October 2pm
Senior Member
- May 2, 2023
- 106
- 282
Pole kwa changamoto,ila uli update taarifa zako mapema katika Portal??na kama ulishafanya hivyo kwa wakati jaribu kuwasiliana na Utumishi Mapema pengine unaweza kupata msaada,pia kama utashindwa kupata msaada na una uhakika kuwa umejiandaa vyema jaribu kupambana kwa namna yoyote upate nauli ya kukuwezesha kufikahuko pengine inaweza kuwa nafasi yako.All the bestHabari
Kutoka kibaha Mpaka Bukoba nauli Laki Moja, kwenda kurudi Laki Mbili. Kula na Kulala tufanye elfu 60. Sikuchagua Kagera lakini wamenichagua kusudi ili nisiende. Nitatoa Wapi Laki tatu Mimi. Halafu hakuna uhakika kama nitapata au vipi. Nimekata tamaa
Mshahara laki 3 na 200 kwa hio unamshaurije ingekua mshahara million 3 labdaHela ndogo hivyo inakutoa jasho, kazi ya kuwaondoa watz ujinga utaiweza kweli ?
HAkuna mshahara wa laki 3 na 200Mshahara laki 3 na 200 kwa hio unamshaurije ingekua mshahara million 3 labda
KAZI Gani mshahara ni huo?Mshahara laki 3 na 200 kwa hio unamshaurije ingekua mshahara million 3 labda
Nenda kazisome TGS tena kisha rudi hapa tena hio laki 3 na 200 ipo juu kuna laki 2 na 100HAkuna mshahara wa laki 3 na 200
Sasa unamgombeza nani hapa? Kupanga ni kuchagua,kongole kwa serikali yako sikivu ya wanyongeHabari
Kutoka kibaha Mpaka Bukoba nauli Laki Moja, kwenda kurudi Laki Mbili. Kula na Kulala tufanye elfu 60. Sikuchagua Kagera lakini wamenichagua kusudi ili nisiende. Nitatoa Wapi Laki tatu Mimi. Halafu hakuna uhakika kama nitapata au vipi. Nimekata tamaa
Tell herHAkuna mshahara wa laki 3 na 200
Soma TGS mboni zipp tu au hujawahi kuzisoma?KAZI Gani mshahara ni huo?
Pole mkuu. Wenda huko ndiko kuna riziki yako. Pambana upate nauli uende. Ikishindikana husife moyo iliyo yako itakuja.Habari
Kutoka kibaha Mpaka Bukoba nauli Laki Moja, kwenda kurudi Laki Mbili. Kula na Kulala tufanye elfu 60. Sikuchagua Kagera lakini wamenichagua kusudi ili nisiende. Nitatoa Wapi Laki tatu Mimi. Halafu hakuna uhakika kama nitapata au vipi. Nimekata tamaa
TGS unazisoma lakini au ndio kuropokwa tu au hauzijui?Tell her
Mimi bacherol ni laki 77,9000Nenda kazisome TGS tena kisha rudi hapa tena hio laki 3 na 200 ipo juu kuna laki 2 na 100
Pole SanaHabari
Kutoka kibaha Mpaka Bukoba nauli Laki Moja, kwenda kurudi Laki Mbili. Kula na Kulala tufanye elfu 60. Sikuchagua Kagera lakini wamenichagua kusudi ili nisiende. Nitatoa Wapi Laki tatu Mimi. Halafu hakuna uhakika kama nitapata au vipi. Nimekata tamaa
Ilete hapa ni mwalimu DARAJA Gani?TGS unazisoma lakini au ndio kuropokwa tu au hauzijui?
Unaroho nzuri sanaPole Sana
Anza safari kesho Kwa roli haitozidi 50K
Pia kule gharama za maisha zipo chini .
Naweza kukuombea nyumbani ukafilkia hapo Kama Usahili unafanya Bukoba mjini.
Mimi nipo DSM sasa
kwani Written amepita?Pole Sana
Anza safari kesho Kwa roli haitozidi 50K
Pia kule gharama za maisha zipo chini .
Naweza kukuombea nyumbani ukafilkia hapo Kama Usahili unafanya Bukoba mjini.
Mimi nipo DSM sasa