Najaribu kuonesha ni aina ipi ya vichwa vinapaswa kuteuliwa kuwa balozi na sio kuzoa yeyote yule ilimradi kuonesha ushkaji na kulindanaUngekuwa physically na Mimi na Kuuliza hili Swali ningekupiga Bonge la Ndoo ( Kichwa ) kwani ni Swali ambalo kwa ninavyokujua na Kukuheshimu kwa IQ yako Jibu unalo.
Sasa USA ndio mbinguni kwamba wakikuzuia kuingia kwao basi wewe hufai?Sijizungushi kwa kweli, balozi polepole hakustahili kuwa balozi tukirejea alivyokuwa na kauli za vitisho kipindi cha mwendazake. Hoyce Temu hastahili kuwa balozi ni racist , rejea kipindi Richa Adhia aliposhinda taji la miss Tz kwa kuwa ana asili ya Asia. Sirro hastahili kabisa maana hata USA haruhusiwi kuingia kutokana na kuvunja na kutisha watu kipindi cha mwendazake.
Umeitukana ccm wazi wazi, hapo nakupongezaTokea mwaka 2005 hadi sasa ( Leo ) karibia 99% ya Watu wanaoteuliwa kuwa Mabalozi na Marais wa Nyakati hizo ( hizi ) ni Watu very incompetent, wana IQ ndogo na Failures pia katika Nafasi walizokuwa.
Halafu ni nani aliyetulisha Sumu ya Upumbavu na Ushamba kuwa kila Mtanzania anaweza kuwa Balozi ( Diplomat ) kiasi cha Kuwateua Kizembe, Kipuuzi na kwa Kulindana tu?
Mabalozi ambao GENTAMYCINE nawaheshimu na nawakubali ni wale tu Walioteuliwa na Marais Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere, Mzee Mwinyi na Hayati Mkapa ila kuanzia Awamu zilizofuatia Wote siwakubali na hawakustahili kabisa Kuteuliwa kuwa Mabalozi ama wa Vituo ( Nchi ) husika au wa Heshima.
Nyerere na Mkapa walikuwa Wakimteua Mtu kuwa Balozi jua ya kwamba huyo Mtu Kwanza ni very Intelligent lakini pia hata Idara ( TISS ) imeshamfanyia Screening ya kutosha na Kujiridhisha nae tofauti na ilivyo sasa.
Haingii Akilini unamtumbua Mtu katika Nyadhifa yake hapa Tanzania kwa Makosa ya Uhuni kwa Mwanaume / Umalaya kwa Mwanamke au kwa Rushwa ( Ufisadi ) au kwa Mauwaji ( Ukatili ) au kwa Kunyanyasa Watu halafu hapo hapo bila hata Chembe ya Aibu unamteua kuwa Balozi nchi fulani. Kwahiyo mnawateua waende huko wakaendeleze haya Madudu yao au vipi? Kama ameshindwa Kujirekebisha hapa Nyumbani Tanzania ndiyo mnategemea aende Kurekebishika huko abroad au overseas kabisa?
Halafu tukiwakosoeni ili Kuwajenga na Kuwafundisha jinsi ya Kufikiri na kufanya Mambo Kiutaratibu, Kiuweledi na Kimaadili mnatuchukia akina GENTAMYCINE na kutukalia Vikao vya Kutusaka mtuwahishe Udongoni.
Kuna vitu Vinakera na havivumiliki kabisa. Sasa ni rasmi na Mimi GENTAMYCINE nataka Mchakato wa Katiba Mpya Tanzania ufanyike haraka na kuwe na Vipengele Viwili Muhimu 1. Mabalozi wawe ni Watu 'Genius' kabisa na 2. Ikitokea Rais anaumwa au Kafa basi Jeshi lishike hatamu kwa Siku 90 tu kisha Taifa lifanye Uchaguzi Mwingine halafu kusiwe na Cheo cha Naibu Rais au hata akiwepo asiwe na Kigezo cha ama kuwa Rais au Kugombea Urais wenyewe.
Acheni kuharibu Hadhi ya Balozi Ok?
Una uhakika?Umeitukana ccm wazi wazi, hapo nakupongeza
Nakubaliana nawe kabisa, ubalozi umekuwa cheo masihara sana. Nadhani hawa wa Unguja ni watu wenye masihara wakati wote we sikiliza kauli zao tu utaona.Tokea mwaka 2005 hadi sasa ( Leo ) karibia 99% ya Watu wanaoteuliwa kuwa Mabalozi na Marais wa Nyakati hizo ( hizi ) ni Watu very incompetent, wana IQ ndogo na Failures pia katika Nafasi walizokuwa.
Halafu ni nani aliyetulisha Sumu ya Upumbavu na Ushamba kuwa kila Mtanzania anaweza kuwa Balozi ( Diplomat ) kiasi cha Kuwateua Kizembe, Kipuuzi na kwa Kulindana tu?
Mabalozi ambao GENTAMYCINE nawaheshimu na nawakubali ni wale tu Walioteuliwa na Marais Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere, Mzee Mwinyi na Hayati Mkapa ila kuanzia Awamu zilizofuatia Wote siwakubali na hawakustahili kabisa Kuteuliwa kuwa Mabalozi ama wa Vituo ( Nchi ) husika au wa Heshima.
Nyerere na Mkapa walikuwa Wakimteua Mtu kuwa Balozi jua ya kwamba huyo Mtu Kwanza ni very Intelligent lakini pia hata Idara ( TISS ) imeshamfanyia Screening ya kutosha na Kujiridhisha nae tofauti na ilivyo sasa.
Haingii Akilini unamtumbua Mtu katika Nyadhifa yake hapa Tanzania kwa Makosa ya Uhuni kwa Mwanaume / Umalaya kwa Mwanamke au kwa Rushwa ( Ufisadi ) au kwa Mauwaji ( Ukatili ) au kwa Kunyanyasa Watu halafu hapo hapo bila hata Chembe ya Aibu unamteua kuwa Balozi nchi fulani. Kwahiyo mnawateua waende huko wakaendeleze haya Madudu yao au vipi? Kama ameshindwa Kujirekebisha hapa Nyumbani Tanzania ndiyo mnategemea aende Kurekebishika huko abroad au overseas kabisa?
Halafu tukiwakosoeni ili Kuwajenga na Kuwafundisha jinsi ya Kufikiri na kufanya Mambo Kiutaratibu, Kiuweledi na Kimaadili mnatuchukia akina GENTAMYCINE na kutukalia Vikao vya Kutusaka mtuwahishe Udongoni.
Kuna vitu Vinakera na havivumiliki kabisa. Sasa ni rasmi na Mimi GENTAMYCINE nataka Mchakato wa Katiba Mpya Tanzania ufanyike haraka na kuwe na Vipengele Viwili Muhimu 1. Mabalozi wawe ni Watu 'Genius' kabisa na 2. Ikitokea Rais anaumwa au Kafa basi Jeshi lishike hatamu kwa Siku 90 tu kisha Taifa lifanye Uchaguzi Mwingine halafu kusiwe na Cheo cha Naibu Rais au hata akiwepo asiwe na Kigezo cha ama kuwa Rais au Kugombea Urais wenyewe.
Acheni kuharibu Hadhi ya Balozi Ok?
Simaanishi kuingia Marekani ndio issue, kitendo cha muwakilishi wa nchi haruhusiwi kuingia nchi nyingine hiyo ni dosari. Sirro wakati wake matukio mengi ya uvunjaji wa haki za binadamu yalitokea na hakuna alilofanya. Ex. Kuzuia maandamano kwa vitisho ilhali maandamano yalikuwa ya amani, kupeleka polisi kwenye mikutano ya vyama vya siasa nkSasa USA ndio mbinguni kwamba wakikuzuia kuingia kwao basi wewe hufai?
Mangapi na wangapi wameuwawa na Marekani bila hatia mpaka leo?
Huko Mareham unaposifia na kuabudu wewe,si ndio wanachapana risasi mchana kweupe?
Acha kukariri utumwa wa kifikra!
Jaribu kujenga hoja vizuri kwa kuelezea kile unachokiona hakifai kutokana na ufahamu wako,ila sio kwa kuamuliwa na Marekani.
Na ndio maana Sirro amepelekwa Zimbabwe maana hata Marekani haikumkubali Mugabe.
Sema baba sema baba! Wape vidonge vyao! wakimeza wakitema, shauri yao!Tokea mwaka 2005 hadi sasa ( Leo ) karibia 99% ya Watu wanaoteuliwa kuwa Mabalozi na Marais wa Nyakati hizo ( hizi ) ni Watu very incompetent, wana IQ ndogo na Failures pia katika Nafasi walizokuwa.
Halafu ni nani aliyetulisha Sumu ya Upumbavu na Ushamba kuwa kila Mtanzania anaweza kuwa Balozi ( Diplomat ) kiasi cha Kuwateua Kizembe, Kipuuzi na kwa Kulindana tu?
Mabalozi ambao GENTAMYCINE nawaheshimu na nawakubali ni wale tu Walioteuliwa na Marais Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere, Mzee Mwinyi na Hayati Mkapa ila kuanzia Awamu zilizofuatia Wote siwakubali na hawakustahili kabisa Kuteuliwa kuwa Mabalozi ama wa Vituo ( Nchi ) husika au wa Heshima.
Nyerere na Mkapa walikuwa Wakimteua Mtu kuwa Balozi jua ya kwamba huyo Mtu Kwanza ni very Intelligent lakini pia hata Idara ( TISS ) imeshamfanyia Screening ya kutosha na Kujiridhisha nae tofauti na ilivyo sasa.
Haingii Akilini unamtumbua Mtu katika Nyadhifa yake hapa Tanzania kwa Makosa ya Uhuni kwa Mwanaume / Umalaya kwa Mwanamke au kwa Rushwa ( Ufisadi ) au kwa Mauwaji ( Ukatili ) au kwa Kunyanyasa Watu halafu hapo hapo bila hata Chembe ya Aibu unamteua kuwa Balozi nchi fulani. Kwahiyo mnawateua waende huko wakaendeleze haya Madudu yao au vipi? Kama ameshindwa Kujirekebisha hapa Nyumbani Tanzania ndiyo mnategemea aende Kurekebishika huko abroad au overseas kabisa?
Halafu tukiwakosoeni ili Kuwajenga na Kuwafundisha jinsi ya Kufikiri na kufanya Mambo Kiutaratibu, Kiuweledi na Kimaadili mnatuchukia akina GENTAMYCINE na kutukalia Vikao vya Kutusaka mtuwahishe Udongoni.
Kuna vitu Vinakera na havivumiliki kabisa. Sasa ni rasmi na Mimi GENTAMYCINE nataka Mchakato wa Katiba Mpya Tanzania ufanyike haraka na kuwe na Vipengele Viwili Muhimu 1. Mabalozi wawe ni Watu 'Genius' kabisa na 2. Ikitokea Rais anaumwa au Kafa basi Jeshi lishike hatamu kwa Siku 90 tu kisha Taifa lifanye Uchaguzi Mwingine halafu kusiwe na Cheo cha Naibu Rais au hata akiwepo asiwe na Kigezo cha ama kuwa Rais au Kugombea Urais wenyewe.
Acheni kuharibu Hadhi ya Balozi Ok?
NdiyoUna uhakika?
basi kama jina la ubalozi linakera ,tuaiye wajumbe au sio?.......yaaninkazi ya mjumbe wa nyumba 10 ni kusuluhisha migogoro ya ndoa,kuuza viwanja na kunywa gongo au?Tokea mwaka 2005 hadi sasa ( Leo ) karibia 99% ya Watu wanaoteuliwa kuwa Mabalozi na Marais wa Nyakati hizo ( hizi ) ni Watu very incompetent, wana IQ ndogo na Failures pia katika Nafasi walizokuwa.
Halafu ni nani aliyetulisha Sumu ya Upumbavu na Ushamba kuwa kila Mtanzania anaweza kuwa Balozi ( Diplomat ) kiasi cha Kuwateua Kizembe, Kipuuzi na kwa Kulindana tu?
Mabalozi ambao GENTAMYCINE nawaheshimu na nawakubali ni wale tu Walioteuliwa na Marais Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere, Mzee Mwinyi na Hayati Mkapa ila kuanzia Awamu zilizofuatia Wote siwakubali na hawakustahili kabisa Kuteuliwa kuwa Mabalozi ama wa Vituo ( Nchi ) husika au wa Heshima.
Nyerere na Mkapa walikuwa Wakimteua Mtu kuwa Balozi jua ya kwamba huyo Mtu Kwanza ni very Intelligent lakini pia hata Idara ( TISS ) imeshamfanyia Screening ya kutosha na Kujiridhisha nae tofauti na ilivyo sasa.
Haingii Akilini unamtumbua Mtu katika Nyadhifa yake hapa Tanzania kwa Makosa ya Uhuni kwa Mwanaume / Umalaya kwa Mwanamke au kwa Rushwa ( Ufisadi ) au kwa Mauwaji ( Ukatili ) au kwa Kunyanyasa Watu halafu hapo hapo bila hata Chembe ya Aibu unamteua kuwa Balozi nchi fulani. Kwahiyo mnawateua waende huko wakaendeleze haya Madudu yao au vipi? Kama ameshindwa Kujirekebisha hapa Nyumbani Tanzania ndiyo mnategemea aende Kurekebishika huko abroad au overseas kabisa?
Halafu tukiwakosoeni ili Kuwajenga na Kuwafundisha jinsi ya Kufikiri na kufanya Mambo Kiutaratibu, Kiuweledi na Kimaadili mnatuchukia akina GENTAMYCINE na kutukalia Vikao vya Kutusaka mtuwahishe Udongoni.
Kuna vitu Vinakera na havivumiliki kabisa. Sasa ni rasmi na Mimi GENTAMYCINE nataka Mchakato wa Katiba Mpya Tanzania ufanyike haraka na kuwe na Vipengele Viwili Muhimu 1. Mabalozi wawe ni Watu 'Genius' kabisa na 2. Ikitokea Rais anaumwa au Kafa basi Jeshi lishike hatamu kwa Siku 90 tu kisha Taifa lifanye Uchaguzi Mwingine halafu kusiwe na Cheo cha Naibu Rais au hata akiwepo asiwe na Kigezo cha ama kuwa Rais au Kugombea Urais wenyewe.
Acheni kuharibu Hadhi ya Balozi Ok?
Nikiwa kama ni mwana CCM Kiushabiki sikumbuki ni lini nimewahi Kutomuelewa au hata tu Kutompenda Mheshimiwa Freeman Mbowe.
Tanzania kuna vitu vingi sana ambavyo vinahitaji marekebisho ya kufumua mfumo wetu wa utawala na kujenga upya mfumo wa uongozi. Ni mengi sana na yanahitaji umakini kweli kweli ili tuwe na katiba nzuri. Tatizo ni kuwa kila anayeupata urais anajisemea ''subiri kidogo nifaidi kabla sijabadilisha mambo''. Hili ndilo kosa alilofanya Magufuli. Alipoambiwa mambo ya katiba akakataa kata kata kwa sababu aliona kama hakuna kitakachoweza kumwondoa. Na rais Samia naye ameingia kwenye mkumbo ule ule. Na mbaya zaidi pembeni wanakuwepo wapambe ambao wanataka mambo yaendelee kubaki kama yalivyo kwani kukiwa na ushindani wa halali basi hawafui dafu.Hoja zako hizi Mkuu ambazo ni nzito na zinahitaji IQ Kubwa kujibiwa zitakufanya nawe Uchukiwe na ukaliwe Vikao vya kuwahishwa Udongoni.
Ni kwamba Critical and Great Thinkers hawatakiwi Tanzania bali Wapumbavu, Wanafiki na Chawa ( wa Kujipendekeza ) kwa Watawala na Matajiri Mafisadi ndiyo wanatakiwa na wanapendwa.
Hao wapambe ndio aliowazungumzia Nyerere kipindi anataka kung'atuka wakawa wanamwambia mzee endelea bdo kumbe mitumbo yao ndio walitaka waendelee kushibaTanzania kuna vitu vingi sana ambavyo vinahitaji marekebisho ya kufumua mfumo wetu wa utawala na kujenga upya mfumo wa uongozi. Ni mengi sana na yanahitaji umakini kweli kweli ili tuwe na katiba nzuri. Tatizo ni kuwa kila anayeupata urais anajisemea ''subiri kidogo nifaidi kabla sijabadilisha mambo''. Hili ndilo kosa alilofanya Magufuli. Alipoambiwa mambo ya katiba akakataa kata kata kwa sababu aliona kama hakuna kitakachoweza kumwondoa. Na rais Samia naye ameingia kwenye mkumbo ule ule. Na mbaya zaidi pembeni wanakuwepo wapambe ambao wanataka mambo yaendelee kubaki kama yalivyo kwani kukiwa na ushindani wa halali basi hawafui dafu.