Jerusalem2006
Senior Member
- Apr 19, 2020
- 143
- 626
Ndo maana nikasema huna akili. Upo Tanzania hii au nje ya nchi!?, au upo vijijini huko ndo umeshika smartphone awamu hii!?,gari mbili zenye namba za serikali zizuie basi, watu wenye silaha wamchukue abiria mmoja, dereva achome mafuta aende kituoni kutafuta nini!?, wakati waliomchukua abiria ni watu wa serikali!?,hivi una akili hata za kuvuka barabara!?, umewahi kupoteza ndugu yeyote!?,au najibizana na Zombie moja hapa!?Kwanini wenye gari hawakwenda moja kwa moja kituoni kwenda kutoa taarifa juu ya kushushwa kwa abiria wao?
Mkuu hiyo ndezi achana nayo itakuharibia moodNdo maana nikasema huna akili. Upo Tanzania hii au nje ya nchi!?, au upo vijijini huko ndo umeshika smartphone awamu hii!?,gari mbili zenye namba za serikali zizuie basi, watu wenye silaha wamchukue abiria mmoja, dereva achome mafuta aende kituoni kutafuta nini!?, wakati waliomchukua abiria ni watu wa serikali!?,hivi una akili hata za kuvuka barabara!?, umewahi kupoteza ndugu yeyote!?,au najibizana na Zombie moja hapa!?
Hakuna serikali inayoweza kufanya ujinga wa aina hiyo mahali peupe kabisa . Usifikiri serikali ina watu wenye akili ndogo kama zako. Hao ni wahuni kama wahuni wengine na lazima wakamatwe na kuwajibishwa kisawasawaNdo maana nikasema huna akili. Upo Tanzania hii au nje ya nchi!?, au upo vijijini huko ndo umeshika smartphone awamu hii!?,gari mbili zenye namba za serikali zizuie basi, watu wenye silaha wamchukue abiria mmoja, dereva achome mafuta aende kituoni kutafuta nini!?, wakati waliomchukua abiria ni watu wa serikali!?,hivi una akili hata za kuvuka barabara!?, umewahi kupoteza ndugu yeyote!?,au najibizana na Zombie moja hapa!?
Utoto na ujinga vinakusumbua sanaUlitaka na yeye aseme anabubujikwa na Uharo?!
Wahuni wanawateka wafuasi wa CHADEMA tu!?Hakuna serikali inayoweza kufanya ujinga wa aina hiyo mahali peupe kabisa . Usifikiri serikali ina watu wenye akili ndogo kama zako. Hao ni wahuni kama wahuni wengine na lazima wakamatwe na kuwajibishwa kisawasawa
Uchawa na Njaa vinakusumbua sana.Utoto na ujinga vinakusumbua sana
Ujinga TU,angeuawa Baba yako ungetuandikia huo utumbo? Watu wamepoteza mtegemezi ujueNdugu zangu Watanzania,
Kwanza ningependa kuendelea kutoa pole kwa wana CHADEMA kwa kifo cha kiongozi wao.najuwa kibinadamu inaumiza , kusikitisha,kuhuzunisha na kutia simanzi.
Lakini ningependa kusema ya kuwa tukio hilo lisifanye kupoteza imani kwa vyombo vyetu vya Ulinzi hususan jeshi la Polisi kama ambavyo tumesikia matamko yakitolewa na viongozi na Makada wa CHADEMA.ni wazi kuwa jeshi letu limepokea na kusikia sauti za watanzania wa vyama vyote na wasio na vyama namna walivyo laani na kukemea tukio hilo na ndio maana tumeshuhudia likiongeza nguvu ya timu nzito kutoka makao makuu kitengo cha upelelezi wa matukio makubwa.
Tumeona pia namna Rais wetu mpendwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan alivyosikitishwa na kuhuzunishwa sana na kutoa amri ya kufanyika kwa uchunguzi wa kina na kupewa taarifa au ripoti juu ya suala hilo.
Lakini ningependa kusema kuwa unapokuwa kiongozi ni lazima na muhimu sana na busara kubwa sana kuchunga ulimi wako au maneno yako au kujizuia kuzungumza unapokuwa katika hali ya hasira,jazba au hali yoyote ile inayoweza kukufanya au kukuchochea kuzungumza jambo au kutoa tamko bila kufikiri zaidi ya kutumia hisia tu.
Ndio maana unapoitwa au kufikia hatua ya kuwa kiongozi ni lazima uwe na kifua,kujizuia kutanguliza hisia zaidi ,uchuje maneno,uwe na subira,utangulize hekima,busara na kuwa na Utulivu wakati wa nyakati ngumu zenye kila aina ya presha ya wafuasi wako au kwa sababu ya tukio fulani.ni lazima uhakikishe ya kuwa unajizuia hisia zako katika kufanya maamuzi au kutoa maneno juu ya jambo fulani.
Sasa nimepita katika ukurasa wa Twitter wa Sugu mwenyekiti wa CHADEMA kanda ya Nyasa na kushangaa sana alicho kiandika. Kiukweli sikubaliani nacho kwa sababu kinaleta taharuki, uchochezi, uchonganishi na hofu kwa watu isiyo na ukweli. Ni maneno yanayoonyesha ameandika akiwa na hisia na kukosa utulivu au kufikiria kabla ya kuyaandika.
Kama kiongozi amekosea na amefanya kosa kubwa tu.ameshindwa kujiongoza Mwenyewe na kutawala hisia zake na badala yake hisia zake zimemtawala na kumuongoza,jambo ambalo ni la hatari kwa kiongozi.Maana linakupunguzia ile nguvu ya kuitwa kiongozi Makini.
Maneno yenyewe na ujumbe wenyewe ni huu hapa.
PIA SOMA
- TANZIA - Dar: Ally Mohamed Kibao, kiongozi wa chadema auawa na mwili kutelekezwa Ununio ukiwa umeharibika sana
View attachment 3091831
Mbona ameandika vizuri, tatizo liko wapi? Kwani wale maharamia walipoingia ndani ya basi kumchukua marehemu, walijitambulisha kama nani?Ndugu zangu Watanzania,
Kwanza ningependa kuendelea kutoa pole kwa wana CHADEMA kwa kifo cha kiongozi wao.najuwa kibinadamu inaumiza , kusikitisha,kuhuzunisha na kutia simanzi.
Lakini ningependa kusema ya kuwa tukio hilo lisifanye kupoteza imani kwa vyombo vyetu vya Ulinzi hususan jeshi la Polisi kama ambavyo tumesikia matamko yakitolewa na viongozi na Makada wa CHADEMA.ni wazi kuwa jeshi letu limepokea na kusikia sauti za watanzania wa vyama vyote na wasio na vyama namna walivyo laani na kukemea tukio hilo na ndio maana tumeshuhudia likiongeza nguvu ya timu nzito kutoka makao makuu kitengo cha upelelezi wa matukio makubwa.
Tumeona pia namna Rais wetu mpendwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan alivyosikitishwa na kuhuzunishwa sana na kutoa amri ya kufanyika kwa uchunguzi wa kina na kupewa taarifa au ripoti juu ya suala hilo.
Lakini ningependa kusema kuwa unapokuwa kiongozi ni lazima na muhimu sana na busara kubwa sana kuchunga ulimi wako au maneno yako au kujizuia kuzungumza unapokuwa katika hali ya hasira,jazba au hali yoyote ile inayoweza kukufanya au kukuchochea kuzungumza jambo au kutoa tamko bila kufikiri zaidi ya kutumia hisia tu.
Ndio maana unapoitwa au kufikia hatua ya kuwa kiongozi ni lazima uwe na kifua,kujizuia kutanguliza hisia zaidi ,uchuje maneno,uwe na subira,utangulize hekima,busara na kuwa na Utulivu wakati wa nyakati ngumu zenye kila aina ya presha ya wafuasi wako au kwa sababu ya tukio fulani.ni lazima uhakikishe ya kuwa unajizuia hisia zako katika kufanya maamuzi au kutoa maneno juu ya jambo fulani.
Sasa nimepita katika ukurasa wa Twitter wa Sugu mwenyekiti wa CHADEMA kanda ya Nyasa na kushangaa sana alicho kiandika. Kiukweli sikubaliani nacho kwa sababu kinaleta taharuki, uchochezi, uchonganishi na hofu kwa watu isiyo na ukweli. Ni maneno yanayoonyesha ameandika akiwa na hisia na kukosa utulivu au kufikiria kabla ya kuyaandika.
Kama kiongozi amekosea na amefanya kosa kubwa tu.ameshindwa kujiongoza Mwenyewe na kutawala hisia zake na badala yake hisia zake zimemtawala na kumuongoza,jambo ambalo ni la hatari kwa kiongozi.Maana linakupunguzia ile nguvu ya kuitwa kiongozi Makini.
Maneno yenyewe na ujumbe wenyewe ni huu hapa.
PIA SOMA
- TANZIA - Dar: Ally Mohamed Kibao, kiongozi wa chadema auawa na mwili kutelekezwa Ununio ukiwa umeharibika sana
View attachment 3091831
si ungeandika uzi mahususi basi gentleman?View attachment 3091877
Kuna hii vipi haikuleta taharuki?
Duh,ndo vichwa maji kiasi hiki ✍️Mndali watu wa songwe
We fala mtoto wa kahaba kwani cha ajabu kipi hapo ?,wewe huelewi trend ya matukio yanayofanywa na polisi mpaka sasa mbwa wewe ?, bichwa kubwa akili kinyesi cha punda na matope .Ndugu zangu Watanzania,
Kwanza ningependa kuendelea kutoa pole kwa wana CHADEMA kwa kifo cha kiongozi wao.najuwa kibinadamu inaumiza , kusikitisha,kuhuzunisha na kutia simanzi.
Lakini ningependa kusema ya kuwa tukio hilo lisifanye kupoteza imani kwa vyombo vyetu vya Ulinzi hususan jeshi la Polisi kama ambavyo tumesikia matamko yakitolewa na viongozi na Makada wa CHADEMA.ni wazi kuwa jeshi letu limepokea na kusikia sauti za watanzania wa vyama vyote na wasio na vyama namna walivyo laani na kukemea tukio hilo na ndio maana tumeshuhudia likiongeza nguvu ya timu nzito kutoka makao makuu kitengo cha upelelezi wa matukio makubwa.
Tumeona pia namna Rais wetu mpendwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan alivyosikitishwa na kuhuzunishwa sana na kutoa amri ya kufanyika kwa uchunguzi wa kina na kupewa taarifa au ripoti juu ya suala hilo.
Lakini ningependa kusema kuwa unapokuwa kiongozi ni lazima na muhimu sana na busara kubwa sana kuchunga ulimi wako au maneno yako au kujizuia kuzungumza unapokuwa katika hali ya hasira,jazba au hali yoyote ile inayoweza kukufanya au kukuchochea kuzungumza jambo au kutoa tamko bila kufikiri zaidi ya kutumia hisia tu.
Ndio maana unapoitwa au kufikia hatua ya kuwa kiongozi ni lazima uwe na kifua,kujizuia kutanguliza hisia zaidi ,uchuje maneno,uwe na subira,utangulize hekima,busara na kuwa na Utulivu wakati wa nyakati ngumu zenye kila aina ya presha ya wafuasi wako au kwa sababu ya tukio fulani.ni lazima uhakikishe ya kuwa unajizuia hisia zako katika kufanya maamuzi au kutoa maneno juu ya jambo fulani.
Sasa nimepita katika ukurasa wa Twitter wa Sugu mwenyekiti wa CHADEMA kanda ya Nyasa na kushangaa sana alicho kiandika. Kiukweli sikubaliani nacho kwa sababu kinaleta taharuki, uchochezi, uchonganishi na hofu kwa watu isiyo na ukweli. Ni maneno yanayoonyesha ameandika akiwa na hisia na kukosa utulivu au kufikiria kabla ya kuyaandika.
Kama kiongozi amekosea na amefanya kosa kubwa tu.ameshindwa kujiongoza Mwenyewe na kutawala hisia zake na badala yake hisia zake zimemtawala na kumuongoza,jambo ambalo ni la hatari kwa kiongozi.Maana linakupunguzia ile nguvu ya kuitwa kiongozi Makini.
Maneno yenyewe na ujumbe wenyewe ni huu hapa.
PIA SOMA
- TANZIA - Dar: Ally Mohamed Kibao, kiongozi wa chadema auawa na mwili kutelekezwa Ununio ukiwa umeharibika sana
View attachment 3091831
Safi kabisaMwashambwa wewe niView attachment 3091930
Baba yake bora angepiga puchu tu bafuni ,kvma la mama yakeSema huyu mseng**** ningekuwa na uwezo wa kumtoa humu ndan ningeshamblock anaboa mpaka roho inauma hakika kizaz chake kina hasara na laaana
Hunaga hoja,wenye akili timamu hawakuelewi.Ungejikita katika hoja badala ya mashambulizi binafsi .Mwenye akili Timamu na anayejitambua anajadili hoja badala ya kufanya kama ulivyofanya wewe kuandika utoto
Kwa hiyo kwa akili yako wale walikuwa majambazi wakijutambulisha kama polisi na wakimiliki na pingu..?Kwani wewe na utu uzima wako hujawahi kusikia majambazi yamesimamisha gari kimabavu?