Sikuchagua Mkoa wa Kagera lakini wamenichagua Kagera ndiko nitafanya Oral interview Nauli 100,000

Sikuchagua Mkoa wa Kagera lakini wamenichagua Kagera ndiko nitafanya Oral interview Nauli 100,000

Ndogo kwako mzee, maisha tumetofautiana, we buku sio hela, kuna mtu ndio maisha yake siku nzima.
Kuna mtu elfu 10 ni dhahabu kwake mwingine sio kesi,
Kuna mtu lakini ni kipengele kikubwa mnoo, mtoto anaenda shule na masempele na manyampu nyampu, kuna mwingine hiyo laki analala hotel usingizi wa siku moja na haiwazii wala nini..

Kama ni ndogo kwako si kwa wote, unaweza msaidie.
Nakubali
 
Habari

Kutoka kibaha Mpaka Bukoba nauli Laki Moja, kwenda kurudi Laki Mbili. Kula na Kulala tufanye elfu 60. Sikuchagua Kagera lakini wamenichagua kusudi ili nisiende. Nitatoa Wapi Laki tatu Mimi. Halafu hakuna uhakika kama nitapata au vipi. Nimekata tamaa
Aisee
 
Habari

Kutoka kibaha Mpaka Bukoba nauli Laki Moja, kwenda kurudi Laki Mbili. Kula na Kulala tufanye elfu 60. Sikuchagua Kagera lakini wamenichagua kusudi ili nisiende. Nitatoa Wapi Laki tatu Mimi. Halafu hakuna uhakika kama nitapata au vipi. Nimekata tamaa
tuma namba yako pm
 
Habari

Kutoka kibaha Mpaka Bukoba nauli Laki Moja, kwenda kurudi Laki Mbili. Kula na Kulala tufanye elfu 60. Sikuchagua Kagera lakini wamenichagua kusudi ili nisiende. Nitatoa Wapi Laki tatu Mimi. Halafu hakuna uhakika kama nitapata au vipi. Nimekata tamaa
Nenda ukikopangiwa….
 
Habari

Kutoka kibaha Mpaka Bukoba nauli Laki Moja, kwenda kurudi Laki Mbili. Kula na Kulala tufanye elfu 60. Sikuchagua Kagera lakini wamenichagua kusudi ili nisiende. Nitatoa Wapi Laki tatu Mimi. Halafu hakuna uhakika kama nitapata au vipi. Nimekata tamaa
Usikate tamaa bado mapema sana Mkuu.
 
Habari

Kutoka kibaha Mpaka Bukoba nauli Laki Moja, kwenda kurudi Laki Mbili. Kula na Kulala tufanye elfu 60. Sikuchagua Kagera lakini wamenichagua kusudi ili nisiende. Nitatoa Wapi Laki tatu Mimi. Halafu hakuna uhakika kama nitapata au vipi. Nimekata tamaa
Ungekosa bado ungelaumu ila tumefanya hivyo maana Kagera walioomba wachache na kwa kuwa una sifa ndo maana tumekupeleka huko otherwise ungekosa.
 
Wanaleta mambo ya ajabu mimi pia nimewekewa kagera ilhali nilichagua morogoro na ni watu wengi wamebadilishiwa na kuwekewa hyo kagera sijajua kuna shida gani imetokea
Kagera Kuna gap ndo maana. Fanya ufanyavyo usikose usaili huo anyhow
 
Habari

Kutoka kibaha Mpaka Bukoba nauli Laki Moja, kwenda kurudi Laki Mbili. Kula na Kulala tufanye elfu 60. Sikuchagua Kagera lakini wamenichagua kusudi ili nisiende. Nitatoa Wapi Laki tatu Mimi. Halafu hakuna uhakika kama nitapata au vipi. Nimekata tamaa
Ukiwa huna hela kila kitu utaona kama unaonewa
 
Unaweza kufanya mawasiliano mapema Kwa kuwapigia simu au kuwa E-mail ili wakubadilishie hiyo mahali pa kufanyia..just relax sababu ni wengi wenye hiyo changamoto sio peke Ako ...au unaweza kwenda ofisi zao hapo DSM au Kuna namba ya IT hapa wa ajira portal pale Dodoma hebu mtafute
 
Back
Top Bottom