Sikuchagua Mkoa wa Kagera lakini wamenichagua Kagera ndiko nitafanya Oral interview Nauli 100,000

Sikuchagua Mkoa wa Kagera lakini wamenichagua Kagera ndiko nitafanya Oral interview Nauli 100,000

Wanafanya kosa ambalo TAMISEMI hawajathubutu kulitenda
Yeah ni mbaya, huwezi kumtoa mtu kutoka mtwara kwenda Tarime. ( kwenda kufanya usail wa mazingaombwe). Garama itakayotumika ni thamani ya kununulia boda boda used. 🚮🚮🚮
 
Habari

Kutoka kibaha Mpaka Bukoba nauli Laki Moja, kwenda kurudi Laki Mbili. Kula na Kulala tufanye elfu 60. Sikuchagua Kagera lakini wamenichagua kusudi ili nisiende. Nitatoa Wapi Laki tatu Mimi. Halafu hakuna uhakika kama nitapata au vipi. Nimekata tamaa
October 2pm nenda kazi za weita hapo Bukoba ziko nyingi utapata tu!
 
Habari

Kutoka kibaha Mpaka Bukoba nauli Laki Moja, kwenda kurudi Laki Mbili. Kula na Kulala tufanye elfu 60. Sikuchagua Kagera lakini wamenichagua kusudi ili nisiende. Nitatoa Wapi Laki tatu Mimi. Halafu hakuna uhakika kama nitapata au vipi. Nimekata tamaa
Unadhani Kwanini pdf la waliokuwa shortlisted, limeondolewa kwenye pages za PSRS ?

Asking for a friend.
 
Mkuu screenshot ulete hapa, usikanushe jambo alafu utoe assignment ya watu kwenda kugoogle
Mpaka Leo hii 2024 Bado Kuna wenye fikra za mwaka 2005 kwamba Mwl analipwa laki 2 au 3. Tatizo hawataki hata kuji-update na taarifa zitokazi kila mwaka. Kuna mwingine unamuambia wapo Walimu wana basic salary ya 1.6m au 2.1m anabisha hadi anaapa
 
Back
Top Bottom