Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hauhudhurii vikao vya ukoo ?Familia ipi kaka mi nipo hapa napigika na maisha 😁😁🤔🤔
Nimekuwekea hapa scale za mishahara ya walimu na wewe weka Yako tuone mshahara wa laki 3 na senti 20 ni WA mwalimu wa daraja Gani nijuavyo Mimi ni hivi scale ilivyo kwa sasaNenda kazisome TGS tena kisha rudi hapa tena hio laki 3 na 200 ipo juu kuna laki 2 na 100
Acha kubishana na ma last boni, watakuumiza headache.Nimekuwekea hapa scale za mishahara ya walimu na wewe weka Yako tuone mshahara wa laki 3 na senti 20 ni WA mwalimu wa daraja Gani nijuavyo Mimi ni hivi scale ilivyo kwa sasa
😂 Wanadharau sana na kada za watu.Acha kubishana na ma last boni, watakuumiza headache.
Excuse my english, Imma not an english guy.
Bachelor halafu unaandika tarakimu hivi kweli?!?.... Hao wanafunzi Wana kazi.... Bachelor unaandika "Bacherol" 779,000/= unaandika 77,900... Kazi ipo hii elimu imechezewa sana.Mimi bacherol ni laki 77,9000
Uko mshamba sanaBachelor halafu unaandika tarakimu hivi kweli?!?.... Hao wanafunzi Wana kazi.... Bachelor unaandika "Bacherol" 779,000/= unaandika 77,900... Kazi ipo hii elimu imechezewa sana.
Dunia sio Kijiji Tena ....Dunia ni gheto .... Fanya muamala huo kijana aende akapambane au tumuagize akaombe msaada Kwa mjumbe wa UVCCM Taifa mtoto wa Mwigulu mchemba aliyetoa misaada wa vifaa Kwa ofisi za UVCCM Mkoa wa Singida.... Kwani ana kazi gani yule mtoto mpaka kutoa msaada wa vifaa vyote vile!? Si anasoma!??.....hapo jamhuri ya ukimani wenye roho nzuri mnahesabika. umempa mwanga kijana. ningekua tz ningemtumia chochote kitu.
Bora niwe mshamba kuliko kuwa mwalimu mpumbavu ... Yaani makosa madongo ya kiuandishi kama hayo unakosea utaweza kuwaandikia watoto kweli hata Characteristics wewe ...wewe tu kuandika mtihani...utaweza kuwaDictate wanafunzi ...... Una bahati kama ni mwalimu ulipita kipindi mnapangiwa tu vituo .. Kwa mchujo wa Sasa USINGETOBOA..... Jifunze kwanza kuandika.Uko mshamba sana
Dkk 15 za mwendo upi ... Huku mafijijini kutembeza hizo dakika unaweza kukata km1.5-2.... Sasa wa mjini unaweza kumpoteza...Ukifika Bukoba mjini pale round about utatembea dk 15 au 10
Asipoenda ndio inakuwa "NATURAL ELIMINATION".... Wataoenda wanapunguziwa upinzani...aende tu ...Ungekosa bado ungelaumu ila tumefanya hivyo maana Kagera walioomba wachache na kwa kuwa una sifa ndo maana tumekupeleka huko otherwise ungekosa.
Bora wewe mnapigika wawili mnasaidiana yaani wewe na maisha, wengine tunapigika wenyewewenyewe tu.Familia ipi kaka mi nipo hapa napigika na maisha 😁😁🤔🤔
Pitisha daftari tukuchangie....wengine tulitoka hukohuko, so maumivu yake nayajua.Habari
Kutoka kibaha Mpaka Bukoba nauli Laki Moja, kwenda kurudi Laki Mbili. Kula na Kulala tufanye elfu 60. Sikuchagua Kagera lakini wamenichagua kusudi ili nisiende. Nitatoa Wapi Laki tatu Mimi. Halafu hakuna uhakika kama nitapata au vipi. Nimekata tamaa
Yah IHUNGO
Moja ya shule bora sana .
na mathKwa upande wa physics hawana written wana oral tu.
Na Literature in English, Tena wapo wachache sana.na math
Zamani hiyo.Nenda kazisome TGS tena kisha rudi hapa tena hio laki 3 na 200 ipo juu kuna laki 2 na 100