Google GMO foods...Vyakula natural vinakuaje?
Mbolea natural zinakuaje?
Kuna kitu ambacho hakina side effects??
Ambacho anasema dr Janabi ni "kula kwa kiasi"......huitaji ufahamu mkubwa kuona busara kwenye huo ushauri.......Mwili una mifumo imara ya kutambua mapungufu na mahitaji yake.
Kwahiyo jaribio lolote la kuuelekeza (to dictate) mwili nini cha kufanya ni kuharibu miitikio ya kimaumbile.
Mwili hutoa viashiria mbalimbali unapokuwa na mahitaji ama mapungufu;
1. Kiu.........maji.
2. Njaa....chakula.
3. Miayo....uchovu.
4. Usingizi... Mapumziko.
N.k.
Kwahiyo kula unaposikia njaa, kunywa maji unaposikia kiu, nenda haja kubwa unapobanwa na haja..
Kama vile ilivyo kwenye haja kubwa kuwa unapobanwa na haja halafu ukajibanabana madhara hutokea mwilini, ndivyo hivyo hivyo hata kwenye njaa. Usipkula unaposikia njaa, mwili utakula baadhi ya cells ama tissues zake ambazo zilikuwa zikifanya kazi nyingine hivyo kupelekea madhara kutokea.
Hujawahi kusikia madaktari wakishauri watoto walale masaa 8+, watu wazima masaa 6+, watu wasibane mkojo muda mrefu, watu wapumzike vya ktosha kupunguza uchovu, n.k?
Sasa kwann unapokuwa na uhitaji wa chakula iwe nongwa?
Sikubaliani na prof. Janabi kuhusu nadharia yake ya mahusiano ya kisukari na vyakula. Ninachokiona ni kwamba wazungu wanataka kutuhamishia kwenye mfumo mpya wa maisha. Ni hao hao wazungu ndiyo walikuja na nadharia ya milo 4 kwa siku, sasa wanaipiga vita. What a contradiction!
Ni wao walioleta nadharia ya jogging, sasa wanasema jogging inaharibu mifupa ya miguu na inaleta matatizo uzeeni
Kuku luxury ulaya gani wewe acha ubahiri.
kwa tafiti ipi uliyofanya unaposema bado?
Basi hujamsikiliza vizuri. Yeye anasema watu wale mara moja kwa siku kama yeye. Waanze kwa kuu-condition mwili kwa kufanya intermittent fasting. Eti afunge masaa 16, kisha 18 na hatimaye 24. Why mtu afnaye hivi?Kufupisha tu kauli za Janabi ni kama hivi...
1. Tule kulingana na uhitaji sahihi wa mwili, mwenye njaa ndiye ale. (Kula kwa kiasi)
Wewe utakuwa mgonjwa. Ushauri wa janabi ilipaswa kuwa specific kwa wenye matatizo ya michakato ya physiology.Ipo siku utakubaliana naye bila shurti.
Hapa nilikuwa na kilo 96 five years passed
bp ikawa juu, ikalazimu niende hosp.
Nikaogopa kuanza dawa za bp.
Nikabadili mfumo wa ulaji kabisa sasa nina kilo 81 niko sawa moyo hausumbuii wala sukari.
Mazoezi pia ni muhimu.
Hapana. Ulaji wa vyakula havina shida. Tatizo kubwa liko kwenye:-Ulaji mbovu wa chakula unaua sana nguvu kazi hapa Tz
Jenga hoja. Kama hujui chochote kichwani basi soma comments tu.mweka mada ni zuzu
Anashauri watu waaanze kufunga kidogo kidogo kwa masaa 16 kisha 18 , halafu hatimaye wale chakula mara moja kwa siku.Ambacho anasema dr Janabi ni "kula kwa kiasi"......huitaji ufahamu mkubwa kuona busara kwenye huo ushauri.......
' Usipkula unaposikia njaa, mwili utakula baadhi ya cells ama tissues zake ambazo zilikuwa zikifanya kazi nyingine hivyo kupelekea madhara kutokea'Mwili una mifumo imara ya kutambua mapungufu na mahitaji yake.
Kwa hiyo jaribio lolote la kuuelekeza (to dictate) mwili nini cha kufanya ni kuharibu miitikio ya kimaumbile.
Mwili hutoa viashiria mbalimbali unapokuwa na mahitaji ama mapungufu;
1. Kiu.........maji.
2. Njaa....chakula.
3. Miayo....uchovu.
4. Usingizi... Mapumziko.
N.k.
Kwahiyo kula unaposikia njaa, kunywa maji unaposikia kiu, nenda haja kubwa unapobanwa na haja..
Kama vile ilivyo kwenye haja kubwa kuwa unapobanwa na haja halafu ukajibanabana madhara hutokea mwilini, ndivyo hivyo hivyo hata kwenye njaa. Usipkula unaposikia njaa, mwili utakula baadhi ya cells ama tissues zake ambazo zilikuwa zikifanya kazi nyingine hivyo kupelekea madhara kutokea.
Hujawahi kusikia madaktari wakishauri watoto walale masaa 8+, watu wazima masaa 6+, watu wasibane mkojo muda mrefu, watu wapumzike vya ktosha kupunguza uchovu, n.k?
Sasa kwanini unapokuwa na uhitaji wa chakula iwe nongwa?
Sikubaliani na Prof. Janabi kuhusu nadharia yake ya mahusiano ya kisukari na vyakula. Ninachokiona ni kwamba wazungu wanataka kutuhamishia kwenye mfumo mpya wa maisha. Ni hao hao wazungu ndiyo walikuja na nadharia ya milo 4 kwa siku, sasa wanaipiga vita. What a contradiction!
Ni wao walioleta nadharia ya jogging, sasa wanasema jogging inaharibu mifupa ya miguu na inaleta matatizo uzeeni
Kuhusu point ya kwanza kasome concept ya autophagy.' Usipkula unaposikia njaa, mwili utakula baadhi ya cells ama tissues zake ambazo zilikuwa zikifanya kazi nyingine hivyo kupelekea madhara kutokea'
'Ni wao walioleta nadharia ya jogging, sasa wanasema jogging inaharibu mifupa ya miguu na inaleta matatizo uzeeni'
Hizo point zako 2 hapo juu 👆 nina mashaka na vyanzo vyake...
Basi hujamsikiliza vizuri. Yeye anasema watu wale mara moja kwa siku kama yeye. Waanze kwa kuu-condition mwili kwa kufanya intermittent fasting. Eti afunge masaa 16, kisha 18 na hatimaye 24. Why mtu afnaye hivi?
Kwahiyo tusile?Janabi anazungumza kulingana na uzoefu WA wagonjwa anaowatibu.
Overweight na obese based disease ni vitu serious.
Vyakula tunavyokula ni salama?
Ni natural?
Au mbegu za maabara zenye side effects tele.
Mbolea je ni natural?
Hakuna side effects za madawa?
Unasemaje ukisikia njaa Tu ule kumbe tunakula vyakula vyenye sumu nyingi?
Sasa hivi kuna na chat gpt ni rahisi zaidiGoogle GMO foods...
Google non natural foods
Google organic fertiliser
Google organic food...
Google is your friend...
Sasa saa moja jioni wengine ndiyo tumalizia kumwaga zege. Mpk tukamalize, hafai tumsubiri bosi aje akague kazi na kutupatia pesa tayari ni saa 3 usiku. Inafika nyumbani saa 5 usiku. Kwahiyo kula saa moja jioni mlo wa usiku haiwezekani.Mimi nilimsikiliza mke wake ambaye ndiye humuandalia chakula, alihoniwa wakati fulani...
Sophia alisema, mume wake anachomaanisha ni kula kwa kiasi na kwa wakati sahihi.
Mfano wao kama familia, dinner yao wakichelewa sana kula ni saa 1 jioni...
sawa nyau weweJenga hoja. Kama hujui chochote kichwani basi soma comments tu.
Ngoja nikuwekee vizuri hoja ya jamaa kwa maelezo ya darasa la tatu C huenda ukaelewa.Organic sana? Tafsiri yako ni ipi?
Tanzania haswa Dar es Salaam, vyakula wanavyokula vina sumu kwa kiwango kikubwa. Mboga mboga na viungo vinapigwa viua wadudu leo, kesho vinachumwa na kuuzwa sokoni.
Mbolea zinatumika zenye kushurutisha mmea ukue kwa haraka ili mkulima auze apate fedha.
Sijui ni nchi gani upo, ila nchi za Ulaya wapo serious sana katika kuzingatia afya za walaji. Mpaka kwenda kwa walaji chakula hupitia katika hatua kadhaa za uthibiti.
Mara kibao Watanzania wenzako unaodai bado wanakula vitu organic, wanaomba kusafirisha vyakula haswa mboga mboga kwenda nje. Ni wachache sana wanafaulu, why? Kwa sababu vyakula hivyo vinakosa sifa ya kuliwa na binadamu.
Ndio kila ukisikia inabidi ufanye kwanini usifanye mwili unataka unless kuwe na factors zinazokuzuia kwasababu sisi binadamu mbali na hapo fanya.Hapo kwenye jogging ni pagumu, labda ukizidisha ndio itakuletea shida.
Je ina maana mtu kila ukisikia nyege kwa vile ni kiasharia cha hitaji la mwili ni lazima ufanye zinaa??