Sio kweli, madawa sio chanzo cha magonjwa mengi hapa nchini, ukosefu wa madawa ndio chanzo cha matatizo mengi.Umenena vema mkuu, kuna issue ya madawa haiongelewi sana lkn ndiyo chanzo cha magonjwa mengi sana hapa nchini.
Kuna tatizo kwenye prescription, matumizi, uhifadhi, na usalama wa dawa. Bado tuko nyuma sana ktk maeneo haya.
Wewe huwezi kununua kuku wa Ulaya kwa sababu kipato chako cha hapa ni duni sana ukilinganisha na Ulay, raia wengi wa Ulaya kuku ni chakula cha kawaida kabisa ukilinganisha na raia wengi wa bongo ambapo kuku ni chakula cha anasa.Ulaya gani unayosema wanazingatia afya ya walaji? Wako na vyakula tofauti lakini asilimia kubwa ni poison. Vyakula wanavyokula Tanzania Ulaya, chukulia mfano kuku tu, bei yake huwezi kugusa.
Kwenye maduka yao labda ununue matunda, mboga mboga na grains. Vingine vyote ni garbage
Wewe huwezi kununua kuku wa Ulaya kwa sababu kipato chako cha hapa ni duni sana ukilinganisha na Ulay, raia wengi wa Ulaya kuku ni chakula cha kawaida kabisa ukilinganisha na raia wengi wa bongo ambapo kuku ni chakula cha anasa.
Mwili ni mashine. Mashine hufanya kazi kama ilivyotengenezwa. Mashine ikiwekwa oil, hujua oil itumike wapi. Mafuta, umeme n.k husafirishwq mahali husika.Mkuu ni kwa namna gani bamia inaweza kuleta lubricant kwenye Joints , nataka kujifunza
kwahiyo sasa,Mwili una mifumo imara ya kutambua mapungufu na mahitaji yake.
Kwahiyo jaribio lolote la kuuelekeza (to dictate) mwili nini cha kufanya ni kuharibu miitikio ya kimaumbile.
Mwili hutoa viashiria mbalimbali unapokuwa na mahitaji ama mapungufu;
1. Kiu.........maji.
2. Njaa....chakula.
3. Miayo....uchovu.
4. Usingizi... Mapumziko.
N.k.
Kwahiyo kula unaposikia njaa, kunywa maji unaposikia kiu, nenda haja kubwa unapobanwa na haja..
Kama vile ilivyo kwenye haja kubwa kuwa unapobanwa na haja halafu ukajibanabana madhara hutokea mwilini, ndivyo hivyo hivyo hata kwenye njaa. Usipkula unaposikia njaa, mwili utakula baadhi ya cells ama tissues zake ambazo zilikuwa zikifanya kazi nyingine hivyo kupelekea madhara kutokea.
Hujawahi kusikia madaktari wakishauri watoto walale masaa 8+, watu wazima masaa 6+, watu wasibane mkojo muda mrefu, watu wapumzike vya ktosha kupunguza uchovu, n.k?
Sasa kwann unapokuwa na uhitaji wa chakula iwe nongwa?
Sikubaliani na prof. Janabi kuhusu nadharia yake ya mahusiano ya kisukari na vyakula. Ninachokiona ni kwamba wazungu wanataka kutuhamishia kwenye mfumo mpya wa maisha. Ni hao hao wazungu ndiyo walikuja na nadharia ya milo 4 kwa siku, sasa wanaipiga vita. What a contradiction!
Ni wao walioleta nadharia ya jogging, sasa wanasema jogging inaharibu mifupa ya miguu na inaleta matatizo uzeeni
Hapo kwenye jogging ni pagumu, labda ukizidisha ndio itakuletea shida.Mwili una mifumo imara ya kutambua mapungufu na mahitaji yake.
Kwahiyo jaribio lolote la kuuelekeza (to dictate) mwili nini cha kufanya ni kuharibu miitikio ya kimaumbile.
Mwili hutoa viashiria mbalimbali unapokuwa na mahitaji ama mapungufu;
1. Kiu.........maji.
2. Njaa....chakula.
3. Miayo....uchovu.
4. Usingizi... Mapumziko.
N.k.
Kwahiyo kula unaposikia njaa, kunywa maji unaposikia kiu, nenda haja kubwa unapobanwa na haja..
Kama vile ilivyo kwenye haja kubwa kuwa unapobanwa na haja halafu ukajibanabana madhara hutokea mwilini, ndivyo hivyo hivyo hata kwenye njaa. Usipkula unaposikia njaa, mwili utakula baadhi ya cells ama tissues zake ambazo zilikuwa zikifanya kazi nyingine hivyo kupelekea madhara kutokea.
Hujawahi kusikia madaktari wakishauri watoto walale masaa 8+, watu wazima masaa 6+, watu wasibane mkojo muda mrefu, watu wapumzike vya ktosha kupunguza uchovu, n.k?
Sasa kwann unapokuwa na uhitaji wa chakula iwe nongwa?
Sikubaliani na prof. Janabi kuhusu nadharia yake ya mahusiano ya kisukari na vyakula. Ninachokiona ni kwamba wazungu wanataka kutuhamishia kwenye mfumo mpya wa maisha. Ni hao hao wazungu ndiyo walikuja na nadharia ya milo 4 kwa siku, sasa wanaipiga vita. What a contradiction!
Ni wao walioleta nadharia ya jogging, sasa wanasema jogging inaharibu mifupa ya miguu na inaleta matatizo uzeeni
Amesemaje Dr JanabiMwili una mifumo imara ya kutambua mapungufu na mahitaji yake.
Kwahiyo jaribio lolote la kuuelekeza (to dictate) mwili nini cha kufanya ni kuharibu miitikio ya kimaumbile.
Mwili hutoa viashiria mbalimbali unapokuwa na mahitaji ama mapungufu;
1. Kiu.........maji.
2. Njaa....chakula.
3. Miayo....uchovu.
4. Usingizi... Mapumziko.
N.k.
Kwahiyo kula unaposikia njaa, kunywa maji unaposikia kiu, nenda haja kubwa unapobanwa na haja..
Kama vile ilivyo kwenye haja kubwa kuwa unapobanwa na haja halafu ukajibanabana madhara hutokea mwilini, ndivyo hivyo hivyo hata kwenye njaa. Usipkula unaposikia njaa, mwili utakula baadhi ya cells ama tissues zake ambazo zilikuwa zikifanya kazi nyingine hivyo kupelekea madhara kutokea.
Hujawahi kusikia madaktari wakishauri watoto walale masaa 8+, watu wazima masaa 6+, watu wasibane mkojo muda mrefu, watu wapumzike vya ktosha kupunguza uchovu, n.k?
Sasa kwann unapokuwa na uhitaji wa chakula iwe nongwa?
Sikubaliani na prof. Janabi kuhusu nadharia yake ya mahusiano ya kisukari na vyakula. Ninachokiona ni kwamba wazungu wanataka kutuhamishia kwenye mfumo mpya wa maisha. Ni hao hao wazungu ndiyo walikuja na nadharia ya milo 4 kwa siku, sasa wanaipiga vita. What a contradiction!
Ni wao walioleta nadharia ya jogging, sasa wanasema jogging inaharibu mifupa ya miguu na inaleta matatizo uzeeni
Wewe utakuwa msomi wa zamani au wa sasa uliyesoma mambo ya zamani.Mwili una mifumo imara ya kutambua mapungufu na mahitaji yake.
Kwahiyo jaribio lolote la kuuelekeza (to dictate) mwili nini cha kufanya ni kuharibu miitikio ya kimaumbile.
Mwili hutoa viashiria mbalimbali unapokuwa na mahitaji ama mapungufu;
1. Kiu.........maji.
2. Njaa....chakula.
3. Miayo....uchovu.
4. Usingizi... Mapumziko.
N.k.
Kwahiyo kula unaposikia njaa, kunywa maji unaposikia kiu, nenda haja kubwa unapobanwa na haja..
Kama vile ilivyo kwenye haja kubwa kuwa unapobanwa na haja halafu ukajibanabana madhara hutokea mwilini, ndivyo hivyo hivyo hata kwenye njaa. Usipkula unaposikia njaa, mwili utakula baadhi ya cells ama tissues zake ambazo zilikuwa zikifanya kazi nyingine hivyo kupelekea madhara kutokea.
Hujawahi kusikia madaktari wakishauri watoto walale masaa 8+, watu wazima masaa 6+, watu wasibane mkojo muda mrefu, watu wapumzike vya ktosha kupunguza uchovu, n.k?
Sasa kwann unapokuwa na uhitaji wa chakula iwe nongwa?
Sikubaliani na prof. Janabi kuhusu nadharia yake ya mahusiano ya kisukari na vyakula. Ninachokiona ni kwamba wazungu wanataka kutuhamishia kwenye mfumo mpya wa maisha. Ni hao hao wazungu ndiyo walikuja na nadharia ya milo 4 kwa siku, sasa wanaipiga vita. What a contradiction!
Ni wao walioleta nadharia ya jogging, sasa wanasema jogging inaharibu mifupa ya miguu na inaleta matatizo uzeeni
Kuku luxury ulaya gani wewe acha ubahiri.Hapa tunaongelea quality. Kuku anayeliwa kwetu uswahilini Ulaya anauzwa kwenye maduka maalum kwa bei maalum. Kwenye grocery stores za kawaida huwezi kumwona.
Kitu kingine ukae ukijua Ulaya ya sasa sio ya zamani useme kuku Kitu cha kawaida, bei ya vyakula imepanda mara dufu mpaka kuku unamwona luxury, usikie tu hivyo hivyo
Umeelezea vyema kabisa......lakini pia ukila wanga kwa wingi mwili utachukua kiasi inachohitaji.....na kilichobakia kitahifadhiwa kwa matumizi ya baadae lakini tena baadae unaletwa wanga mwingine........ mzunguko unakuwa huo huo mpaka kuongezeka uzito na kuleta madhara mengine kinyume na matarajio ya kula...........Mwili ni mashine. Mashine hufanya kazi kama ilivyotengenezwa. Mashine ikiwekwa oil, hujua oil itumike wapi. Mafuta, umeme n.k husafirishwq mahali husika.
Ukimeza dawa ya kichwa huingia tumboni, kisha injini za mwili hufanya kazi kugawanya kila kiambata kwenda mahali panapostahili. Obviously ukila wanga, mwili hujua wanga inahitajika maeneo gani.
Nimejibu kwa mifano ili uelewe
Umefafanua vizuri sana, najazia hapo uzoefu na utaalamu wa Janabi, ni muhimu kuutmia tukiwa bado hatujafikia umri wa kushindwa kutembea kwasababu ya magonjwa yatokanayo na Milo mibovu.Janabi anazungumza kulingana na uzoefu WA wagonjwa anaowatibu.
Overweight na obese based disease ni vitu serious.
Vyakula tunavyokula ni salama?
Ni natural?
Au mbegu za maabara zenye side effects tele.
Mbolea je ni natural?
Hakuna side effects za madawa?
Unasemaje ukisikia njaa Tu ule kumbe tunakula vyakula vyenye sumu nyingi?
kwa tafiti ipi uliyofanya unaposema bado?Kwa nyumbani Tanzania, ukiondoa hawa kuku wa haraka haraka, vyakula vyetu bado ni organic sana.
Kwahiyo madhara yatokanayo na vyakula kwetu bado.
Hii Dunia kuna maeneo vyakula wanavyokula usiombe!
Ni matakataka tupu
Kwani hujui wasifu wa mleta mada.Anajiita sexless ,leo ataanzisha uzi alivyopigwa miti (pelekewa moto), kesho ataanzisha uzi alivyompiga demu miti.Hakuna haja ya matusi , hii ni hoja imeletwa , tuweke hoja zetu kumpinga baaaasi
7-8Huyu janabi anapata haja kubwa mara ngapi kwa siku?
Ni wao waliokuja na sheria ya ndoa ya mke mmoja, leo wanasema wanaume tuooane.Mwili una mifumo imara ya kutambua mapungufu na mahitaji yake.
Kwahiyo jaribio lolote la kuuelekeza (to dictate) mwili nini cha kufanya ni kuharibu miitikio ya kimaumbile.
Mwili hutoa viashiria mbalimbali unapokuwa na mahitaji ama mapungufu;
1. Kiu.........maji.
2. Njaa....chakula.
3. Miayo....uchovu.
4. Usingizi... Mapumziko.
N.k.
Kwahiyo kula unaposikia njaa, kunywa maji unaposikia kiu, nenda haja kubwa unapobanwa na haja..
Kama vile ilivyo kwenye haja kubwa kuwa unapobanwa na haja halafu ukajibanabana madhara hutokea mwilini, ndivyo hivyo hivyo hata kwenye njaa. Usipkula unaposikia njaa, mwili utakula baadhi ya cells ama tissues zake ambazo zilikuwa zikifanya kazi nyingine hivyo kupelekea madhara kutokea.
Hujawahi kusikia madaktari wakishauri watoto walale masaa 8+, watu wazima masaa 6+, watu wasibane mkojo muda mrefu, watu wapumzike vya ktosha kupunguza uchovu, n.k?
Sasa kwann unapokuwa na uhitaji wa chakula iwe nongwa?
Sikubaliani na prof. Janabi kuhusu nadharia yake ya mahusiano ya kisukari na vyakula. Ninachokiona ni kwamba wazungu wanataka kutuhamishia kwenye mfumo mpya wa maisha. Ni hao hao wazungu ndiyo walikuja na nadharia ya milo 4 kwa siku, sasa wanaipiga vita. What a contradiction!
Ni wao walioleta nadharia ya jogging, sasa wanasema jogging inaharibu mifupa ya miguu na inaleta matatizo uzeeni