekana kufanyika sasa lisingoje kesho na muda hausubiri mtu, november ndio hii naona kasi yake ni kali kuzidi miezi yote na nilichopanga kufanya kinawezekana kwa asilimia ndogo sana japo mwezi october ningechukua hatua ya kusema nisisubiri ningefanya kwa % zaidi.

Siku zinabadilika kwa kasi sana, bado nazidi kujifunza kila iitwapo leo.
FB_IMG_17314211713054096.jpg
 
Habari wakuu, nianze kwa kuwapa pole kwa janga la kariakoo ni janga zito sana Mungu awatie nguvu wahanga wote katika kipindi hiki kigumu.

Nirudi kwenye mada, wakuu siku zinakwenda spidi sana nadhani nanyi mnalipitia hilo, kuna jambo nilipanga kufanya november nna utaratibu wa kuweka reminder kwenye email na ilipofika october nilipata alert maana niliweka inipe taarifa mwezi kabla.

Kwa ufupi linalowezekana kufanyika sasa lisingoje kesho na muda hausubiri mtu, november ndio hii naona kasi yake ni kali kuzidi miezi yote na nilichopanga kufanya kinawezekana kwa asilimia ndogo sana japo mwezi october ningechukua hatua ya kusema nisisubiri ningefanya kwa % zaidi.

Siku zinabadilika kwa kasi sana, bado nazidi kujifunza kila iitwapo leo.
View attachment 3156520
Kwa hiyo mwaka huu hutaitwa boss?
 
Nasubiria kadi ya mchango hapa, harusi na mama paroko december.

Unazubaa sana Mudi.
 
Back
Top Bottom