Sikuchagua Mkoa wa Kagera lakini wamenichagua Kagera ndiko nitafanya Oral interview Nauli 100,000

Sikuchagua Mkoa wa Kagera lakini wamenichagua Kagera ndiko nitafanya Oral interview Nauli 100,000

Ni kweli Wana hela wale jamaa ,bado ni diwani na pia mwenyekiti wa mtaa wa rwamishenye ijapokuwa wananifurahisha Sana khamisi akiwa Kagera eti sued ndiye dereva wake na bodyguard wake .

But wale ni watu Sana bro ,ninayo mengi kuhusu ile familia Kaka

May God keep blessing them .

Familia ya kizungu Sana ile.

Sitaki kuongea mengi Ila watu waliokuwa karibu na huyo mzee kawavusha Sana .

Mara ya mwisho nilienda kumsalimia kwake 2019 kule kwake Busimbe. Very humble .
 
Ni k
Familia ya kizungu Sana ile.

Sitaki kuongea mengi Ila watu waliokuwa karibu na huyo mzee kawavusha Sana .

Mara ya mwisho nilienda kumsalimia kwake 2019 kule kwake Busimbe. Very humble .
[/QUOTE
Familia ya kizungu Sana ile.

Sitaki kuongea mengi Ila watu waliokuwa karibu na huyo mzee kawavusha Sana .

Mara ya mwisho nilienda kumsalimia kwake 2019 kule kwake Busimbe. Very humble .
Dah ni kweli kabisa hata alipotolewa katika wizara iliniuma Sana .

But ni mtu na nusu ,yapo mengi yangenipoteza nikiwa Kagera ila khamisi alisimama na Mimi na mwisho nikavuka .

Hali iliyonikuta namuita baba badala ya bro sababu aliplay role kubwa ya mzazi .

Anyway nitakuwepo huko majuma kadhaa mbele lazima nifike nyumbani pale rwamishenye karibu na chemba walau nitoe salamu zangu kwa sued na mama yao ijapokuwa khamisi tunawasiliana bado
 
Habari

Kutoka kibaha Mpaka Bukoba nauli Laki Moja, kwenda kurudi Laki Mbili. Kula na Kulala tufanye elfu 60. Sikuchagua Kagera lakini wamenichagua kusudi ili nisiende. Nitatoa Wapi Laki tatu Mimi. Halafu hakuna uhakika kama nitapata au vipi. Nimekata tamaa
Nenda kakate rufaa, usikubali kuporwa haki yako kienyeji.
 
Hela ndogo hivyo inakutoa jasho, kazi ya kuwaondoa watz ujinga utaiweza kweli ?
Ndogo kwako mzee, maisha tumetofautiana, we buku sio hela, kuna mtu ndio maisha yake siku nzima.
Kuna mtu elfu 10 ni dhahabu kwake mwingine sio kesi,
Kuna mtu lakini ni kipengele kikubwa mnoo, mtoto anaenda shule na masempele na manyampu nyampu, kuna mwingine hiyo laki analala hotel usingizi wa siku moja na haiwazii wala nini..

Kama ni ndogo kwako si kwa wote, unaweza msaidie.
 
Back
Top Bottom