Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sumu zinazojazana mwilini haziletwi na chakula.Mimi juzi nilimsikiliza..naanza kumuelewa kidogo kidogo Prof..hasa hii statement yake anayosema itunze afya yako sasa ili ukifik 60's ukae kwa amani sio tena sfr za hospitali..maana uzeeni sumu na magonjwa tulobeba kwa miaka mingi ndo yanalipuka sasa..
Ukiwa huna utaalamu na jambo ficha ujinga wako.Zinaletwa na nini?Sumu zinazojazana mwilini haziletwi na chakula.
Wewe unaelekea ni mweupe sana kichwani. Lete maelezo hapa ni kwa vipi chakula kijaze simu mwilini ili upongwe kwa hoja. Usifikiri wote tunakariri maneno ya kusikia. Zama kitabuni, uchambue kosayansi.Ukiwa huna utaalamu na jambo ficha ujinga wako.Zinaletwa na nini?